JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mawaziri wa Umoja wa Ulaya waiunga mkono Ukraine

Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya wamefanya mkutano kwa njia ya video na kutangaza kuiunga mkono Ukraine kabla ya mkutano kati ya rais wa Marekani Donald Trump na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin huko Alaska. Kauli mbiu…

Trump : Wasio na makazi waondoke mara moja Washington DC

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa watu wasio na makaazi lazima “waondoke” Washington DC huku akiapa kukabiliana na uhalifu katika mji huo. Trump alitia saini amri mwezi uliopita ili kurahisisha kuwakamata watu wasio na makazi, na wiki iliyopita aliamuru…

Watu 63 wafariki kwa utapiamlo Sudan

Utapiamlo umesababisha vifo vya watu 63 katika muda wa wiki moja pekee, wengi wao wakiwa wanawake na watoto katika mji uliozingirwa wa El-Fasher nchini Sudan ambako hali ya kibinaadamu inazidi kuwa mbaya. Taarifa hiyo imetolewa Jumapili (11.08.2025) na Afisa mmoja…

Trump, Putin kukutana Ijumaa huko Alaska

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin Ijumaa ya Agosti 15 huko Alaska na kujadili namna ya kuvimaliza vita nchini Ukraine. Trump ametoa tangazo hilo lililothibitishwa na ikulu ya Kremlin baada ya kusema kuwa wadau…

Burundi yakabiliwa na uhaba wa umeme, baadhi ya huduma zasimama

Sehemu kubwa ya Burundi haina umeme tangu Jumatatu, huku mji mkuu wa Bujumbura ukiwa umeathirika pakubwa wakati nchi hiyo pia ikikabiliwa na uhaba mkubwa wa mafuta. Wakazi wa baadhi ya vitongoji wamesema wanateseka kwa kuishi karibu wiki nzima bila umeme,…

Israel kujadili kutanua operesheni za kijeshi Gaza

Baraza la usalama la Israel linakutana kujadiliana kuhusu uwezekano wa kutanua operesheni zake za kijeshi kwenye Ukanda wa Gaza, hatua ambayo ikiwa itakubalika itatekelezwa licha ya upinzani mkali kutoka ndani. Hatua hii pia inapingwa na familia za mateka wa Israel…