Category: MCHANGANYIKO
Wasira : Nyerere alikuwa mtetezi wa wanawake, aliandika kitabu hakijachapishwa
Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema mawazo ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere akiwa Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda aliandika kitabu cha kutetea wanawake ingawa kitabu hicho hakijachapishwa hadi amefariki. Wasira…
Serikali yakutana na Mjumbe Malaam wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola
NaMwandishi Wetu Ujumbe wa Serikali ya Tanzania ukingozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Mhe. Profesa Palamagamba Kabudi, imekutana na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola na Rais wa…
Mwanamke ajichoma kisu tumboni baada ya kugombana na mpenzi wake
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora MWANAMKE mwenye umri wa miaka 30 mnyamwezi, mkulima, mkazi wa maeneo ya Cheyo-A, Kata ya Cheyo katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora amejichoma kisu tumboni kwa hasira baada ya kugombana na mpenzi wake. Akizungumzia tukio…





