JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Ajali ya ndege ya UPS, saba wafariki, 11 wajeruhiwa

Takriban watu saba wameuawa wakati ndege ya mizigo ya UPS ilipoanguka ilipokuwa ikipaa kutoka uwanja wa ndege wa Louisville, Kentucky Jumanne jioni, gavana wa jimbo hilo alisema. Andy Beshear alisema wafanyakazi watatu wa ndege hiyo huenda wakawa miongoni mwa waliofariki…

12 wafariki katika ajali ya ndege pwani ya Kenya

Ndege iliyokuwa na watu 12 imeanguka katika eneo la kaunti ya Kwale, pwani ya Kenya. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Kenya (KCAA) Emile Arao amethibitisha kwamba ndege hiyo, nambari ya usajili 5Y-CCA, iliyokuwa na watalii ilikuwa…

Rais Ruto: Kifo cha Raila Odinga ni pigo kubwa sana kwangu

Rais William Ruto amesema kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga ni hasara kubwa kwake binafsi, akimtaja marehemu kiongozi wa upinzani kama mtu muhimu katika maisha ya kisiasa na kitaifa ya Kenya. Akizungumza wakati wa hafla ya mazishi ya Raila…

Trump kukutana na Zelenskyy baada ya kuzungumza na Putin

Rais Donald Trump wa Marekani atakutana na Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine mjini Washington leo siku moja baada ya kufanya mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa Urusi yaliyojadili hatua za kumaliza vita. Trump amesema mazungumzo yake kwa njia ya simu…

Ruto: Nitakuwa mwaminifu kwa kile tulichokubaliana na Raila

Rais William Ruto ametoa salamu za kibinafsi na za kihisia kwa marehemu Raila Amolo Odinga, Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya na kiongozi wa upinzani, na kuthibitisha kwamba atakuwa mwaminifu kwa kile walichokubaliana kuhusu mustakabali wa Kenya. Katika salamu zake…

Mwili wa Raila kuagwa kwa siku ya pili leo Nairobi

Wakenya hususan wale wanaoishi Mjini Nairobi hii leo siku ya Ijumaa watapata fursa ya kuuaga mwili wa Raila Odinga kwa siku ya pili mfululizo katika uwanja wa Nyanyo Jijini Nairobi. Hatua hii inajiri baada ya Serikali Kutangaza siku kuu ya…