JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mashambulizi ya Israel yaua watu 70 Gaza

Wapalestina wanaokaribia 70 wameuawa leo na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika mashambulizi makali ya anga ya vikosi vya Israel kwenye Ukanda wa Gaza. Mashambulizi hayo yanatajwa kuwa makali tangu utawala mjini Tel Aviv ulipotangaza kurejea kwa operesheni ya kijeshi kwenye eneo…

Umoja wa Ulaya waamua kuongeza matumizi ya ulinzi

Viongozi wa Umoja wa Ulaya walikutana mjini Brussels Alhamisi na kukubaliana kuongeza matumizi ya ulinzi kufikia mwaka 2030, huku wakiafikiana pia kuendelea kutoa msaada zaidi kwa Ukraine. Katika mkutano huo wa kilele mjini Brussels Alhamisi jioni (20.03.2025), viongozi hao wa…

UN: Majanga ya mazingira yaliwaacha wengi bila makazi 2024

Umoja wa Mataifa umesema kuwa mamia kwa maelfu ya watu walilazimika kukimbia majanga ya kimazingira mwaka jana, ikiashiria haja ya kuwepo mifumo ya tahadhari ya mapema kwa dunia nzima. Umoja wa Mataifa umesema kuwa mamia kwa maelfu ya watu walilazimika…

Emir wa Qatar awakutanisha Kagame, Tshisekedi

Marais wa Rwanda na DR Kongo wamekutana Jumanne nchini Qatar na kuelezea uungaji mkono wao kwa usitishaji mapigano, ilisema taarifa ya pamoja, siku moja baada ya mazungumzo ya amani nchini Angola kuvunjika. Umoja wa Ulaya hivi karibuni uliwawekea vikwazo makamanda…

Urusi na Ukraine zashambuliana baada ya mawasiliano ya Putin na Trump

Urusi na Ukraine zimeanzisha mashambulizi ya anga ambayo yaliharibu miundombinu ya kila mmoja wao, saa chache baada ya Rais Vladimir Putin kusema Urusi itaacha kuyalenga maeneo ya nishati ya Ukraine. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema malengo ya Urusi ni…

Bunge la Ujerumani kupitisha kuzuia kikomo cha ukopaji

Bunge la Ujerumani linalomaliza muda wake linatarajiwa kupitisha mpango mkubwa wa kuzuia ukomo wa serikali kukopa ambao umewasilishwa na vyama vitatu vya CDU/CSU na SPD vinavyotarajiwa kuunda serikali mpya ya mseto. Friedrich Merz anayetazamiwa kuwa Kansela ajaye wa Ujerumani anaupigia…