JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Umoja wa Mataifa watoa wito wa usitishwaji vita Gaza

KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito siku ya Jumamosi wa uwepo mpango wa mara moja na wa kudumu wa kusitisha vita katika Ukanda wa Gaza. Guterres ameitoa kauli hiyo alipohutubia mkutano wa kilele wa nchi za…

Mkuu wa Majeshi Uganda awatishia raia wanaompinga babake

Mkuu wa majeshi ya Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba amesema kuwa raia yeyote ambaye hatampigia kura baba yake katika uchaguzi mkuu ujao, atafukuzwa nchini humo. Mkuu wa majeshi ya Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba amesema kuwa raia yeyote ambaye hatampigia kura baba…

Zelenskiy agomea mazungumzo baada ya Putin kutotokea

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amegomea mazumgumzo ya amani yaliopangwa nchini Uturuki baada ya Rais wa Urusi Vladmir Putin kutojitokeza na badala yake viongozi hao wamewakilishwa na maafisa wa chini. Ametangaza kuwa hatashiriki mazungumzo ya amani yanayotarajiwa kufanyika leo mjini…

Rwanda: Kituo cha tiba ya bangi Rwanda mbioni kukamilika

Mradi wa Rwanda wa zao la bangi kwa ajili ya matibabu ya thamani ya Juu (HVTC) unapiga hatua kubwa, huku mradi wa miundombinu ya matibabu ya zao hilo ukiwa umekamilika kwa asilimia 83, kulingana na Bodi ya Maendeleo ya Rwanda…

Haya ndio majina maarufu zaidi waliyopewa watoto wa 2024

Unaweza kutambua majina bora 20 ya watoto maarufu zaidi ya 2024 ?… huenda karibu yote umewahi kuyasikia Liam na Olivia walikuwa majina maarufu zaidi ya watoto mnamo 2024, nafasi ambayo majina yote yameshikilia tangu 2019, kulingana na taasisi ya Utawala…

Marekani, Iran kufikia makubaliano ya nyuklia

Rais wa Marekani Donald Trump anasema kuwa Iran “imekubali” masharti ya mkataba wa nyuklia na Marekani. Trump alielezea mazungumzo ya hivi punde kati ya nchi hizo mbili, ambayo yalimalizika Jumapili, kama “mazungumzo mazito” ya “amani ya muda mrefu”. Hapo awali,…