Category: Kimataifa
Mashambulizi ya makombora ya Urusi yaitikisa Kyiv
Watu wasiopungua watatu wamekufa na wengine 20 wamejeruhiwa kufuatia mashambulizi ya Urusi yalioulenga mji mkuu wa Ukraine, Kyiv mapema leo. Meya wa Kyiv, Vitali Klitschko, ameandika kwenye mtandao wa Telegram kwamba mashambulizi makubwa ya makombora yaliofanyika usiku wa kuamkia leo…
Ebola Kongo yaweka rekodi kwa kuua zaidi ya watu 2,300
Mlipuko wa Ebola unaoenea kwa kasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umeua watu 2,325 na kuwa mbaya zaidi kuwahi kurekodiwa nchini humo. Takwimu za serikali zinaonyesha kuwa watu 4,945 wameambukizwa. Katika saa 24 zilizopita pekee, visa vipya 101 na…
Hichilema ashinda muhula wa pili Zambia
Rais Hakainde Hichilema ameshinda uchaguzi wa urais Zambia kwa asilimia 60 ya kura, huku mpinzani wake Brian Mundubile akipata asilimia 38 na kudai kuwapo kwa dosari. Rais Hakainde Hichilema amechaguliwa tena kuiongoza Zambia kwa muhula wa pili baada ya kupata…
Israel yaanza tena mashambulizi katika ukanda wa Gaza
Taarifa ya jeshi la Israel IDF imesema shambulio hilo lilimlenga kamanda wa Hamas, likimtuhumu kwamba alikuwa akipanga mashambulizi dhidi ya vikosi vya Israel vinavyofanya kazi katika ukanda huo. Israel imefanya shambulio lake la kwanza la anga huko Gaza baada ya…
Zaidi ya watu 130 wafa kwa tetemeko la ardhi Colombia
Takriban watu 132 wamefariki baada ya tetemeko kubwa la ardhi kupiga magharibi mwa Colombia, katika tukio kubwa zaidi la aina hiyo nchini humo kwa miaka kadhaa. Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 7.4 kwa kipimo cha Richter lilipiga jimbo la Chocó,…
Uhispania yatangaza hali ya dharura kufuatia moto wa nyika
Uhispania imetangaza hali ya dharura ya kitaifa mjini Madrid na mkoa wa Avila, karibu na mji mkuu, kufuatia milipuko kadhaa ya moto wa nyika inayoteketea bila kudhibitiwa. Uhispania imetangaza hali ya dharura ya kitaifa mjini Madrid na mkoa wa Avila,…





