Category: Kimataifa
Papa Leo XIV atangaza sera za uongozi wake
KIONGOZI Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV ametangaza Jumamosi sera za uongozi wake, huku akiitaja teknolojia ya akili mnemba kama moja ya changamoto kubwa kwa ulimwengu. Papa Leo alisema teknolojia hiyo ya akili mnemba (AI) inahatarisha harakati za…
Ukraine: Tupo tayari kusitisha mapigano kwa siku 30
Ukraine imesema iko tayari kwa usitishaji mapigano na Urusi kwa muda wa siku 30 kuanzia siku ya Jumatatu. Hayo yameelezwa na waziri wa mambo ya kigeni wa nchi hiyo Andrii Sybiha katika wakati viongozi wa mataifa manne ya Ulaya wako…
Papa Leo XIV apokelewa kwa matumaini Congo
Risala za pongezi bado zinaendelea kutolewa kutoka kote duniani baada ya Kanisa Katoliki kumchagua kiongozi wake mkuu – Leo XIV. Papa Leo wa 14 amechaguliwa wakati ambapo nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imekosa usalama kwa miongo kadhaa sasa….
Trump anaitaka Urusi kusitisha vita kwa siku 30 na Ukraine
Rais wa Marekani Donald Trump ameishinikiza Urusi kukubali mpango wa usitishaji mapigano bila masharti kwa siku 30 na Ukraine. Amesema ukiukaji wowote wa mpango huo utaadhibiwa na vikwazo. Trump ameanzisha upya wito huo baada ya kuzungumza na Rais wa Ukraine…
Viongozi wa kisiasa na kidini duniani wampongeza Papa mpya Leo XIV
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anauita “wakati wa kihistoria” kwa Kanisa Katoliki, na anapanua “ujumbe wa udugu”. “Naomba papa huyu mpya awe wa amani na matumaini,” anasema. Rais wa Poland Andrzej Duda ametoa “pongezi zake za dhati”, akiandika kwenye mitandao…
Kardinali Robert Prevost achaguliwa kuwa papa wa kwanza Mmarekani
Kardinali Robert Prevost, mmisionari Mmarekani ambaye alitumia maisha yake nchini Peru na ambaye anaongoza ofisi yenye ushawishi mkubwa ya maaskofu katika Vatican, amechaguliwa kuwa Papa wa kwanza Mmarekani katika historia ya miaka 2,000 ya Kanisa Katoliki. Prevost, mwenye umri wa…