JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mafuriko yauwa watu 61 nchini Afghanistan

Theluji na mvua kubwa ambayo imenyesha kwa muda wa siku tatu zilizopita nchini Afghanistan, zimesababisha vifo vya zaidi ya watu 60 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 100 kote nchini humo. Msemaji wa Mamlaka ya Kitaifa ya Kukabiliana na Maafa Yousaf…

Zelensky : Ukraine itazungumza na Marekani na Urusi

Rais Volodymyr Zelensky amesema mazungumzo ya pande tatu kuhusu kumaliza vita nchini Ukraine yatafanyika kati ya Ukraine, Urusi na Marekani katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), baada ya kukutana na Rais Donald Trump huko Davos. Wakati juhudi za kidiplomasia…

Polisi Uganda yamkamata mbunge wa upinzani NUP

Polisi Uganda imesema imemkamata mbunge na afisa mwandamizi wa chama kikuu cha upinzani, National Unity Platform (NUP), kwa tuhuma za kuhusika katika vurugu za uchaguzi ambazo zilisababisha vifo vya takriban watu saba. Mbunge huyo, Muwanga Kivumbi, ambaye pia ni makamu…

Marekani inatarajiwa kujiondoa rasmi kutoka WHO

Marekani inatarajiwa kujiondoa rasmi hii leo kutoka Shirika la Afya Duniani WHO, hatua ambayo imeibua wasiwasi mkubwa miongoni mwa wataalam wa afya na jumuiya ya kimataifa. Hatua hiyo imekuja licha ya tahadhari kwamba kujiondoa kwa taifa hilo lenye ushawishi mkubwa…

Viongozi wa EU kukutana kwa dharura kuhusu Greenland

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanatarajiwa kukutana leo mjini Brussels katika juhudi za kutafuta majibu ya pamoja dhidi ya azma ya Rais wa Marekani Donald Trump ya kukitwaa kisiwa cha Greenland. Rais Trump alikuwa ametangaza kuziwekea ushuru wa asilimia 10…

Trump: Makubaliano ya Greenland yamefurahiwa na kila mmoja

Rais wa Marekani donald Trump amesema kuwa amefikia makubaliano ya mkakati unaomridhisha kuhusu Greenland. Trump aliyasema hayo wakati ambapo pia amedai kuwa hatotumia nguvu kukichukua kisiwa cha Greenland na pia kudai kuwa hatoziwekea tena ushuru bidhaa za mataifa nane ya…