Category: Kimataifa
Papa Francis afariki dunia akiwa na umri wa miaka 88
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88. Uongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Vatican kupitia Kadinali Kevin Farell umetangaza siku ya Jumatatu (21.04.2025) kifo cha Papa Francis kupitia televisheni ya Vatican. Wiki kadhaa…
Papa awatakia waumini Pasaka njema
Papa Francis amejitokeza katika Uwanja wa St Peter mjini Vatican kuwatakia “Pasaka Njema” maelfu ya waumini. Papa, 88, alitoka kwa kiti cha magurudumu na kupunga mkono kutoka kwenye roshani ya St Peter Basilica na kushangilia umati wa watu, akisema: “Ndugu…
Zelenskiy ametoa salamu za Pasaka kwa kuilalamikia Urusi
Rais Volodymyr Zelenskiy katika Jumapili hii ya Pasaka ametaka Waukraine kutokata tamaa ya kupatikana kwa amani,akisema watarejea katika nchi yao na wavumulie kuishinda nyakati ngumu ya vita iliyodumu kwa siku 1,152. Akiwa amevaa shati la kijivu lenye nakshi ya Kiukraine,…
Israel kuvishambulia vituo vya nyuklia vya Iran
Israel haijaondoa uwezekano wa kuvishambulia vituo vya nyuklia vya Iran katika miezi ijayo licha ya Rais Donald Trump kumwambia Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwamba Marekani kwa sasa haiko tayari kuunga mkono hatua kama hiyo, kulingana na afisa mmoja…
Watu 70 wauawa kufuatia shambulio la Marekani huko Yemen
Zaidi ya watu 70 wameuawa na idadi isiyojulikana kujeruhiwa kufuatia shambulio la anga la Marekani kwenye bandari muhimu ya mafuta inayoshikiliwa na waasi wa Houthi nchini Yemen. Zaidi ya watu 70 wameuawa na idadi isiyojulikana kujeruhiwa kufuatia shambulio la anga…
Watu 143 wafariki katika ajali ya boti nchini DR Kongo
Takriban watu 143 wamefariki na wengine kadhaa hawajulikani waliko baada ya boti iliyokuwa imebeba mafuta kuwaka moto na kupinduka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa maafisa nchini humo. Takriban watu 143 wamefariki na wengine kadhaa…