Category: Kimataifa
Mamia ya wanajeshi wa DRC watafuta hifadhi UN
Mamia ya wanajeshi na maafisa wa polisi wa Congo wanaotafuta hifadhi katika kituo cha Umoja wa Mataifa huko Goma tangu kutekwa kwa mji huo wa mashariki mwezi Januari wanahamishiwa Kinshasa, Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu ilisema Jumatano. ICRC ilisema…
Watano wauawa kwa shambulio wanaoshukiwa kuwa Al-Shabaab Kenya
Wafanyakazi watano wa machimbo ya mawe wameuawa na wengine wawili kujeruhiwa kufuatia shambulio lililofanywa na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al-Shabaab katika eneo la machimbo katika Kijiji cha Bur Abor, Mandera Mashariki nchini Kenya. Katika kisa kilichotokea mapema Jumanne asubuhi,…
Urusi yaukomboa mji wa Kursk uliotekwa na Ukraine
Rais wa Urusi Vladimir Putin amepokea ripoti kutoka kwa Mkuu wa Majeshi ya Urusi Jenerali Valery Gerasimov iliyothibitisha kukomboa mji wa Kursk baada ya miezi karibu kumi ya mji huo kutekwa na majeshi ya Ukraine na washirika yaliyopo katika mkoa…
Mume wa marehemu mwimbaji wa muziki wa injili wa Nigeria kunyongwa
Mahakama Kuu huko Abuja amemhukumu Peter Nwachukwu, mume wa mwimbaji maarufu wa injili Osinachi, kifo kwa kunyongwa kwa kupatikana na hatia ya mauaji. Hukumu hiyo, iliyotolewa na Jaji Nwosu-iheme, inatolewa miaka mitatu baada ya kifo cha Osinachi kilichotokea mnamo Aprili…
Amnesty yakosoa hatua za Trump akitimiza siku 100 madarakani
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu la Amnesty International limetoa Jumanne ripoti yake ya kila mwaka na kukosoa vikali hatua za rais wa Marekani Donald Trump, ambaye ametimiza siku 100 akiwa madarakani. Amnesty imesema hatua za Trump zinalenga…
Kihouthi: Shambulio la Marekani limewaua wahamiaji 68 Yemen
Waasi wa Kihouthi wa nchini Yemen wamesema shambulio la anga lililofanywa na Marekani lililokilenga kituo kinachowashikilia wahamiaji kutoka Afrika limewauwa watu 68. Kamandi kuu ya Marekani haijazungumzia tukio hilo. Taarifa ya Wahouthi iliyotolewa mapema Jumatatu , imesema kando ya watu…