Category: Kimataifa
Marekani na Iran wasaini makubaliano ya kumaliza vita
Makubaliano ya msingi kati ya Marekani na Iran yenye lengo la kumaliza vita yameanza rasmi kutekelezwa baada ya kutiwa saini kidiijitali na marais wa nchi hizo mbili. Hayo ni kwa mujibu wa maafisa wa pande zote mbili. Kwa mujibu wa…
Trump: Mlango bahari wa Hormuz kufunguliwa Ijumaa
Kufunguliwa tena kwa njia hiyo muhimu kunaashiria hatua kubwa kuelekea kumaliza miezi kadhaa ya mzozo mbaya na msukosuko wa kiuchumi uliosababishwa na mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran mwezi Februari. Rais wa Marekani Donald Trump amesema kwamba meli…
Ujerumani yatoa onyo kwa wapinzani katika kombe la dunia
Timu ya taifa ya Ujerumani imetoa onyo kali kwa wapinzani wao kwenye Kombe la Dunia baada ya kuanza kampeni yao kwa ushindi mnono wa 7–1 dhidi ya Curacao katika mchezo wa ufunguzi. Licha ya kuanza kwa kusuasua na kuruhusu bao…
Urusi na Ukraine zashambuliana kwa makombora
Ukraine imesema kwamba mashambulizi ya makombora ya Urusi yamewajeruhi watu kadhaa na kufanya uharibifu katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo huku Urusi nayo imeripoti vifo vya watatu katika mji wake wa kusini wa Tula. Ukraine na Urusi zimeendelea kushambuliana kwa…
Marekani na Iran zimekubaliana kusitisha vita
Makubaliano hayo yanatarajiwa kutiwa saini nchini Uswisi na yanaweza kuleta afueni kwa uchumi wa dunia uliotikiswa na vita, ingawa masuala ya nyuklia na vikwazo bado hayajapatiwa suluhisho ya kudumu. Pakistan imesema Marekani na Iran zimefikia makubaliano ya amani yatakayositisha mara…
Marekani yaionya Iran
Marekani yaonya iko tayari kurejea vitani na Iran, huku Trump akisisitiza masharti makali ya makubaliano ya amani, wakati mazungumzo na mvutano Mashariki ya Kati ukiendelea kuongezeka. Marekani imesema iko tayari kurejea vitani na Iran ikiwa itahitajika, huku Rais wa Marekani,…





