Musoma, Butiama kupata maji kwa asilimia 100
MUSOMA NA JOVINA MASSANO Maji ni uhai kwa kila kiumbe kilichopo katika dunia. Kama msemo huo una ukweli ndani yake, basi wakazi katika vijiji kadhaa katika wilaya za Musoma Vijijini na Butiama wanatarajia kuanza kupata uhai huo, kwani wataanza kupata huduma ya maji safi na salama hivi karibuni. Hilo linafuatia utiaji saini wa mkataba…