Diamond ‘amkaanga’ Dk. Kigwangalla

Wakati sakata la Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla la matumizi mabaya ya madaraka likiendelea kushika kasi, msanii Abdul Nassib (Diamond) ‘amemkaanga’ waziri huyo kupitia kwa meneja wake, Hamisi Taletale (Babu Tale). Taletale amezungumza na JAMHURI na kuanika undani wa sakata la wasanii kulipwa mamilioni kwa kile kinachodaiwa kuwa ni ushiriki wao kwenye…

Read More

Mwaka wa miradi 

Mwaka 2019 ni mwaka ambao Tanzania imeshuhudia uzinduzi wa miradi mingi mikubwa pengine kuliko mwaka wowote tangu nchi ipate Uhuru Desemba 9, 1961. Hata hivyo, wakati baadhi ya watu wakiisifu Serikali ya Awamu ya Tano kwa kazi hiyo chini ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli, wengine wametoa tahadhari kuwa namna miradi hiyo inavyotekelezwa kunaweza…

Read More

Bilionea Friedkin alipa

Kampuni za bilionea raia wa Marekani, Dan Friedkin, zilizonaswa kwenye kashfa ya ukwepaji kodi, zimeweka Sh bilioni 50 kwenye akaunti maalumu ya Serikali ya Tanzania. Habari za uhakika zinaonyesha kuwa pamoja na kulipa kiasi hicho, kuna fedha nyingine nyingi zilizoingizwa kwenye akaunti hiyo kama sehemu ya malipo kutokana na ukwepaji kodi mbalimbali. Kashfa ya ukwepaji…

Read More