JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Zimamoto 444 washiriki kuzima moto wa nyika nchini Ugiriki

Mamia ya maafisa wa zimamoto wanaendelea kupambana kwa siku ya tatu mfululizo na moto mkubwa wa nyika uliosambaa katika maeneo mbalimbali ya kisiwa cha Chios, nchini Ugiriki, baada ya kutangazwa hali ya dharura. Juhudi za kuudhibiti moto huo zimehusisha jumla…

Bei ya mafuta yashuka baada ya Israel, Iran kusitisha mapigano

Bei ya mafuta imeshuka kwa karibu 5% Jumanne baada ya Israel kukubali kusitisha mapigano kati yake na Iran yaliyoendelea kwa karibu wiki mbili. Bei ya kimataifa ya mafuta ghafi ya Brent ilishuka hadi $68 kwa pipa ilakini ikaimarika baada ya…

Trump: Israel na Iran zaafikiana kusitisha mapigano

Rais wa Marekani Donald Trump amesema Israel na Iran wamekubaliana kusitisha mapigano, hatua ambayo itaanza kutekelezwa ndani ya saa 24 zijazo na ambayo italimaliza mzozo huu uliodumu kwa siku 12. Rais wa Marekani Donald Trump amesema mapema siku ya Jumanne…

Urusi imetekeleza wimbi jipya la mashambulizi Kyiv

Mamlaka za Ukraine zimesema mapema leo kuwa Urusi imetekeleza wimbi jipya la mashambulizi ya droni na kuulenga mji mkuu Kyiv. Tymur Tkachenko, mkuu wa utawala wa kijeshi wa Kyiv amesema watu kadhaa wamejeruhiwa kufuatia mashambulizi hayo. Hayo yanajiri baada ya…

Mashambulizi ya Marekani huko Iran yazua taharuki duniani

Mashambulizi ya Marekani kwa vinu vya nyuklia vya Iran yamezusha taharuki ulimwenguni huku mataifa mbalimbali yakiwa na misimamo tofauti. Ujerumani kupitia Waziri wake wa Ulinzi Boris Pistorius imesema kuwa mashambulizi hayo ni “habari njema” kwa Mashariki ya Kati na Ulaya,…

Shambulio la kujitoa mhanga laua 22 kanisani Damascus

Takriban watu 22 wameuawa na wengine 63 kujeruhiwa katika shambulio la bomu la kujitoa muhanga katika kanisa moja mjini Damascus, wizara ya afya ya Syria imesema. Mwanamume mmoja alifyatua risasi kwa kutumia silaha katika Kanisa la Kiorthodoksi la Ugiriki la…