Category: Kimataifa
Joto kali Ulaya laua, shule zafungwa
WIMBI la joto kali limeikumba sehemu kubwa ya bara la Ulaya, likisababisha shule nyingi kufungwa na vifo vya watu kuripotiwa katika nchi za Uhispania, Ufaransa na Ureno. Katika baadhi ya maeneo ya Uhispania na Ureno, viwango vya joto vimeripotiwa kuvuka…
UN: Mamilioni ya wakimbizi Sudan wanakabiliwa na njaa
Mamilioni ya watu wanaokimbia vita nchini Sudan wanakabiliwa na kitisho kikubwa zaidi cha njaa, wakati wakisaka hifadhi kwenye nchi ambazo tayari zina uhaba wa chakula. Shirika la Mpango wa Chakula Duniani, WFP lilisema siku ya Jumatatu kwamba wakimbizi zaidi ya…
Jeshi la Israel latangaza kutanua operesheni za kijeshi Gaza
Jeshi la Israel limesema jana Jumanne kwamba limetanua operesheni zake kwenye Ukanda wa Gaza siku chache kabla ya ziara ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, mjini Washington. Wakazi wameripoti mapigano makali siku chache kabla ya ziara ya Waziri Mkuu…
Wanajeshi DRC wadungua ndege ya misaada ya kibinadamu Kivu ya kusini
Wanajeshi wa DRC wamedungua ndege ya kusafirisha misaada ya kibinadam katika Mkoa wa Kivu ya Kusini Ndege hiyo inaripotiwa kuwa ilikuwa ikielekea eneo la Minembwe kusafirisha dawa na chakula kwawaadhiriwa wa vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC. Vugu vugu la AFC…
Zaidi ya watu milioni 14 wanaweza kufa kwa kukosa misaada
ZAIDI ya watu milioni 14 wanaoishi kwenye mazingira magumu zaidi duniani huenda wakafariki baada ya utawala wa Rais Donald Trump kupunguza misaada. Utafiti uliochapishwa leo na Jarida la tiba la Lancet unakadiria kuwa miongoni mwa watu hao, theluthi moja ni…
Iran yamesema haina imani na usitishwaji vita wa Israel
IRAN imesema siku ya Jumapili kwamba haina haina imani hata kidogo na hatua ya Israel ya kujitolea kusitisha mapigano na kuhitimisha makabiliano makali yaliyosababisha uharibifu kati ya maadui hao wawili. Mkuu wa majeshi ya Iran Abdolrahim Mousavi alinukuliwa na televisheni…