Category: Kimataifa
Iran yaanzisha baraza jipya la uongozi
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametangaza kuwa baraza jipya la uongozi limeanza rasmi kazi kufuatia kuuawa kwa Kiongozi Mkuu, Ayatollah Ali Khamenei, katika mashambulizi ya Marekani na Israel. Katika ujumbe uliorekodiwa na kurushwa kwenye televisheni ya taifa, Pezeshkian amesema baraza…
Israel na Marekani zaendeleza mashambulizi dhidi ya Iran
Israel imesema imeanzisha wimbi jingine la mashambulizi dhidi ya Iran, leo Jumapili huku hali ya sintofahamu ikiendelea miongoni mwa Wairani baada ya kifo cha Kiongozi Mkuu wa nchi hiyo, Ayatollah Ali Khamenei. Vyombo vya habari vya serikali ya Iran vilithibitisha…
Watu 6 wafariki katika ajali ya helikopta Kenya
Watu sita wamefariki dunia baada ya helikopta kuanguka magharibi mwa Kenya. Miongoni mwa waliofariki ni Mbunge wa Emurua Dikirr, Johana Ng’eno. Ajali hiyo ilitokea Jumamosi katika eneo la Mosop, takribani kilomita 300 kaskazini-magharibi mwa jiji la Nairobi, kwa mujibu wa…
Iran yaanza tena mashambulizi yake ya anga
Iran imeanza tena mashambulizi yake ya anga dhidi ya nchi za Ghuba ya Kiarabu, ikilenga makambi ya Marekani kote katika eneo hilo. Tumesikia mlipuko mkubwa asubuhi ya leo huko Doha na moshi mwingi unaonekana kutoka mjini humo. Wizara ya mambo…
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei auawa
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameuawa katika shambulio kubwa dhidi ya Iran lililofanywa na Israel na Marekani, imesema televisheni ya taifa. Maafisa kadhaa waandamizi pia wameuawa. Kifo hicho kimetilia shaka mustakabali wa Jamhuri hiyo ya Kiislamu na kuongeza…
Rubio: Iran yatengeneza makombora yanayoweza kufika Marekani
WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marekani asema Iran inaendeleza makombora ya masafa marefu yanayoweza kufikia Marekani, akisisitiza kuwa hilo ni tishio lisilovumilika kabla ya mazungumzo ya Geneva. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, amesema Iran inaendelea…





