Category: Habari Mpya
Halmashauri kutenga fedha za magonjwa ya mlipuko
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO),limezitaka halmashauri nchini kutenga bajeti kwa ajili ya kukabiliana na magonjwa ya mlipuko badala ya kutegemea Serikali Kuu pekee. Hatua hiyo itarahisisha jamii kukabiliana na milipuko hiyo…
Ubalozi wa Marekani watoa mbinu kwa Jeshi la Polisi
Ubalozi wa Marekani umetoa mafunzo kwa askari wa Jeshi la Polisi nchini ya namna ya kukabiliana na matukio ya kughushi nyaraka mbalimbali ikiwemo hati za kusafiria(Pass Port) ambapo mafunzo hayo yamehusisha wakufunzi kutoka chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es…
Rais amtengua Mkurugenzi Jiji la Mwanza
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Bw. Sekiete Yahaya Selemani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuanzia tarehe 16 Aprili, 2023. Zuhura YunusMkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
Serikali yafanya mageuzi makubwa shirika la TTCL
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanya mageuzi makubwa katika Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kwa kuhamishia shughuli zote za miundombinu ya Mkongo wa Taifa…
TANROADS ipo kazini kunusuru barabara ya Kimange-Chalinze
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Kibaha Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali mkoani Pwani zimesababisha kumomonyoka kwa kingo za kalavati na barabara ya Kimange-Chalinze upande wa kutokea Dar es Salaam. Kutokana na athari hiyo kumesababisha miundombinu hiyo ya barabara kutokuwa salama kwa…
Madereva 109 wafutiwa madaraja ya leseni
Na Mwandishi Wetu-Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi mkoani Arusha katika operesheni maalumu ya ukaguzi wa leseni za kuendesha vyombo vya moto na kuwafutia madaraja madereva 109 kwa kukosa sifa za madaraja hayo. Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi mkoani…





