Category: Kimataifa
Mashambulizi ya Urusi yamesababisha vifo vya watu 12 Ukraine
MAAFISA wa Ukraine wamesema mashambulizi ya Urusi nchini humo yamesababisha vifo vya watu 12 huku jeshi la taifa hilo likitangaza kuyadungua makombora 45 na droni 266 katika mashambulizi hayo. Kituo cha huduma za dharura cha Ukraine kimeelezea mashambulizi hayo kuwa…
Kim Jong Un akerwa na ajali kwenye uzinduzi wa meli ya kivita
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ameonyesha kughadhabishwa na ajali mbaya iliyotokea Jumatano wakati wa uzinduzi wa meli mpya ya kivita nchini humo akisema ni uzembe wa hali ya juu. Kiongozi huyo wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ameitaja…
Trump amshambulia Ramaphosa kwa mauaji ya wazungu
RAIS Donald Trump amemshambulia Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa jana Jumatano baada ya kumchezea video iliyoonyesha madai ya mauaji ya kimbari yanayofanywa dhidi ya wazungu. Rais Trump alisema wakulima hao sasa wanalazimika kukimbilia Marekani ili kunusuru maisha yao. Trump…
Iran yasisitiza haitoacha urutubishaji wa urani
Iran leo kupitia waziri wake wa mambo ya nje Abbas Araghchi imesema haitoacha kurutubisha madini urani. Tamko hili la Araghchi linaonyesha msimamo wa jamhuri hiyo ya Kiislamu katika mazungumzo yake na Marekani kuhusiana na mpango wake wa nyuklia unaokuwa kwa…
Waziri Mkuu wa zamani DRC ahukumiwa kifungo cha miaka 10 jela kwa ufisadi
Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Augustin Matata Ponyo, amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela pamoja na kufanya kazi ngumu, baada ya kupatikana na hatia ya ubadhirifu wa fedha za umma. Hukumu hiyo imetolewa na…
Wanajeshi sita wa Ukraine wauawa katika shambulio la Urusi
Shambulio la kombora la Urusi kwenye mazoezi ya kijeshi katika eneo la mpaka la Sumy la Ukraine limewaua wanajeshi sita na kuwajeruhi zaidi ya wengine 10, imesema Wizara ya Ulinzi ya Kitaifa ya Ukraine. Wizara ya ulinzi ya Urusi hapo…