JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Watu 6 wafariki katika ajali ya helikopta Kenya

Watu sita wamefariki dunia baada ya helikopta kuanguka magharibi mwa Kenya. Miongoni mwa waliofariki ni Mbunge wa Emurua Dikirr, Johana Ng’eno. Ajali hiyo ilitokea Jumamosi katika eneo la Mosop, takribani kilomita 300 kaskazini-magharibi mwa jiji la Nairobi, kwa mujibu wa…

Iran yaanza tena mashambulizi yake ya anga

Iran imeanza tena mashambulizi yake ya anga dhidi ya nchi za Ghuba ya Kiarabu, ikilenga makambi ya Marekani kote katika eneo hilo. Tumesikia mlipuko mkubwa asubuhi ya leo huko Doha na moshi mwingi unaonekana kutoka mjini humo. Wizara ya mambo…

Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei auawa

Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameuawa katika shambulio kubwa dhidi ya Iran lililofanywa na Israel na Marekani, imesema televisheni ya taifa. Maafisa kadhaa waandamizi pia wameuawa. Kifo hicho kimetilia shaka mustakabali wa Jamhuri hiyo ya Kiislamu na kuongeza…

Rubio: Iran yatengeneza makombora yanayoweza kufika Marekani

WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marekani asema Iran inaendeleza makombora ya masafa marefu yanayoweza kufikia Marekani, akisisitiza kuwa hilo ni tishio lisilovumilika kabla ya mazungumzo ya Geneva. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, amesema Iran inaendelea…

Japan kupeleka makombora kwenye kisiwa karibu na Taiwan

Waziri wa ulinzi wa Japani amesema anapanga kupeleka makombora kwenye kisiwa chake cha magharibi karibu na Taiwan ifikapo Machi 2031, huku mvutano wa kikanda ukiendelea. Ni mara ya kwanza kwa Japani kubainisha ratiba ya kupelekwa kwa kombora katika kisiwa cha…

Trump : Marekani sasa ni imara zaidi kuliko awali

RAIS wa Marekani Donald Trump ametoa hotuba kuhusu hali ya taifa mbele ya Bunge la Marekani katika kipindi ambacho taifa hilo linakabiliwa na changamoto za kisiasa ikiwemo mvutano unaoendelea na Iran. Hotuba hiyo imepewa uzito mkubwa na vyombo vya habari…