JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia achukua hatua kupunguza matumizi ya mafuta

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza kuwa maafisa na watumishi wa ofisi yake atakaoambatana nao katika safari zake za kikazi watatumia usafiri wa pamoja ili kubana matumizi ya nishati ya mafuta. “Nimeanza kwa…

Jela miezi sita kwa kuzusha kuibiwa ‘nyeti’ Rukwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rukwa Siku za hivi karibuni kumekuwa na taharuki zilizosababisha vurugu na kukosekana kwa amani na utulivu wa jamii katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo Mkoa wa Rukwa. Hali hii ilisababishwa na watu kuzusha kuibiwa nyeti zao. Kufuatia…

Serikali yasisitiza viwango vya ubora wa kimataifa katika uvuvi

Na Mwandishi Wetu Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Uvuvi Prof. Mohammed Sheikh amewataka wakaguzi wa mazao ya uvuvi kufanya kazi zao kwa ubora ili kulisaidia Taifa kuongeza kiwango cha mazao ya uvuvi yanayosafirishwa nje ya…

Serikali yainua utalii tiba kwa wagonjwa wa nje hadi kufikia 3,018

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imesema idadi ya wagonjwa kutoka nje ya nchi wanaokuja kupata huduma za matibabu nchini Tanzania imeendelea kuongezeka, ikifikia wagonjwa 3,018 katika kipindi cha miezi nane, jambo linaloashiria kukua kwa kasi kwa sekta ya utalii wa tiba….

Waziri Ndejembi akutana na taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya kikao kazi cha pamoja na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati zinazoshughulikia mafuta leo Aprili 07, 2026 jijini Dodoma. Lengo la kikao hicho ni kupitia na Taarifa ya Kamati ya…