Category: Kimataifa
Ugonjwa unaomkabili Biden waibua maswali
Tangazo la Joe Biden kwamba amepatikana na saratani ya tezi dume limefufua maswali kuhusu masuala ya kiafya ambayo rais huyo wa zamani wa Marekani alikuwa akikabiliana nayo alipokuwa katika Ikulu ya White House. Katika taarifa ya Jumapili, ofisi ya Biden…
Zelensky aishutumu Urusi kwa kutaka kuendeleza vita vyake
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ameishutumu Urusi kwa kutoshiriki kwa dhati kwenye mazungumzo ya amani na kwa kutaka kuendeleza uvamizi wake wa miaka mitatu, licha ya msukumo wa Marekani wa kusitisha mapigano. Matamshi haya ameyatoa siku moja baada ya Rais…
Trump :Urusi, Ukraine kuanza mazungumzo ya kusitisha mapigano
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Urusi na Ukraine zitaanza mazungumzo “mara moja” kuelekea kusitisha mapigano na kumaliza vita, baada ya mazungumzo ya simu ya saa mbili na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin. Trump, ambaye alielezea mazungumzo hayo kuwa yameenda…
Joe Biden agunduliwa na saratani ya tezi dume
Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden amepatikana anaugua saratani ya tezi dume. Inaripotiwa saratani hiyo imesambaa hadi kwenye mifupa yake. Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden amegundulika kuwa na aina kali ya saratani ya tezi dume ambayo imesambaa…
Trump kuzungumza na Putin kuhusu kusitisha mapigano Ukraine
Rais wa Marekano Donald Trump anatarajiwa kuzungumza kwa njia ya simu mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin, kuhusu usitishaji mapigani nchini Ukraine. Ni sehemu ya jitihada za muda mrefu kuvifikisha mwisho vita vya Ukraine. Viongozi wa Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Italia…
Umoja wa Mataifa watoa wito wa usitishwaji vita Gaza
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito siku ya Jumamosi wa uwepo mpango wa mara moja na wa kudumu wa kusitisha vita katika Ukanda wa Gaza. Guterres ameitoa kauli hiyo alipohutubia mkutano wa kilele wa nchi za…