JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Ubalozi wa Marekani Saudi Arabia washambuliwa

Wizara ya Ulinzi ya Saudi Arabia imethibitisha kwamba ubalozi wa Marekani mjini Riyadh ulishambuliwa na ndege mbili zisizo na rubani, kulingana na makadirio ya awali. Katika taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa X, wizara hiyo ilisema hii ilisababisha “moto mdogo na…

Macron : Ufaransa itaongeza silaha za nyuklia

Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametoa hotuba muhimu jana Jumatatu kuhusu sera ya silaha za nyuklia za nchi hiyo katika wakati washirika wake wa Ulaya wana wasiwasi juu ya vitisho vinavyoongezeka kutoka Urusi. Katika hotuba hiyo, Rais Macron amesema Ufaransa…

Bei ya mafuta yapanda kutokana na mzozo Mashariki ya Kati

BEI ya mafuta imepanda leo Jumatatu huku masoko ya hisa yakiropomoka kutokana na kishindo cha mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yaliyoanza siku ya Jumamosi. Pipa moja la mafuta ghafi limefikia karibu dola 80 kwenye soko…

Israel yafanya wimbi jingine la mashambulizi Tehran

Israel imesema imeanzisha wimbi jipya la mashambulizi katikati mwa Tehran, ikilenga kufikia kitovu cha mji mkuu na kutawala anga ya Iran, baada ya wimbi la kwanza lililomuua Kiongozi Mkuu wa taifa hilo. Milipuko mikubwa imeripotiwa Jumapili mjini Tehran huku mashambulizi…

Iran yaanzisha baraza jipya la uongozi

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametangaza kuwa baraza jipya la uongozi limeanza rasmi kazi kufuatia kuuawa kwa Kiongozi Mkuu, Ayatollah Ali Khamenei, katika mashambulizi ya Marekani na Israel. Katika ujumbe uliorekodiwa na kurushwa kwenye televisheni ya taifa, Pezeshkian amesema baraza…

Israel na Marekani zaendeleza mashambulizi dhidi ya Iran

Israel imesema imeanzisha wimbi jingine la mashambulizi dhidi ya Iran, leo Jumapili huku hali ya sintofahamu ikiendelea miongoni mwa Wairani baada ya kifo cha Kiongozi Mkuu wa nchi hiyo, Ayatollah Ali Khamenei. Vyombo vya habari vya serikali ya Iran vilithibitisha…