JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Ushuru wa Trump unaojumuisha asilimia 104 dhidi ya China waanza kutekelezwa

Rais wa Marekani Donald Trump amesifu hatua yake ya kuziongezea ushuru bidhaa za nchi nyingi duniani zinazoingizwa Marekani akisema ni muhimu kwa maono yake kwa ajili ya Marekani. Kauli yake inakuja wakati akiiongezea maradufu ushuru China wa hadi asilimia 104….

79 wafariki baada ya paa kuporomoka klabuni Jamhuri ya Dominika

Watu 79 wamekufa baada ya paa la klabu moja maarufu ya usiku katika Jamhuri ya Dominika kuporomoka. Miongoni mwa waliokufa katika tukio hilo la usiku wa manane ni mwanasiasa mmoja na mchezaji nyota wa Baseball. Mwanamuziki maarufu wa mtindo wa…

Walionyongwa duniani waongezeka : Amnesty

Idadi ya watu wanaojulikana kunyongwa mwaka jana ilikuwa kubwa zaidi katika takriban muongo mmoja, huku Iran, Iraq na Saudi Arabia zikiongoza kwenye orodha ya nchi zilizotekeleza hukumu hiyo. Ripoti ya kila mwaka kuhusu ya hukumu za kifo ya Shirika la…

Kagame azilaani nchi zinazoiwekea Rwanda

Rais wa Rwanda Paul Kagame amezilaani nchi zinazoiwekea nchi yake vikwazo. Baadhi ya mataifa yameiwekea Kigali vikwazo kuhusu kuhusika kwake katika mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Akihutubia kwenye tukio la kuashiria mwanzo wa mfululizo wa shughuli…

Ukraine na Marekani hatimaye kusaini mkataba wa madini

Timu ya wapatanishi wa Ukraine itasafiri kwenda Marekani wiki hii, wakitarajia kusaini mkataba wa madini ambao umekwama kwa wiki kadhaa. Washington pia inataka haki za kuchimba madini nchini Ukraine kwa kubadilishana na misaada inayoipa nchi hiyo. Mkataba huo ulitarajiwa kutiwa…

Trump atangaza mazungumzo ya nyuklia na Iran

Rais Donald Trump amesema Marekani itaanzisha mazungumzo, ya ngazi ya juu na Iran kuhusu mpango wake wa nyuklia siku ya Jumamosi. Alitoa tangazo hilo la kushangaza alipokutana na Netanyahu katika Ikulu ya White House. Rais huyo wa Marekani alisema ana…