JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mtafiti wa teknolojia ya AI ajiuzulu

Mtafiti wa teknolojia ya Akili Mnemba ameyashutumu vikali makampuni ya Marekani kwa kile alichokieleza kama “kucheza na maisha ya watu” wakati yakiunda mifumo ya kompyuta itakayozidi uwezo wa binaadamu. Jacob Coxon alikuwa mtafiti katika kampuni ya AI ya Anthropic nchini…

Trump atoa matumaini kumalizika kwa vita vya Iran

Rais Donald Trump amesema anatarajia vita kati ya nchi yake Marekani na Iran kumalizika baada ya uchaguzi wa katikati ya muhula wa mwezi Novemba. Akizungumza na waandishi wa habari jana Jumatano, Trump amesema anaamini vita hivyo vitaisha mara baada ya…

Iran : Tuna uwezo kuzishambulia meli za kivita za Marekani

Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran, Majid Ibn e Reza, amesema jeshi la Iran lina uwezo kamili wa kushambulia meli za kivita za Marekani zinazotekeleza kizuizi cha majini dhidi ya Iran. Kauli hiyo inakuja baada ya maafisa wa Iran kudai…

Watu 1,500 wapotea katika mafuriko Nepal na China

TAKRIBAN watu 1,500 hawajulikani walipo nchini Nepal na katika eneo la Tibet nchini China, baada ya maporomoko ya barafu, miamba na udongo kusababisha mafuriko makubwa yaliyosomba makazi, barabara na madaraja katika eneo la Himalaya. Polisi nchini Nepal walisema zaidi ya…

Maporomoko ya taka yaua watu 30 Guinea

WATU 30 wamekufa baada ya mlima wa taka kuporomoka katika dampo kubwa zaidi mjini Conakry, Guinea. Mvua kubwa ilisomba taka na kufukia nyumba zilizokuwa karibu. Serikali imesema mvua kubwa iliyoanza kunyesha mwendo wa saa mbili usiku ilisomba taka katika dampo…

Papa Leo atoa wito wa kimataifa kukabili Ebola DRC

Papa Leo XIV ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua za haraka kudhibiti mlipuko wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,DRC. “Naishauri Jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua zinazowahusisha pia jamii za wenyeji katika juhudi za kuzuia Ebola, ili…