Category: Kimataifa
Trump aionya Iran kujiandaa kwa mashambulizi zaidi
RAIS wa Marekani, Donald Trump ameionya Iran kuwa nchi yake inajiandaa kwa usiku mwingine wa mashambulizi, saa chache tu baada ya kusema kuwa makubaliano ya muda ya kusitisha mapigano yamefika mwisho. Trump ametishia kuchukua hatua hiyo, baada ya mashambulizi ya…
Rais wa Zimbabwe asaini sheria inayoongeza muda wa urais wake
Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa amesaini kuwa sheria muswada unaoongeza muda wake wa kuhudumu madarakani kwa miaka miwili zaidi, hadi mwaka 2030, msemaji wa serikali Nick Mangwana amesema Jumanne. Mwezi uliopita, mabunge yote mawili ya Zimbabwe yaliidhinisha muswada huo. Katika…
Israel yashambulia kusini mwa Lebanon licha ya makubaliano
Israel imeshambulia Jumamosi kusini mwa Lebanon, ikiwa ni siku moja baada ya nchi hizo mbili kusaini mpango wa kudumisha usalama uliosimamiwa na Marekani. Mpango huo unalenga kupunguza mvutano katika eneo la mpakani baada ya miezi kadhaa ya uhasama. Shirika la…
Marekani na Iran wasaini makubaliano ya kumaliza vita
Makubaliano ya msingi kati ya Marekani na Iran yenye lengo la kumaliza vita yameanza rasmi kutekelezwa baada ya kutiwa saini kidiijitali na marais wa nchi hizo mbili. Hayo ni kwa mujibu wa maafisa wa pande zote mbili. Kwa mujibu wa…
Trump: Mlango bahari wa Hormuz kufunguliwa Ijumaa
Kufunguliwa tena kwa njia hiyo muhimu kunaashiria hatua kubwa kuelekea kumaliza miezi kadhaa ya mzozo mbaya na msukosuko wa kiuchumi uliosababishwa na mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran mwezi Februari. Rais wa Marekani Donald Trump amesema kwamba meli…
Ujerumani yatoa onyo kwa wapinzani katika kombe la dunia
Timu ya taifa ya Ujerumani imetoa onyo kali kwa wapinzani wao kwenye Kombe la Dunia baada ya kuanza kampeni yao kwa ushindi mnono wa 7–1 dhidi ya Curacao katika mchezo wa ufunguzi. Licha ya kuanza kwa kusuasua na kuruhusu bao…





