JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Zelensky: Mkutano wa Trump na Putin usaidie kumaliza vita

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema leo kwamba malengo yake juu ya mkutano kati ya Marekani na Urusi kuhusu vita nchini mwake ni kwa Urusi kuacha kuwaua Waukraine na kukubali kusitishwa kwa mapigano. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema leo…

Uingereza yaweka sheria kudhibiti upasuaji wa kubadili maumbile

Serikali ya Uingereza imetangaza mipango ya kukabiliana na biashara ya upasuaji kwa ajili ya kuboresha muenekano ikiwemo kuongeza makalio, kuongeza ukubwa wa viungo kama midomo na kuondoa makunyazi usoni. Hatua hizo zinadhamiria kuwalinda watu walioko chini ya umri wa miaka…

Trump kukutana na Putin

Rais wa Marekani Donald Trump amesema huenda akakutana na rais wa Urusi Vladimir Putin hivi karibuni kabisa. Rais wa Marekani Donald Trump alikuwa akijibu swali aliloulizwa na waandishi habari katika ikulu yake ya White House mjini Washington ni lini atakapokutana…

NATO kuwasilisha kiwango kikubwa cha silaha kwa Ukraine

Muungano wa kijeshi wa NATO unaratibu ufikishaji wa kawaida wa silaha kubwa kwa Ukraine baada ya Uholanzi kusema itatowa mfumo wa ulinzi wa anga, risasi na msaada mwengine wa kijeshi wenye thamani ya euro milioni 500. Sweden pia ilitangaza siku…

Trump aagiza kuwekwa nyambizi za nyuklia baada ya malumbano

Rais wa Marekani Donald Trump anasema ameamuru manowari mbili za nyuklia “kuwekwa katika maeneo yanayofaa” kujibu matamshi “ya uchochezi” ya Rais wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev. Trump alisema alitenda hilo “ikiwa tu kauli hizi za kipumbavu na za uchochezi…

Trump amfukuza kazi mkuu wa Idara ya Takwimu za Zjira

Rais wa Marekani Donald Trump amemfukuza kazi mkuu wa idara inayoshughulikia takwimu za ajira baada ya idara hiyo kuchapisha takwimu ambazo kwa mtazamo wa Trump zinavunja moyo Rais Trump bila ya kutoa Ushahidi wowote amemshutumu Bi. Erika McEntarfer, kwa kuchakachua…