JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Rais Samia katika ziara Wilaya Ruangwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa pamoja na viongozi wengine katika Mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Kilimahewa Ruangwa Mkoani Lindi tarehe 18 Septemba, 2023. Rais wa…

TIRA: Ulipaji mafao ya bima umeimarika kwa asilimia 95

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kwa kipindi cha miaka mitano, sekta ya bima imekuwa kwa wastani wa asilimia 12.8 kwa mwaka huku mauzi mauzo ghafi ya bima yameongezeka kutoka Sh bilioni 691.9 mwaka 2018 hadi kufikia trilion 1.2…

Mabewa ya SGR kukamilika kwa wakati Korea

Na. Saidina Msangi, WF, Busan, Korea Kusini Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi. Amina Khamis Shaaban, ameeleza kuridhishwa na maendeleo ya utengenezaji wa mabehewa na vichwa vya treni, na Treni ya mwendokasi vinavyotengenezwa na kampuni za Hyundai Rotem na…