JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Zelenskiy : Trump ananishinikiza kupita kiasi

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema Rais wa Marekani Donald Trump alikuwa akimshinikiza vikali katika kujaribu kupata suluhu ya vita vya karibu miaka minne akisema ni jukumu la Kyiv kuhakikisha mazungumzo hayo yanafanikiwa. Zelensky, katika mahojiano na tovuti ya Marekani…

Zelensky: Urusi inajiandaa kufanya mashambulizi Zaidi

Taarifa zilizotolewa na idara ya ujasusi ya Ukraine zinaonyesha kuwa Urusi inajiandaa kufanya mashambulizi zaidi na kuilenga miundombinu ya nishati. Hayo yameelezwa na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky na kuongeza kuwa mashambulizi yoyote yatafanya iwe vigumu kufikia makubaliano ya kukomesha…

UN yataka Urusi kutoshambulia miundombinu ya nishati Ukraine

Umoja wa Mataifa umeitolea wito Urusi kuacha kushambulia miundombinu ya nishati ya Ukraine, ambayo yamesababisha kukatika kwa umeme katikati ya kipindi cha baridi kali. Mkuu wa Shirika la Haki za Binaadamu la umoja huo Volker Turk amesema mashambulizi yasiyokoma yanayofanywa…

Trump: Iran itakuwa ‘chungu sana’ ikiwa hakuna makubaliano

Rais wa Marekani Donald Trump amesema Marekani na Iran lazima zifikie makubaliano na anaamini kuwa makubaliano hayo yanawezekana ndani ya mwezi ujao. Rais wa Marekani alisema iwapo hakutakuwa na makubaliano, ataingia katika awamu ya pili, jambo ambalo litakuwa chungu sana…

Msichana wa miaka 18 aua watu sita akiwemo mama yake kwa shambulio Canada

Polisi nchini Canada imethibitisha kuwa msichana mwenye umri wa miaka 18 ndiye aliyefanya shambulio la risasi na kuua watu sita katika shule ya Tumbler Ridge, baada ya kumuua mamake mzazi na kaka yake wa kambo. Mshambuliaji huyo alijiua baadaye na…

Trump: Hakuna hitimisho lolote la mwisho kuhusu Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema mazungumzo yake na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu hayakufikia hitimisho lolote la mwisho kuhusu Iran. Trump amesisitiza kuwa mazungumzo na Tehran yataendelea akionyesha uwezekano wa kufikiwa kwa makubaliano mapya ya kidiplomasia. Netanyahu, licha…