JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Watu 63 wafariki kwa utapiamlo Sudan

Utapiamlo umesababisha vifo vya watu 63 katika muda wa wiki moja pekee, wengi wao wakiwa wanawake na watoto katika mji uliozingirwa wa El-Fasher nchini Sudan ambako hali ya kibinaadamu inazidi kuwa mbaya. Taarifa hiyo imetolewa Jumapili (11.08.2025) na Afisa mmoja…

Trump, Putin kukutana Ijumaa huko Alaska

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin Ijumaa ya Agosti 15 huko Alaska na kujadili namna ya kuvimaliza vita nchini Ukraine. Trump ametoa tangazo hilo lililothibitishwa na ikulu ya Kremlin baada ya kusema kuwa wadau…

Burundi yakabiliwa na uhaba wa umeme, baadhi ya huduma zasimama

Sehemu kubwa ya Burundi haina umeme tangu Jumatatu, huku mji mkuu wa Bujumbura ukiwa umeathirika pakubwa wakati nchi hiyo pia ikikabiliwa na uhaba mkubwa wa mafuta. Wakazi wa baadhi ya vitongoji wamesema wanateseka kwa kuishi karibu wiki nzima bila umeme,…

Israel kujadili kutanua operesheni za kijeshi Gaza

Baraza la usalama la Israel linakutana kujadiliana kuhusu uwezekano wa kutanua operesheni zake za kijeshi kwenye Ukanda wa Gaza, hatua ambayo ikiwa itakubalika itatekelezwa licha ya upinzani mkali kutoka ndani. Hatua hii pia inapingwa na familia za mateka wa Israel…

Zelensky: Mkutano wa Trump na Putin usaidie kumaliza vita

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema leo kwamba malengo yake juu ya mkutano kati ya Marekani na Urusi kuhusu vita nchini mwake ni kwa Urusi kuacha kuwaua Waukraine na kukubali kusitishwa kwa mapigano. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema leo…

Uingereza yaweka sheria kudhibiti upasuaji wa kubadili maumbile

Serikali ya Uingereza imetangaza mipango ya kukabiliana na biashara ya upasuaji kwa ajili ya kuboresha muenekano ikiwemo kuongeza makalio, kuongeza ukubwa wa viungo kama midomo na kuondoa makunyazi usoni. Hatua hizo zinadhamiria kuwalinda watu walioko chini ya umri wa miaka…