Category: Kimataifa
Trump asema anatarajia kukamatwa siku ya Jumanne
RAIS wa zamani wa Marekani Donald Trump anasema anatarajia kukamatwa Jumanne katika kesi kuhusu madai ya pesa inayosemekana ililipwa kwa nyota wa zamani wa ponografia. Trump ametoa wito kwa wafuasi wake kupinga hatua hiyo katika chapisho kwenye jukwaa la mtandao…
Mtoto wa Museveni atangaza kumngo’a baba yake madarakani
Na Wilson Malima, JAMHURI MEDIA Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Mhoozi Kainerugaba ametangaza nia ya kutaka kumrithi Baba yake kiti cha Urais wa Uganda ambapo amesema atagombea Urais wa nchi hiyo ifikapo mwaka 2026. Mhoozi ambaye ni Jenerali…
Makamu wa Rais wa Marekani kutembelea Tanzania
…………………………………………………………………………………………. Makamu wa Rais wa Marekani Mheshimiwa Kamala Harris anatarajiwa kutembelea Tanzania kuanzia Machi 29 hadi 31, 2023, kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kwenye ziara hiyo ya kwanza nchini Tanzania na…
Spika awasilisha hoja ya dharura kuchagiza kuundwa kwa mfuko wa maafa duniani
Spika wa Bunge la Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kundi la Afrika katika Umoja wa Mabunge Duniani (Africa Geopolitical Group in the IPU), Dkt. Tulia Ackson, jana Machi 12, 2023 amehutubia Mkutano wa 146 wa Umoja wa Mabunge Duniani…