Category: Kimataifa
Marekani yatangaza vikwazo kwa wanaoisaidia Iran
Serikali ya Marekani imetangaza vikwazo dhidi ya watu watatu na makampuni tisa kwa kusaidia usafirishaji wa mafuta ya Iran kuelekea China. Kampuni nne zina makao yake Hong Kong na nne nyengine ziko katika Falme za Kiarabu kwa huku kampuni ya…
Marekani na Iran zakaribia makubaliano ya kumaliza vita
Marekani na Iran zinakaribia kufikia makubaliano ya kusitisha vita katika eneo la Ghuba. Haya ni kwa mujibu wa chanzo kutoka Pakistan kinachohusika na juhudi za upatanishi. Kwa mujibu wa taarifa hizo, makubaliano hayo yanaweza kujumuisha kusimamishwa kwa mpango wa nyuklia…
Marekani yamwekea vikwazo Kabila
Marekani imemwekea vikwazo vikubwa Rais wa zamani wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Joseph Kabila, ikimtuhumu kuyaunga mkono makundi ya waasi ya M23 na AFC. Washington inadai Kabila alitoa msaada wa kifedha kwa AFC, alihamasisha wanajeshi kuasi kutoka jeshi la…
Iran yatuma onyo kali Washington kuhusu vita
Iran imeonya jana kuwa itajibu kwa mashambulizi makali na ya muda mrefu dhidi ya majeshi ya Marekani iwapo Washington itaanzisha tena mashambulizi. Tehran pia imesisitiza kuwa inaendelea kudhibiti Mlango-Bahari wa Hormuz, hali inayotia doa mipango ya Marekani ya kuunda muungano…
Trump : Vizuizi dhidi ya Iran huenda vikadumu kwa muda
RAIS wa Marekani Donald Trump amesema kuwa vizuizi dhidi ya Iran vinaweza kudumu kwa miezi kadhaa, hatua iliyosababisha bei za mafuta kupanda kwa kiwango cha juu hapo jana katika kipindi cha miaka minne. Katika mkutano wake na wakuu wa sekta…
Misaada ya maendeleo yapungua kwa asilimia 23.1 mwaka 2025
Shirika la Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo, OECD, limesema misaada ya maendeleo ilipungua kwa kiwango cha kihistoria kwa asilimia 23.1 mwaka uliopita. Shirika la OECD lenye makao yake makuu mjini Paris nchini Ufaransa lilisema data zake za awali zilionyesha misaada…





