JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Madaktari China wampandikiza binadamu mapafu ya nguruwe

Madaktari bingwa nchini China wamefanikiwa kwa mara ya kwanza kufanya upandikizaji wa mapafu kutoka kwa nguruwe hadi kwa binadamu. Wanasema hilo linaoyesha uwezekano wa mafanikio katika utaratibu huo. Wanasema hilo linaoyesha uwezekano wa mafanikio katika upasuaji huo hata kama majaribio…

Jeshi la Urusi ladai kuteka kijiji kingine cha Ukraine

Jeshi la Urusi limedai kukikamata kijiji kingine kwenye jimbo la Dnipropetrovsk na kuzidi kuingia kwenye maeneo ya Ukraine, huku hatua za kupatikana kwa makubaliano ya amani kwa mara nyingine zikikwama. Wizara ya Ulinzi ya Urusi imeesema vikosi vyake vimeteka eneo…

M23 yaishtumu Serikali kutumia mamluki kushambulia ngome zao

Mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yamechukua sura mpya baada ya waasi wa M23 kuishutumu serikali kwa kutumia mamluki wa kigeni kushambulia maeneo wanayoyadhibiti, ikiwemo eneo la makazi la Kadasomwa, lenye migodi katika wilaya ya Kalehe, mkoa wa Kivu…

Waendesha mashitaka wa Kongo wataka Kabila ahukumiwe kifo

Waedesha mashitaka wa umma katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wameomba rais wa zamani wa taifa hilo Joseph Kabila kupewa adhabu ya kifo katika kesi inayomkabili ya uhaini. Kabila anashitakiwa bila kuwepo mahakamani kwa makosa hayo na mengine ya uhalifu…

Urusi yapuuza kufanya mazungumzo na Zelensky

Ikulu ya Urusi imepuuzilia mbali mazungumzo kuhusu mkutano kati ya Rais wa Urusi Vladimir Putin na Volodymyr Zelensky wa Ukraine, huku Donald Trump akitoa wito kwa viongozi hao wawili kukutana ili kujadili kumaliza vita nchini Ukraine. Shinikizo la kufanyika kwa…

Marekani, Ulaya zajadili dhamana ya ulinzi kwa Ukraine

Maafisa wa ngazi ya juu wa kijeshi kutoka Marekani na mataifa ya Ulaya wamekutana kwa mara ya kwanza mjini Washington kuandaa mipango ya utekelezaji wa mkataba wa amani kati ya Urusi na Ukraine pindi utaafikiwa. Mkutano huo umejumuisha maandalizi ya…