JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Gazeti Letu

Jafo afungua mkutano wa mabadiliko ya tabianchi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo ametoa wito kwa mataifa duniani kushirikiana katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Ametoa wito huo leo wakati akifungua Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi…

Waganga wanaoomba viungo vya albino kusakwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Tabora Katika kuhakikisha mauaji ya watu wenye ualbino, watoto wachanga na vikongwe yanakomeshwa, Chama cha Waganga wa Tiba Asilia Mkoani hapa kimeazimia kuwasaka wenzao wanaopiga ramli chonganishi na kuomba kupelekewa viungo vya binadamu ili wawatengenezee dawa. Ili…