JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Afya ya mwanasiasa mkongwe Kizza Besigye yazidi kuwa mbaya

Afya ya mwanasiasa mkongwe wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye “imefikia hali mbaya na mbaya”, chama chake kinasema, baada ya kupelekwa kwenye kituo cha matibabu katika mji mkuu, Kampala. Mwanasiasa huyo mwenye umri wa miaka 69 alikimbizwa katika kituo cha…

Watu 114 wafariki, miundombinu yaharibiwa kwa mafuriko Msumbiji

Watu wasiopunguwa 114 wamefariki na uharibifu mkubwa wa mali umeripotiwa huku baadhi ya vijiji vikifunikwa kabisa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini Msumbiji. Timu ya waokoaji nchini Msumbiji inaendelea kutafuta watu walionusurika baada ya mafuriko mabaya  kuwahi kuikumba nchi…

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wajipanga kumkabili Trump Davos

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamejitokeza jukwaani Davos kabla ya Rais wa Marekani Donald Trump, huku vitisho vya ushuru na mgogoro wa Greenland vikizidisha mvutano wa kisiasa na kiuchumi kati ya washirika wa jadi. Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamejitokeza…

Jeshi la Marekani laikamata meli nyingine ya Venezuela

Kamandi ya Kusini ya Jeshi la Marekani (SOUTHCOM) ilidai kuwa meli hiyo, Sagitta, ilikuwa imekiuka marufuku iliyowekwa na Rais Donald Trump. Kupitia mtandao wa X, kamandi hiyo ilisema: “Marekani imejitolea kuhakikisha kuwa mafuta pekee yanayoondoka Venezuela ni yale yanayopitia njia halali…

Trump aapa kutekeleza asilimia 100 tishio la kutoza ushuru nchi za Ulaya 

Donald Trump ameapa asilimia 100 kutekeleza tishio lake la kutoza ushuru kwa nchi za Ulaya zinazopinga ombi lake la kuchukua udhibiti wa Greenland. Washirika wa Ulaya wameungana kuunga mkono uhuru wa Greenland. Waziri wa mambo ya nje wa Denmark alisisitiza…

Ukraine yalemewa na mashambulizi ya Urusi

Ukraine inaendelea kulemewa vibaya na mashambulizi ya Urusi kwa takribani miaka minne sasa tangu uvamizi huo bila ya dalili ya vita hivyo kupata ufumbuzi licha ya hatua kadhaa zilizochukuliwa na washirika wa Kiev. Alfajiri ya Jumanne (Januari 20), vikosi vya Urusi…