JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Urusi yaukomboa mji wa Kursk uliotekwa na Ukraine

Rais wa Urusi Vladimir Putin amepokea ripoti kutoka kwa Mkuu wa Majeshi ya Urusi Jenerali Valery Gerasimov iliyothibitisha kukomboa mji wa Kursk baada ya miezi karibu kumi ya mji huo kutekwa na majeshi ya Ukraine na washirika yaliyopo katika mkoa…

Mume wa marehemu mwimbaji wa muziki wa injili wa Nigeria kunyongwa

Mahakama Kuu huko Abuja amemhukumu Peter Nwachukwu, mume wa mwimbaji maarufu wa injili Osinachi, kifo kwa kunyongwa kwa kupatikana na hatia ya mauaji. Hukumu hiyo, iliyotolewa na Jaji Nwosu-iheme, inatolewa miaka mitatu baada ya kifo cha Osinachi kilichotokea mnamo Aprili…

Amnesty yakosoa hatua za Trump akitimiza siku 100 madarakani

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu la Amnesty International limetoa Jumanne ripoti yake ya kila mwaka na kukosoa vikali hatua za rais wa Marekani Donald Trump, ambaye ametimiza siku 100 akiwa madarakani. Amnesty imesema hatua za Trump zinalenga…

Kihouthi: Shambulio la Marekani limewaua wahamiaji 68 Yemen

Waasi wa Kihouthi wa nchini Yemen wamesema shambulio la anga lililofanywa na Marekani lililokilenga kituo kinachowashikilia wahamiaji kutoka Afrika limewauwa watu 68. Kamandi kuu ya Marekani haijazungumzia tukio hilo. Taarifa ya Wahouthi iliyotolewa mapema Jumatatu , imesema kando ya watu…

Urusi yatoa sharti moja la usitishaji wa mapigano Ukraine

Waziri wa masuala ya kigeni nchini Urusi Sergey Lavrov amesema kuwa Urusi iko tayari kusitisha mapigano bila masharti, lakini “tunataka hakikisho kwamba usitishaji mapigano hautatumika tena kuimarisha jeshi la Ukraine na kwamba usambazaji wa silaha lazima ukome.” Akizungumza na mwandishi…

SIPRI: Matumizi ya kijeshi yaongezeka duniani

Ripoti mpya iliyotolewa na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa masuala ya Amani (SIPRI) imesema matumizi ya kijeshi duniani kote yameongezeka mwaka jana huku migogoro inayoongezeka ikichochea ongezeko la matumizi hayo. Ripoti hiyo ya taasisi ya SIPRI yenye makao yake…