JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Marekani: Vifaa vya simu,elekroniki vyapandishwa ushuru

RAIS wa Marekani, Donald Trump amesema  simu za mikononi  zilizotengenezwa na China na vifaa vingine vya kielektroniki havitaondolewa kwenye ushuru badala yake vimehamishiwa kwenye fungu tofauti la ushuru. Masoko ya hisa ya Ulaya yaliimarika kuanzia Jumatatu asubuhi baada ya tangazo…

Viongozi wa dunia walaani shambulio la Urusi Ukraine

VIONGOZI wa dunia wamelaani shambulizi la makombora la Uris dhidi ya Ukraine siku ya Jumapili, moja ya mashambulizi mabaya zaidi katika miezi kadhaa, huku Rais wa Marekani Donald Trump akiliita “jambo baya” na “kosa.” Viongozi wa dunia wamelaani vikali Urusi…

Israel yatangaza kutanua mashambulizi Ukanda wa Gaza

Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz ametangaza kuwa jeshi lake linapanga kuongeza mashambulizi kwenye maeneo mengi ya Ukanda wa Gaza na amewaamuru wakaazi waondoke katika sehemu zenye mapambano. Ametoa tangazo hilo wakati jeshi la Israel likidai kuwa limeuzingira mji…

Uingereza kuipatia msaada wa kijeshi Ukraine

Serikali ya Uingereza imetangaza itaipatia Ukraine msaada zaidi wa kijeshi wa kima cha dola milioni mia nne na hamsini ambazo zitatumika kununua ndege mpya zisizoendeshwa na marubani na kukarabati vifaru vya kijeshi. Hayo yalitangazwa katika mkutano ulioendeshwa na Uingereza na…

UAE inaongoza mauaji ya halaiki Sudan

Serikali ya Khartoum imeufikisha Umoja wa Falme za Kiarabu mbele ya mahakama ya ICJ, ikiishtaki kwa kuhusika katika mauaji ya kimbari dhidi ya jamii ya Masalit kwa kuwaunga mkono wanamgambo wa RSF. Sudan imeieleza Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ…

Watu 23 wauawa kufuatia shambulio la Israel Gaza

Ndege za kijeshi za Israeli zimeshambulia jengo la makaazi ya watu katika eneo la kaskazini mwa Gaza lililoharibiwa kwa vita na kusababisha vifo vya takriban watu 23. Vifo hivyo vimeripotiwa wakati mapigano yaliyoanza upya hivi karibuni katika ukanda huo yakionyesha…