JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Gazeti Letu

Mavunde : Mkutano wa wakandarasi umeitangaza Tanzania kwenye sekta ya madini yaliyo chini ya bahari

Na Richard Mrusha, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema mkutano wa wakandarasi uliofanyika jijini Dar es Salaam umekuwa na tija kubwa na wakihistoria na ni jambo ambalo halijatokea nchi nyingine yeyote Afrika bali Tanzania hivyo, hiyo…

Mtaturu atoa faraja Mang’onyi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida MBUNGE wa Singida Mashariki miraji Mtaturu ameshiriki mahafali ya Shule ya Sekondari ya Mang’onyi Shanta na kugawa vifaa vya TEHAMA ikiwemo Printa na Kompyuta vyenye thamani ya Sh Milioni 13 ikiwa ni jitihada zake za…