JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mashambulizi ya anga ya Israel yawaua takriban watu 62

Mashambulizi ya anga ya Israel yawaua takriban watu 62, huku mashirika yakionya kuhusu njaa ashambulizi ya anga ya Israel yawaua takriban watu 62, ulinzi wa raia unasema,. Mashirika mashirika ya kibinadamu pia yanaonya kuhusu njaa kutokana na ukosefu wa chakula…

Trump: Naweza kwenda Uturuki ikiwa Putin ataenda

Donald Trump ambaye amesema kwamba anajitolea kwenda nchini Uturuki kwa mazungumzo ya kumaliza vita vya Ukraine ikiwa mwenzake wa Urusi Vladimir Putin pia atajitokeza. Rais wa Marekani Donald Trump ambaye anaendelea na ziara yake ya siku nne huko Mashariki ya…

Shambulio la Israel laua watu 29 Gaza

Waokoaji katika ukanda wa Gaza wamesema mashambulizi ya Israel yaliyofanywa leo Jumatano yamewaua watu 29 na wengine wamejeruhiwa katika eneo la kaskazini mwa Gaza la Jabalia. Waokoaji katika ukanda wa Gaza wamesema mashambulizi ya Israel yaliyofanywa leo Jumatano yamewaua watu…

Trump atangaza kuiondolea vikwazo vyote Syria

RAIS wa Marekani Donald Trump ametangaza kuiondolea vikwazo vyote Syria akisema kwamba ni wakati wa nchi hiyo “kusonga mbele” na hivyo kuipa nafasi ya kuanza kuufufua uchumi wake ulioporomoka kutokana na vita. Rais Donald Trump alisema kuwa Marekani haina mshirika…

Marekani yaidhinisha uuzaji wa ndege za kijeshi kwa UAE

Maafisa wa Marekani wamesema Wizara ya Mambo ya Nje imeidhinisha mauzo ya ndege za kijeshi na silaha zenye thamani ya dola bilioni 1.4 kwa UAE kuelekea ziara ya Rais Donald Trump wiki hii Mashariki ya Kati. Maafisa kutoka idara ya…

Marekani na China zakubaliana kupunguziana ushuru

Waziri wa Fedha wa Marekani Scott Bessent, ametangaza makubaliano ya ushuru wa forodha kati ya Marekani na China. Besented: Ushuru kushuka kwa 115% Bessent amesema baada ya majadiliano “madhubuti”, Marekani na Uchina zimekubaliana kusitisha ushuru uliopandishwa kwa siku 90 “kwa…