JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Trump apiga marufuku wanamichezo wa kike waliobadili jinsia kushindana mashindano ya wanawake

Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini agizo linalozuia wanawake waliobadili jinsia kushindana katika michezo ya wanawake. “Kuanzia sasa, michezo ya wanawake itakuwa ya wanawake tu,” Trump alisema, akizungukwa na wanariadha wanawake na wasichana kabla ya kusaini agizo hilo huko…

Prince Rahim Al-Hussaini ateuliwa kuwa Aga Khan mpya

Prince Rahim Al-Hussaini ametangazwa kuwa Aga Khan mpya, kiongozi wa kiroho wa mamilioni ya Waislamu wa madhehebu ya Shia ya Ismailia. Atachukua nafasi hiyo kutoka kwa babake Prince Karim Aga Khan, aliyefariki Jumanne akiwa na umri wa miaka 88. Uteuzi…

DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeelezea hatua ya kusitishwa mapigano iliyotangazwa na waasi wa M23 mashariki mwa nchi hiyo kama “mawasiliano ya uongo.” Kulingana na msemaji wa serikali ya Kongo Patrick Muyaya, wanachosubiri kwa sasa ni kuondoka nchini…

Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China

Shirika la Posta la Marekani limesema limeacha kupokea mizigo kutoka China bara na Hong Kong kwa muda usiojulikana. Huduma ya barua haitaathiriwa na usitishaji huo, ilisema shirika hilo, ambalo lilikataa kutoa sababu ya uamuzi huo. Hata hivyo, mnamo Jumanne sheria…

Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele

Dunia imepata pigo kubwa kufuatia taarifa za kifo cha Mtukufu Aga Khan IV, Karim Al-Hussaini, aliyefariki Februari 4, 2025, jijini Lisbon, Ureno, akiwa na umri wa miaka 88. Aga Khan IV alikuwa kiongozi wa 49 wa madhehebu ya Shia Ismailia,…

Trump apendekeza Marekani ichukue udhibiti wa Ukanda wa Gaza

Rais wa Marekani, Donald Trump, na Waziri Mkuu wa Israel, Netanyahu, wamefanya mkutano wa waandishi wa habari ambapo Trump ametoa pendekezo kwamba Marekani “ichukue udhibiti” wa Gaza, na kuwahamisha watu milioni 1.8 wa Gaza kwenda nchi nyingine za Kiarabu. Trump…