JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Gazeti Letu

Waganga wanaoomba viungo vya albino kusakwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Tabora Katika kuhakikisha mauaji ya watu wenye ualbino, watoto wachanga na vikongwe yanakomeshwa, Chama cha Waganga wa Tiba Asilia Mkoani hapa kimeazimia kuwasaka wenzao wanaopiga ramli chonganishi na kuomba kupelekewa viungo vya binadamu ili wawatengenezee dawa. Ili…

Siri ya kukimbiwa baada ya kung’atuka

Tumemsikia aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, akilalamika kuwa baada ya kung’atuka marafiki hawaonekani! Baada ya kustaafu ndiyo ametambua kuwa kumbe baadhi ya marafiki walikuwa ni marafiki wa nafasi aliyokuwa nayo, na kamwe hawakuwa…