JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Dkt.Jingu ashiriki kongamano la wanawake China na Afrika

Na WMJJWM, CHINA Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu ameshiriki Kongamano la kimataifa la Ushirikiano kati ya China na Africa katika masuala ya Usawa wa kijinsia  (China – Africa Women’s Forum) Tarehe…

Msonde: Serikali haitomsamehe atakayekwamisha ujenzi wa shule

Na James Mwanamyoto – OR-TAMISEMI Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Charles Msonde amesema Serikali haitomsamehe yeyote atakayebainika kukwamisha ujenzi wa miundombinu ya elimu katika shule za Sekondari na msingi. Dkt….

Majaliwa:Mafuta ya Kaskazini, kanda ya ziwa yachukuliwe Tanga

Wazuri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Nishati iratibu ununuzi wa mafuta kutoka mikoa ya Kaskazini na Kanda ya Ziwa ili yachukuliwe kutokea Tanga badala ya Dar es Salaam. Ametoa agizo hilo leo (Jumamosi, Julai Mosi, 2023) mara baada ya…

Mpango afungua wiki ya maadhimisho ya JKT

……….………………. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Jeshi la Kujenga Taifa kuhakikisha wanafanya uwekezaji zaidi katika kufundisha vijana matumizi ya teknolojia katika shughuli zake mbalimbali za uzalishaji mali na utoaji…