JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Makanisa yatoa wito wa kusitishwa kwa mapigano Goma

Ujumbe wa makanisa ya Kikatoliki na Kiprotestanti umetoa wito wa kusitishwa mapigano mjini Goma wakati wa ziara ya viongozi wa waasi waliouteka mji huo mashariki mwa DRC. Askofu wa Kanisa Katoliki Donatien Nshole amesema makanisa yote mawili yameanza juhudi za…

Netanyahu atishia kurejesha mapigano

 Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ametishia kujitoa kwenye makubaliano ya kusitisha mapigano katika ukanda wa Gaza, akisema majeshi ya Israel yataanza tena mashambulizi dhidi ya Hamas ikiwa hawatarudisha mateka wa Israel kabla ya Jumamosi. Netanyahu alieleza kuwa, ikiwa Hamas…

Afrika Kusini yapeleka wanajeshi 800 Lubumbashi

Afrika Kusini imepeleka wanajeshi zaidi na zana za kivita nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ikiwa ni wiki chache tu baada ya askari wake 14 kuuawa kwenye mapigano na waasi wa M23 mashariki mwa nchi hiyo. Vyanzo kadhaa vya kisiasa…

Wanajeshi 84 DRC wapandishwa kizimbani kwa tuhuma za mauaji

Kesi ya wanajeshi 84 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanaotuhumiwa kwa mauaji, ubakaji na uhalifu mwingine dhidi ya raia katika eneo lililokumbwa na vita mashariki mwa nchi hiyo imeanza kusikilizwa jana. Wanajeshi hao wanatuhumiwa kwa kuvunja nyumba za raia…

Netanyahu afika kizimbani kujibu mashtaka ya rushwa

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu leo amefika mbele ya mahakama mjini Tel Aviv kujibu mashtaka ya muda mrefu ya rushwa. Netanyahu aliwasili na timu yake ya mawakili inayoongozwa na Amit Hadad baada ya kuamriwa kutoa ushahidi katika mashtaka ya…

Maambukizi ya Ukimwi kuongezeka mara sita 2029

Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kukabiliana na Ugonjwa wa Ukimwi, Winnie Byanyima, amesema kuwa idadi ya maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi huenda ikaongezeka mara sita zaidi ifikapo mwaka 2029, endapo Marekani haitaendelea na mpango wa kusiadia…