JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Watu 1,500 wapotea katika mafuriko Nepal na China

TAKRIBAN watu 1,500 hawajulikani walipo nchini Nepal na katika eneo la Tibet nchini China, baada ya maporomoko ya barafu, miamba na udongo kusababisha mafuriko makubwa yaliyosomba makazi, barabara na madaraja katika eneo la Himalaya. Polisi nchini Nepal walisema zaidi ya…

Maporomoko ya taka yaua watu 30 Guinea

WATU 30 wamekufa baada ya mlima wa taka kuporomoka katika dampo kubwa zaidi mjini Conakry, Guinea. Mvua kubwa ilisomba taka na kufukia nyumba zilizokuwa karibu. Serikali imesema mvua kubwa iliyoanza kunyesha mwendo wa saa mbili usiku ilisomba taka katika dampo…

Papa Leo atoa wito wa kimataifa kukabili Ebola DRC

Papa Leo XIV ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua za haraka kudhibiti mlipuko wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,DRC. “Naishauri Jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua zinazowahusisha pia jamii za wenyeji katika juhudi za kuzuia Ebola, ili…

Iran yatishia kushambulia nchi itakayoisaidia Marekani

Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Iran, Mohsen Rezaei, amesema kwamba “nchi yoyote itakayoisaidia Marekani kutekeleza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya nchi yetu inachukuliwa kuwa adui.” Rezaei aliongeza katika taarifa kwa televisheni ya taifa: “Tunaziarifu nchi jirani na nchi…

Mashambulizi ya makombora ya Urusi yaitikisa Kyiv

Watu wasiopungua watatu wamekufa na wengine 20 wamejeruhiwa kufuatia mashambulizi ya Urusi yalioulenga mji mkuu wa Ukraine, Kyiv mapema leo. Meya wa Kyiv, Vitali Klitschko, ameandika kwenye mtandao wa Telegram kwamba mashambulizi makubwa ya makombora yaliofanyika usiku wa kuamkia leo…

Ebola Kongo yaweka rekodi kwa kuua zaidi ya watu 2,300

Mlipuko wa Ebola unaoenea kwa kasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umeua watu 2,325 na kuwa mbaya zaidi kuwahi kurekodiwa nchini humo. Takwimu za serikali zinaonyesha kuwa watu 4,945 wameambukizwa. Katika saa 24 zilizopita pekee, visa vipya 101 na…