JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Marekani yaharibu meli inayodaiwa kuwa ya dawa za kulevya ya Venezuela

RAIS wa Marekani Donald Trump amesema Jeshi la Marekani limeharibu meli inayodaiwa kuwa ya mihadarati ya Venezuela iliyokuwa ikisafiri katika bahari ya kimataifa ikielekea Marekani. Trump alisema siku ya Jumatatu kwamba wanaume watatu waliuawa katika shambulizi dhidi ya “makundi ya…

Israel yaanza operesheni ya ardhini Gaza City

Jeshi la Israel limeanza operesheni ya ardhini kwenye mji mkubwa zaidi wa Ukanda wa Gaza baada ya majuma kadhaa ya mashambulizi ya anga. Mtandao wa habari wa Axios umeripoti taarifa hizo ukiwanukuu maafisa kadhaa wa Israeli. Serikali mjini Tel Aviv…

Trump asema yuko tayari kuiwekea vikwazo Urusi

Rais Donald Trump wa Marekani amesema yuko tayari kuiwekea vikwazo zaidi Urusi kutokana na vita vya Ukraine lakini ameyataka mataifa ya Ulaya yachukue hatua sawa ya hiyo ya kuitenga zaidi Urusi. Trump aliwaambia waandishi habari mjini Washington kwamba Ulaya bado…

WHO: Chanjo ya Ebola imeanza kutolewa kusini mwa Kongo

Shirika la Afya duniani, WHO, limesema utoaji chanjo kwa watu walio kwenye hatari ya kupata maambukizi ya ugonjwa wa Ebola umeanza jana Jumapili kusini mwa jimbo la Kasai nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo. Mlipuko wa ugonjwa huo hatari uliripotiwa…

WHO yaapa kubakia Gaza

Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema wafanyakazi wake wataendelea kubakia kwenye Jiji la Gaza licha ya miito ya Jeshi la Israel kuwataka watu wahame kwenye kitovu hicho cha Ukanda wa Gaza. Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, alisema juzi…

Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Mataifa waanza

Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaendelea jijini New York ambapo viongozi mbalimbali wa dunia wanahudhuria na wanatarajiwa kuhutubia katika kikao hicho cha 80 kinachogubikwa na vita vya Gaza na Ukraine. Kikao hicho Baraza Kuu la Umoja la…