JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

India yatoa tahadhari baada ya meli iliyobeba shehena hatari kuzama

Mamlaka katika jimbo la Kerala kusini mwa India wametoa tahadhari baada ya meli iliyokuwa imebeba mafuta na shehena ya hatari kuvuja na kuzama katika ufuo wa jimbo hilo katika bahari ya Arabia. Mwagikaji huo ulitokea katika meli yenye bendera ya…

Urusi na Ukraine wabadilishana wafungwa

URUSI na Ukraine zimebadilishana mamia ya wafungwa ambayo ni sehemu ya tatu na ya mwisho ya mpango huo uliashirikia hatua isio ya kawaida ya ushirikiano kati ya mataifa hayo mawili. Kando na hatua hiyo mataifa hayo yameshindwa kufikia makubaliano ya…

Trump aahirisha ushuru wa asilimia 50 kwa Ulaya

RAIS Donald Trump wa Marekani ametangaza kuahirisha utozaji ushuru wa asilimia hamsini kwa bidhaa zinazotoka Umoja wa Ulaya uliokuwa uanze tarehe Mosi Juni. Trump alisema sasa hatua hiyo itaanza kutekelezwa tarehe 9 Julai, na kwamba amechukuwa uamuzi huo ili kupisha…

Mashambulizi ya Urusi yamesababisha vifo vya watu 12 Ukraine

MAAFISA wa Ukraine wamesema mashambulizi ya Urusi nchini humo yamesababisha vifo vya watu 12 huku jeshi la taifa hilo likitangaza kuyadungua makombora 45 na droni 266 katika mashambulizi hayo. Kituo cha huduma za dharura cha Ukraine kimeelezea mashambulizi hayo kuwa…

Kim Jong Un akerwa na ajali kwenye uzinduzi wa meli ya kivita

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ameonyesha kughadhabishwa na ajali mbaya iliyotokea Jumatano wakati wa uzinduzi wa meli mpya ya kivita nchini humo akisema ni uzembe wa hali ya juu. Kiongozi huyo wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ameitaja…

Trump amshambulia Ramaphosa kwa mauaji ya wazungu

RAIS Donald Trump amemshambulia Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa jana Jumatano baada ya kumchezea video iliyoonyesha madai ya mauaji ya kimbari yanayofanywa dhidi ya wazungu. Rais Trump alisema wakulima hao sasa wanalazimika kukimbilia Marekani ili kunusuru maisha yao. Trump…