JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Rais Ruto: Kifo cha Raila Odinga ni pigo kubwa sana kwangu

Rais William Ruto amesema kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga ni hasara kubwa kwake binafsi, akimtaja marehemu kiongozi wa upinzani kama mtu muhimu katika maisha ya kisiasa na kitaifa ya Kenya. Akizungumza wakati wa hafla ya mazishi ya Raila…

Trump kukutana na Zelenskyy baada ya kuzungumza na Putin

Rais Donald Trump wa Marekani atakutana na Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine mjini Washington leo siku moja baada ya kufanya mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa Urusi yaliyojadili hatua za kumaliza vita. Trump amesema mazungumzo yake kwa njia ya simu…

Ruto: Nitakuwa mwaminifu kwa kile tulichokubaliana na Raila

Rais William Ruto ametoa salamu za kibinafsi na za kihisia kwa marehemu Raila Amolo Odinga, Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya na kiongozi wa upinzani, na kuthibitisha kwamba atakuwa mwaminifu kwa kile walichokubaliana kuhusu mustakabali wa Kenya. Katika salamu zake…

Mwili wa Raila kuagwa kwa siku ya pili leo Nairobi

Wakenya hususan wale wanaoishi Mjini Nairobi hii leo siku ya Ijumaa watapata fursa ya kuuaga mwili wa Raila Odinga kwa siku ya pili mfululizo katika uwanja wa Nyanyo Jijini Nairobi. Hatua hii inajiri baada ya Serikali Kutangaza siku kuu ya…

Guterres alaani jeshi kuchukua madaraka nchini Madagascar

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini Madagascar baada ya wiki kadhaa za maandamano ya umma dhidi ya utawala wa Rais Andry Rajoelina. Guterres amekosoa mabadiliko ya uongozi yasiyozingatia katiba na ametoa mwito…

Papa Leo XIV: Kushindwa kuzuia njaa duniani ni dhambi

Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV ameikosoa dunia kwa kushindwa kuzuia mamilioni ya watu kufa kwa njaa. Papa amesema kuruhusu binaadamu wengine wafe kwa njaa ni kushindwa kwa pamoja kuchukua hatua stahiki, ni kupotoka kwa maadili na…