Category: Kimataifa
Nchi za Afrika zatakiwa kushirikiana kukabiliana na changamoto za ongezeko la idadi ya watu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Algiers Wakuu wa nchi za kiafrika za kiafrika wametakiwa kuweka msukumo wa pamoja ili kukabiliana na changamoto zinazotokana na ongezeko kubwa la idadi ya watu Barani Afrika. Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu wa Algeria Aymen Ben…
Rais Dk Samia kufanya ziara nchini India
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani anatarajiwa kufanya ziara ya Kitaifa nchini India Oktoba 8 hadi 1, 2023 akiambatana na wafanyabiashara kuangalia fursa za kibiashara na uwekezaji kiuchumi. Akitoa taarifa hiyo…
Tanzania yashiriki mkutano wa Shirika la Makazi Algeria
Wajumbe wafanya mazungumzo na Balozi Tanzania nchini humo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Algeria Ujumbe wa Tanzania unaohudhuria Mkutano Mkuu wa dharura wa Shirika la Makazi Afrika(Shelter Afrique) unaofanyika Jijini Algiers umekutana na Maofisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Algeria ili…





