Category: Kimataifa
Marekani yaiwekea vikwazo Cuba
WASHINGTON, MAREKANI Serikali ya Marekani imewawekea vikwazo viongozi kadhaa wa Cuba wakidaiwa kukiuka haki za binadamu wakati wa maandamano yaliyofanyika mapema mwezi huu. Kitendo hicho cha utawala wa Rais Joe Biden kimekuja katikati ya shinikizo kutoka kwa raia wa Marekani…
Morocco yamdukua Rais wa Ufaransa
PARIS, UFARANSA Ufaransa inaishutumu Morocco kwa matumizi mabovu ya teknolojia ya kishushushu inayofahamika kama Pegasus – kuwadukua viongozi wake akiwamo Rais Emmanuel Macron na mawaziri 14. Programu hiyo inayotengenezwa nchini Israel kwa ajili ya udukuzi wa simu za watu, imeshitukiwa…
Majambazi watungua ndege ya jeshi
ABUJA, NIGERIA Katika hali isiyokuwa ya kawaida, ndege ya kivita ya jeshi la Nigeria imetunguliwa na kundi linalodaiwa kuwa la majambazi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jeshi la Nigeria, rubani wa ndege hiyo, Luteni Anga Abayomi Dairo, alijikuta akishambuliwa…
Vigogo 12 wachunguzwa vurugu Afrika Kusini
JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI Idara ya Upelelezi nchini Afrika Kusini imetangaza kuwa imewagundua watu 12 waliohamasisha maandamano yaliyosababisha vurugu na uporaji katika majimbo mawili makubwa nchini humo. Vurugu hizo zilianza baada ya Mahakama ya Katiba kumhukumu rais wa zamani wa nchi…
NGO yapinga Zimbabwe kupeleka tembo China
HARARE, ZIMBABWE Shirika lisilo la kiserikali nchini Zimbabwe limeishitaki serikali ya nchi hiyo kupinga mipango ya kusafirisha wanyama aina ya tembo kwenda China. NGO hiyo, Advocates4Earth, inaituhumu China kwa kuwasababishia tembo madhila kwa kutowapatia huduma stahiki. Katika kesi iliyoifungua katika…
Kifungo cha Zuma hakijaathiri sarafu
JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI Baadhi ya wataalamu wa uchumi walitabiri kuwa huenda thamani ya sarafu ya Afrika Kusini ikaathirika kwa kiasi kikubwa baada ya kiongozi wake wa zamani, Jacob Zuma, kujisalimisha polisi na kuanza kutumikia kifungo chake cha miezi 15 gerezani….