JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Tanzania, Kenya zakubaliana kutatua vikwazo vya kibiashara visivyo vya kiushuru

Tanzania na Kenya zimekubaliana kuendelea kutatua vikwazo vya kibiashara visivyo vya kiushuru kwa kuwa na Mpango wa pamoja wa kuwianisha tozo, ada , ushuru, ada na sheria au taratibu zinazoathiri biasharabaina ya pande hizi mbilmasharti mengine yanayoathiri biashara pamoja na…

Bila ya amani, hakuna mtangamano na maendeleo

Nchi Wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimetakiwa kufanya kila linalowezekana kuhakikisha kuwa nchi zao zinakuwa na amani, Umoja na utulivu na kutafuta ufumbuzi wa migogoro kwa kutumia njia zao wenyewe. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Mkutano…

Rais Museveni amteua mtoto wake kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi

Rais Museveni amemteua mtoto wake wa kiume Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuwa kamanda mkuu wa jeshi, uteuzi huo hata hivyo umezua minong’ono huku wengi wakiamini kuwa Museveni anamsafishia njia mtoto huyo kuwa rais. Muhoozi Kainerugaba anachukua nafasi ya Jenerali Wilson Mbasu…

Putin ashinda urais Urusi

Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameshinda uchaguzi wa rais kwa asilimia 87.97 ya kura, kulingana na matokeo rasmi ya kwanza yaliyooneshwa Jumapili baada ya zoezi la kupiga kura kufungwa. Putin,71, aliyeingia madarakani mwaka 1999, alipata muhula mpya wa miaka sita…

Sonko, msaidizi wake waachiwa huru

Mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Senegal Ousmane Sonko, ameachiliwa huru siku chache kabla ya uchaguzi wa rais nchini humo uliopangwa kufanyika Machi 24. Bwana Sonko na msaidizi wake Bassirou Diomaye Faye, walikuwa katika gereza la Cap Manuel na kulakiwa na…

Waziri Mkuu Palestina ajiuzulu

Waziri Mkuu wa Palestina, Mohammad Shtayyeh ametangaza kujiuzulu. Akitangaza uamuzi huo leo, Shtayyeh amesema uamuzi huo unatokana na serikali yake kutawala sehemu za Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu. “Ninawasilisha kujiuzulu kwa serikali kwa Rais (Mahmud Abbas),” Shtayyeh amesema, na…