JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Wanamgambo RSF waua 40 Darfur

Watu 40 wameuawa na wengine 19 kujeruhiwa baada ya wanamgambo wa Kikosi cha Usaidizi wa Haraka (RSF) kushambulia kambi ya wakimbizi wa ndani ya Abu Shouk, iliyoko nje kidogo ya mji wa El-Fasher, Darfur Kaskazini mwa Sudan. Mashirika ya kijamii…

Mgombea urais Colombia afariki dunia

Mgombea Urais wa Colombia, Miguel Uribe, amefariki dunia usiku wa kuamkia Jumanne, miezi miwili baada ya kushambuliwa kwa risasi alipokuwa kwenye kampeni za uchaguzi. Licha ya kuonyesha dalili za kupona katika wiki za hivi karibuni, madaktari walibainisha kuwa mwanasiasa huyo…

Daktari jela miaka 15 kumdhalilisha mgonjwa

Mahakama Kuu ya Anuradhapura, Sri Lanka, imemkuta na hatia daktari mwenye umri wa miaka 70 kwa kosa la kumdhalilisha kijinsia mwanamke mwenye umri wa miaka 25. Tukio hilo lilitokea baada ya mama huyo kufika katika kituo cha afya kwa ajili…

Takriban watu 55 wauawa na vikosi vya Israel huko Gaza

TAKRIBAN watu 55 wakiwemo watoto wameuawa usiku wa kuamkia Jumanne na vikosi vya Israel katika Ukanda wa Gaza. Miongoni mwa waliouawa walikuwemo watu 15 waliokuwa wakisubiri msaada wa kibinaadamu katika kivuko cha Zikim kaskazini mwa Gaza. Wizara ya Afya ya…

Mawaziri wa Umoja wa Ulaya waiunga mkono Ukraine

Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya wamefanya mkutano kwa njia ya video na kutangaza kuiunga mkono Ukraine kabla ya mkutano kati ya rais wa Marekani Donald Trump na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin huko Alaska. Kauli mbiu…

Trump : Wasio na makazi waondoke mara moja Washington DC

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa watu wasio na makaazi lazima “waondoke” Washington DC huku akiapa kukabiliana na uhalifu katika mji huo. Trump alitia saini amri mwezi uliopita ili kurahisisha kuwakamata watu wasio na makazi, na wiki iliyopita aliamuru…