Category: Kimataifa
Raila Odinga afariki, atakumbukwa kwa kupigania uhuru wa kidemokrasia
Aliyekuwa waziri mkuu nchini Kenya Raila Odinga amefariki akiwa na umri wa miaka 80. Raila amefariki wakati akifanyiwa matibabu katika hospitali moja nchini India kulingana na duru za familia. Magazeti ya India Mathrubhumi na The Hindu yaliripoti habari hiyo kwa…
Marekani, China zatupiana ada mpya za bandari
MVUTANO wa kibiashara kati ya Marekani na China umechukua sura mpya baada ya mataifa hayo mawili kuanza kutozana ada za bandari kwa kampuni za usafirishaji baharini. Marekani na China zimeanza rasmi kutoza ada za bandari kwa kampuni za usafirishaji majini…
Jeshi kutawala Madagascar kwa miaka miwili kabla ya uchaguzi
Jesh la Madagascar limechukua madaraka baada ya Rais Andry Rajoelina kukimbia. Hatua hiyo inafuatia wiki kadhaa za maandamano makubwa yaliyoongozwa na vijana waliopinga umaskini, rushwa na ukosefu wa huduma za msingi. Jeshi la Madagascar limechukua madaraka kutoka kwa serikali ya…
Vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa kupunguzwa
Umoja wa Mataifa utalazimika kupunguza vikosi vyake vya kulinda amani duniani kote kwa karibu asilimia 25. Umoja wa Mataifa utalazimika kupunguza vikosi vyake vya kulinda amani duniani kote kwa karibu asilimia 25 kutokana na ukosefu wa fedha, unaohusishwa zaidi na…
Zelensky: Urusi inatumia droni kuleta machafuko Ulaya
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameituhumu Urusi kwa kutaka kuleta machafuko barani Ulaya kwa kutumia droni kwa ajili ya hujuma na kuvuruga hali ya usalama. Katika hotuba yake ya jioni ya Jumanne kwa njia ya video, Zelensky amesema serikali ya…
Maaskofu wa Katoliki DRC wapinga hukumu ya kifo dhidi ya Joseph Kabila
Baraza la Maaskofu wa Kitaifa wa Congo (CENCO) limelaani hukumu ya kifo iliyotolewa kwa Rais wa zamani Joseph Kabila na Mahakama Kuu ya Kijeshi ya Kinshasa. Wakielezea imani hiyo kuwa haipatani na maadili ya Injili, maaskofu wanadai kwamba mantiki ya…





