JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Maafisa ugani watakiwa kuwasaidia wafugaji kufuga kibiashara
 

Na Edward Kondela,JamhuriMedia Maafisa ugani kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa Mashariki wametakiwa kuhakikisha wanawasaidia wafugaji kufuga kibiashara na kuachana na ufugaji usio na tija. Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyonge amebainisha hayo jana Mjini Maswa, wakati…

Yanga kukutana na TP Mazembe,Simba na Vipers Kombe la Shirikisho CAF

Wawakilishi wa Tanzania katika Michuano ya Soka barani Afrika, Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF CL) na Kombe la Shirikisho Afrika (CAF CC) tayari wamepangwa makundi ya michuano hiyo msimu wa 2022-2023. Katika droo hiyo iliyoendeshwa na Shirikisho la Soka barani…

Mkenda:Ajira ya chuo kikuu isiwe kuangalia GPA pekee

Na Mathias Canal,JamhuriMedia, Dar Kuanzia sasa Serikali itaanza kuzitazama ajira za vyuo vikuu badala ya kuangalia ubora wa ufaulu yaani GPA pekee sasa waajiriwe kwa kupimwa uwezo wao kwa kufanya usaili. Kuangalia ufaulu pekee wa wanafunzi haitoshi kuboresha elimu badala…

Wakulima Manyara walia upatikanaji ruzuku ya mbolea

Wakulima mkoani Manyara wameiomba Serikali kuangalia namna ya kusambaza mbolea ya ruzuku kutokana na usumbufu wanaoupata kwa kukosekana vituo vya karibu. Wakizungumza na kituo cha redio cha Smile FM, baadhi ya wakulima kutoka Dareda, Mamire na maeneo mengine ya wilaya ya Babati wanasema wanatumia gharama kubwa…

Watetezi wa mazingira MECIRA kujadili umuhimu wa utunzaji vyanzo vya maji

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Kituo chama Wanahabari ,Watetezi wa Rasilimali na Taarifa MECIRA kimeamua kuwakutanisha wadau mbalimbali wa maendeleo, mazingira, uhifadhi na utalii kwa ajili ya kujadili umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji na uhifadhi wa mazingira.   Akizungumza na waandishi…