Category: Habari Mpya
Mkoa wa Pwani unajivunia miradi mikubwa tangu Uhu
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani unajivunia uwekezaji mikubwa ya kimkakati ambayo italeta Mapinduzi makubwa tangu Uhuru mwaka 1961 ikiwemo Reli ya kisasa (SGR) inayopita Mkoani humo kwa kipande kinachoanzia Dar es salaam -Morogoro chenye km.300. Mradi mwingine ni…
Mambo ya Ndani yataja mafanikio ya miaka 61 ya Uhuru
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imetaja mafanikio ambayo imeyapata katika kipindi cha miaka 61 ya uhuru wa Tanzania Bara huku ikiahidi kushirikiana na wizara nyingine katika kuhakikisha amani, usalama wa raia na mali zao vinalindwa ili kuiwezesha nchi…
Ujenzi kituo cha kupoza umeme Ifakara kukamilika Machi 2023
Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kupoza Umeme cha Ifakara umefikia asilimia 80.1 na unatarajiwa kukamilika mwezi Machi, 2023 ambapo mpaka sasa tayari transfoma ya kisasa imeshawekwa na kituo kitatoa njia nne za umeme ambazo zitapeleka umeme kwenye maeneo mbalimbali….
Naibu Waziri asema DM ni muhimu kwa uchumi wa buluu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeahidi kuzifanyia kazi changamoto mbalimbali zinazokikabili Chuo ch bahari Dar es Salaam (DMI). Ahadi hiyo ilitolewa jana na Naibu Waziri wa wizara hiyo, Atupele Mwakibete, wakati wa mahafali ya 18 ya chuo…
Mradi wa shule bora kuleta matokeo chanya katika sekta ya elimu nchini
Na Mwamvua Mwinyi,Pwani Waandishi wa habari wameaswa kutumia nguvu ya kalamu zao kuandika taarifa za mradi wa Shule Bora ,mpango ambao unalenga kuweka mikakati na kutafuta suluhisho kwa watoto wa makundi maalum ,wakike na wale wa kiume wanapata elimu iliyo…
Kenya yapiga marufuku wazazi kuwapeleka watoto shule za msingi za bweni
Kenya imetangaza kuwa kuanzia mwaka ujao hakutakuwa na shule ya bweni kwa watoto wa shule za msingi na wazazi wanapaswa kuwapeleka watoto wao shuleni asubuhi. Hii ni kwa ajili ya kutaka watoto wawe karibu sana na wazazi wao kwa suala…





