JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mashambulizi yaendelea mzozo wa Iran na Israel

Jeshi la Israel limeripoti kuwa Iran imefanya mashambulizi yaliyohusisha msururu wa makombora Ijumaa mchana. Ni wakati waziri wa mambo ya nje wa Iran akiwa mjini Geneva kwa mazungumzo katika juhudi za kuutatua mzozo huo. Taarifa ya jeshi la Israel imesema…

Israel yatangaza kuzidisha mashambulizi dhidi ya Iran

Waziri wa ulinzi wa Israel Israel Katz amesema Alhamisi kuwa amewaagiza wanajeshi kuzidisha mashambulizi dhidi ya Iran, ikiwa ni pamoja na kuendeleza malengo ya serikali ya “kudhoofisha” uongozi wa Tehran. Katz ameongeza kuwa yeye na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu walitoa…

Marekani yaidhinisha dawa mpya ya kuzuia virusi vya UKIMWI

Taasisi ya kudhibiti dawa ya Marekani imeidhinisha dawa mpya ya kuzuia virusi vya Ukimwi. Dawa hiyo inayofanya kazi kwa muda mrefu, Lenacapavir, inahitaji tu kutumika mara moja kila baada ya miezi sita na mwenyekiti wa ugunduzi wake, Daniel O’Day amesema…

Israel yaendelea kufanya mashambulizi Iran

ISRAEL imesema alfajiri ya leo kuwa inaendelea kufanya mashambulizi ndani ya Iran ikiwemo kwenye mji mkuu Tehran. Hayo ni wakati duru kutoka Marekani zinasema Washington inajiandaa kuishambulia Iran mnamo siku za karibuni. Jeshi la Israel limetoa indhari ya kuondoka kwa…

Mapigano kati ya Israel na Iran yaingia siku ya sita

MASHAMBULIZI ya makombora kati ya Iran na Israel yameendelea leo kwa siku ya sita licha ya wito wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kutaka Iran isalimu amri bila masharti. Mashambulizi ya makombora kati ya Iran na Israel yameendelea leo…

Umoja wa Mataifa kupunguza misaada ya kiutu duniani kote

Umoja wa Mataifa umesema kwamba unalazimika kupunguza kwa kiasi kikubwa mipango yake ya misaada ya kibinadamu duniani kote kutokana na kukatwa kwa ufadhili. Umoja wa Mataifa umesema kwamba unalazimika kupunguza kwa kiasi kikubwa mipango yake ya misaada ya kibinadamu duniani…