Category: Kimataifa
Papa Francis atoa wito wa amani na kusuluhishwa kwa mizozo
Papa Francis ambaye amelazwa hospitalini kwa zaidi ya wiki mbili kwa ugonjwa wa maambukizi ya mapafu amewashukuru leo waumini wa kanisa katoliki kote duniani kwa msaada na kumuonesha upendo. Kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ambaye amelazwa hospitalini…
Viongozi wa Ulaya wakubaliana kuhusu amani ya Ukraine
Viongozi wa Ulaya wametangaza kuiunga mkono Ukraine katika mkutano wa kilele uliofanyika London. Wameahidi kutumia fedha zaidi kwenye usalama na kuunda muungano wa kuyalinda makubaliano yoyote ya amani nchini Ukraine. Mazungumzo hayo, ambayo yaliwaleta Pamoja washirika 18, yalijiri siku mbili…
Aliyekuwa Mkuu wa Kitivo cha Tiba Butare ashtakiwa Paris kwa mauaji ya kimbari Rwanda
Aliyekuwa kiongozi wa Kitivo cha Tiba katika Chuo Kikuu cha Butare, Rwanda, amefikishwa mahakamani mjini Paris akikabiliwa na mashtaka ya mauaji ya kimbari, uhalifu dhidi ya binadamu, na kula njama ya kutekeleza uhalifu huo. Alphonse K., mwenye umri wa miaka…
Urusi,Ukraine zashambuliana vikali kwa droni na makombora
Mapambano makali yameripotiwa Jumamosi kati ya Moscow na Kiev, ambapo watu watatu wameuawa katika eneo la mkoa wa Ukraine wa Kherson linalokaliwa na Urusi. Gavana wa Mkoa huo wa Kherson Vladimir Saldo amesema watu wawili wameuawa kwenye barabara kati ya…
Mfumuko wa bei waongezeka Kenya
Mfumuko wa bei wa kila mwaka nchini Kenya (KECPI=ECI), unafungua orodha mpya ya ongezeko kwa mwezi wa nne mfululizo hadi 3.5% mwezi Februari kutoka 3.3% mwezi Januari, ofisi ya takwimu ilisema Ijumaa. Mfumuko wa bei wa kimsingi ulisalia kwa 2.0%…
Urusi na Ukraine zaendelea kushambuliana
Mashambulizi ya makombora na droni yamesababisha vifo vya watu watatu katika eneo linalokaliwa na Urusi katika mkoa wa Kherson. Shirika la habari la Urusi RIA limesema watu hao ni mwanamke na mtoto mmoja ambao waliuawa baada ya gari la wagonjwa kushambuliwa…