JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Kim Jong Un: Korea Kaskazini haikwepi mazungumzo na Trump

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amesema hana sababu ya kuyakwepa mazungumzo na Marekani kama nchi hiyo haitomshinikiza kuachana na silaha za Nyuklia. Akizungumza katika hotuba yake mbele ya bunge Jumapili 21.09.2025, Kim alisisitiza kuwa kamwe hatoachana na silaha…

Jeshi la Israel lapeleka divisheni ya 36 Gaza

Jeshi la Israel, IDF limepeleka divisheni yake ya 36 Gaza City, ambayo ni ya tatu, kama sehemu ya mashambulizi yake ya ardhini dhidi ya wanamgambo wa Hamas. Awali divisheni hiyo inayojulikana pia kama Ga’ash ilifanya operesheni kusini mwa Gaza ikiwemo…

Vifaru vya Israel vyaingia katika eneo kubwa la makazi la Gaza

Wakazi wa eneo la Gaza na mashuhuda wanasema makumi ya vifaru na magari ya kijeshi ya Israel yameingia katika wilaya kubwa ya makazi ya mji wa Gaza, katika siku ya pili ya mashambulizi ya ardhini ya Israel yenye lengo la…

Israel yaanza operesheni ya kudhibiti Gaza City

JESHI la Israel limeanzisha mashambulizi yake ya ardhini yaliyokuwa yakisubiriwa katika Jiji la Gaza, baada ya mashambulizi makubwa ya angani usiku wa kuamkia leo katika mitaa kadhaa ya jiji hilo. Msemaji wa jeshi hilo amesema kufuatia maagizo ya uongozi wa…

Trump aidhinisha msaada wa silaha wa Ukraine

Vifurushi vya kwanza vya msaada wa silaha za Marekani kwa utawala wa Trump kwa Ukraine vimeidhinishwa na vinaweza kusafirishwa hivi karibuni wakati Washington inaanza tena kutuma silaha Kyiv, Reuters inaripoti. Wakati huu hatua hiyo inafanyika chini ya makubaliano mapya ya…

Marekani yaharibu meli inayodaiwa kuwa ya dawa za kulevya ya Venezuela

RAIS wa Marekani Donald Trump amesema Jeshi la Marekani limeharibu meli inayodaiwa kuwa ya mihadarati ya Venezuela iliyokuwa ikisafiri katika bahari ya kimataifa ikielekea Marekani. Trump alisema siku ya Jumatatu kwamba wanaume watatu waliuawa katika shambulizi dhidi ya “makundi ya…