Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
December 12, 2022
Habari Mpya
Majaliwa aanza ziara Katavi
Jamhuri
Comments Off
on Majaliwa aanza ziara Katavi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu mkoani Katavi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Katavi, Iddi Kimanta wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Mkoani humo, Disemba 12, 2022. Katikati ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Katavi na Mkuu wa wilaya ya Tanganyika, Onesmo Mpuya Buswelu.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi na wabunge wa Mkoa wa Katavi wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu mkoani humo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Katavi na Mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesmo Mpuya Buswelu (kulia kwake) na Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Katavi, Iddi Kimanta wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu mkoani Katavi,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama ngoma ya Wabende iliyokuwa ikichezwa na kikundi cha Tibo wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Mkoani Katavi
Post Views:
198
Previous Post
Watetezi wa mazingira MECIRA kujadili umuhimu wa utunzaji vyanzo vya maji
Next Post
Ubora wa bidhaa za wajasiriamali watia fora maonesho ya Juakali
Polisi Arusha wapewa pikipiki 20 kuimarisha usalama
Tanzania, UN tourism zasaini makubaliano ya kongamano la kimataifa la utalii wa vyakula barani Afrika
Maelfu watakiwa kuhama baada ya moto mpya kuzuka Marekani
Marekani yaahidi kuunga mkono Serikali ya Israel
ZEEA yaanza kutoa mikopo kidijitali, maafisa washauriwa kuwa makini
Habari mpya
Polisi Arusha wapewa pikipiki 20 kuimarisha usalama
Tanzania, UN tourism zasaini makubaliano ya kongamano la kimataifa la utalii wa vyakula barani Afrika
Maelfu watakiwa kuhama baada ya moto mpya kuzuka Marekani
Marekani yaahidi kuunga mkono Serikali ya Israel
ZEEA yaanza kutoa mikopo kidijitali, maafisa washauriwa kuwa makini
Wasira awashukia waliopora ardhi ya vijiji
Zaidi ya wanawake 600 kutoka mikoa saba kujengewa uwezo masuala ya uongozi
TMA yatoa utabiri wa msimu wa mvua za masika 2025
Wakazi zaidi ya 1,000 Mpiji Magoe kunufaika na huduma ya majisafi
Rais Samia azungumza na Mjumbe Maalum wa Rais wa Djibouti Ikulu jijini Dar
Mitaala 21 ya TEHAMA vyuoni yahakikiwa
Bunge laipongeza Tume ya Tehama kukipeleka Kiswahili duniani
Tanzania kuanza kuzalisha kompyuta
Haya hapa matokeo kidato cha nne 2024/2025
Trump apanga kuwekeza katika akili mnemba