JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Moto mkubwa wa msituni wauwa watu 24 Korea Kusini

Moto mkubwa wa misituni unaoendelea kwa siku ya tano mfululizo katika maeneo ya kusini mashariki mwa Korea Kusini umesababisha vifo vya watu 24. Maafisa wamesema zaidi ya watu 27,000 wamelazimika kuhamishwa. Rais wa mpito wa nchi hiyo, Han Duck-soo, amesema…

Urusi, Ukraine zakubaliana kusitisha mashambulizi baharini

Urusi na Ukraine zimekubaliana kusitisha mapigano katika Bahari Nyeusi katika mikataba tofauti na Marekani, baada ya siku tatu za mazungumzo ya amani nchini Saudi Arabia. Serikali ya Washington ilisema pande zote zitaendelea kufanya kazi kuelekea “amani ya kudumu ” katika…

Jopo la wasuluhishi laundwa kumaliza mzozo wa Kongo

Mkutano wa kilele uliowaleta pamoja wakuu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika, SADC, na Jumuiya ya Afrika Mashariki, umeunda jopo la wasuluhishi katika mzozo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kwa mujibu wa tangazo…

Marekani, Urusi zakabiria muafaka kuhusu Ukraine

Maafisa wa Marekani na Urusi wamekamilisha mazungumzo ya siku moja jana Jumatatu, wakiangazia pendekezo la mapatano ya kusitisha vita baharini kati ya Kyiv na Moscow, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kidiplomasia zinazonuwiwa kuchangia mazungumzo mapana ya amani. Lakini hata…

Waandishi kadhaa wakamatwa Uturuki

Vyombo vya usalama Uturuki vimewatia nguvuni waandishi kadhaa waliokuwa wanaripoti kuhusu maandamano ya kupinga kukamatwa kwa meya wa Istanbul. Mamlaka ya Uturuki zimewakamata waandishi kadhaa wa habari siku ya Jumatatu kama sehemu ya shinikizo dhidi ya maandamano yaliyoibuka baada ya…

Mgogoro Mashariki mwa DRC wazidi kuibua wasiwasi wa kikanda

Hali ya wasiwasi inazidi kuikumba Kongo Mashariki katikati mwa mapigano kati ya vikosi vya serikali na waasi wa M23 huku nchi jirani ya Burundi ikielemewa na mzingo wa wakimbizi, na Angola ikijitoa kuwa msuluhishi. Mgogoro unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya…