JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Trump: Ukraine inachelewesha kumalizika kwa vita

Rais wa Marekani Donald Trump amemtupia lawama rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kwa kukataa kukubali kulipoteza eneo la Crimea ambalo tayari linakaliwa kimabavu na Urusi ili kumaliza vita baina ya nchi hizo mbili. Rais wa Marekani Donald Trump amemtupia lawama…

Upinzani Uturuki waitisha maandamano nje ya bunge

Upinzani nchini Uturuki, umewataka wafuasi wake kukusanyika nje ya majengo ya bunge mjini Ankara leo Jumatano, kupinga marufuku iliyotangazwa rasmi dhidi ya mikusanyiko. Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani cha CHP, Ozgur Ozel, amesema atahutubia nje ya bunge wakati nchi…

Mwili wa Papa Francis wawasili Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro

Mwili wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis umehamishwa hadi kwenye Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro ambapo maelfu ya watu watapata fursa ya kutoa heshima zao za mwisho kwa muda wa siku tatu. Ni kwa nyimbo za ibada huku…

Viongozi wa dunia wajiandaa kushiriki mazishi ya Papa, Roma

Italia imetangaza siku tano za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, huku bendera ikipeperushwa nusu mlingoti kwenye majengo yote ya umma. Viongozi mbalimbali wa dunia wametangaza kushiriki maziko ya kiongozi huyo wa kiroho…

Chuo kikuu cha Harvard chaushitaki utawala wa Trump

Chuo kikuu cha Harvard kimeushitaki utawala wa rais wa Marekani Donald Trump kutaka kuzuia ufadhili kutoka kwa serikali ya shirikisho. Chuo kikuu cha Harvard nchini Marekani kimeushitaki utawala wa rais Donald Trump katika mahakama ya shirikisho jana Jumatatu katika juhudi…

Papa alifariki kutokana na kiharusi na mshtuko wa moyo – Vatican

Kifo cha Papa Francis siku ya Jumatatu akiwa na umri wa miaka 88 kimekuja baada ya kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki kukumbwa na matatizo kadhaa ya kiafya katika miaka ya hivi karibuni. Francis alifariki asubuhi Jumatatu katika makazi yake, Vatican…