JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Daktari Ufaransa aenda jela miaka 20 kwa kuwabaka wagonjwa 229

Mahakama ya Ufaransa imetoa kifungo cha juu cha miaka 20 jela kwa daktari bingwa wa upasuaji ambaye alikiri kuwadhulumu kingono mamia ya wagonjwa, wengi wao wakiwa watoto, kwa zaidi ya miongo miwili. Kesi hiyo iliyodumu kwa miezi mitatu ya Joel…

Trump ‘ampa wiki mbili’ Putin

Rais wa Marekani Donald Trump ameonekana kumuwekea Vladimir Putin makataa ya wiki mbili, akitishia kuchukua mkondo tofauti ikiwa mwenzake wa Urusi bado ataendelea kumrejesha nyuma kwa vitendo vyake. Wakati Urusi ikizidisha mashambulizi yake dhidi ya Ukraine, Trump aliulizwa katika Ikulu…

Ziara ya ghafla ya Kabila Goma ilivyotikisa siasa za DRC

Ziara ya ghafla ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Joseph Kabila, katika mji wa Goma ulioko mashariki mwa nchi hiyo, imezua taharuki na mjadala mkali wa kisiasa nchini humo, huku serikali ikiitaja kuwa ni “usaliti wa…

India yatoa tahadhari baada ya meli iliyobeba shehena hatari kuzama

Mamlaka katika jimbo la Kerala kusini mwa India wametoa tahadhari baada ya meli iliyokuwa imebeba mafuta na shehena ya hatari kuvuja na kuzama katika ufuo wa jimbo hilo katika bahari ya Arabia. Mwagikaji huo ulitokea katika meli yenye bendera ya…

Urusi na Ukraine wabadilishana wafungwa

URUSI na Ukraine zimebadilishana mamia ya wafungwa ambayo ni sehemu ya tatu na ya mwisho ya mpango huo uliashirikia hatua isio ya kawaida ya ushirikiano kati ya mataifa hayo mawili. Kando na hatua hiyo mataifa hayo yameshindwa kufikia makubaliano ya…

Trump aahirisha ushuru wa asilimia 50 kwa Ulaya

RAIS Donald Trump wa Marekani ametangaza kuahirisha utozaji ushuru wa asilimia hamsini kwa bidhaa zinazotoka Umoja wa Ulaya uliokuwa uanze tarehe Mosi Juni. Trump alisema sasa hatua hiyo itaanza kutekelezwa tarehe 9 Julai, na kwamba amechukuwa uamuzi huo ili kupisha…