JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Urusi imetekeleza wimbi jipya la mashambulizi Kyiv

Mamlaka za Ukraine zimesema mapema leo kuwa Urusi imetekeleza wimbi jipya la mashambulizi ya droni na kuulenga mji mkuu Kyiv. Tymur Tkachenko, mkuu wa utawala wa kijeshi wa Kyiv amesema watu kadhaa wamejeruhiwa kufuatia mashambulizi hayo. Hayo yanajiri baada ya…

Mashambulizi ya Marekani huko Iran yazua taharuki duniani

Mashambulizi ya Marekani kwa vinu vya nyuklia vya Iran yamezusha taharuki ulimwenguni huku mataifa mbalimbali yakiwa na misimamo tofauti. Ujerumani kupitia Waziri wake wa Ulinzi Boris Pistorius imesema kuwa mashambulizi hayo ni “habari njema” kwa Mashariki ya Kati na Ulaya,…

Shambulio la kujitoa mhanga laua 22 kanisani Damascus

Takriban watu 22 wameuawa na wengine 63 kujeruhiwa katika shambulio la bomu la kujitoa muhanga katika kanisa moja mjini Damascus, wizara ya afya ya Syria imesema. Mwanamume mmoja alifyatua risasi kwa kutumia silaha katika Kanisa la Kiorthodoksi la Ugiriki la…

Bibi harusi apigwa risasi na kuuawa katika tafrija ya harusi yake Ufaransa

Bibi harusi ameuawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia harusi yake katika kijiji karibu na mji wa kusini-mashariki wa Ufaransa wa Avignon baada ya watu waliokuwa wamejifunika nyuso zao kufyatua risasi, maafisa wa eneo walisema. Mshukiwa mmoja wa shambulizi pia…

Kenya mwenyeji wa fainali za Michuano ya Mataifa ya Afrika

Kenya imepongeza tangazo la Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) kuwa nchi hiyo itakuwa mwenyeji wa fainali ya Michuano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) Agosti. Akipongeza hatua hiyo, mkuu wa Shirikisho la Soka la Kenya Hussein Mohammed, aliishukuru CAF kwa…

Marekani yashambulia vinu vya nyuklia Iran

Hatimaye, Marekani imeingia rasmi katika mgogoro wa kijeshi kati ya Israel na Iran kwa kuishambulia Iran moja kwa moja, katika kile kinachoelezwa kuwa ni hatua ya kuisaidia Israel katika vita vinavyoendelea kwa zaidi ya siku kumi. Kwa kutumia ndege za…