JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mpango asema Samia ameitendea haki Ilani ya CCM

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Buhigwe Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema ameitendea haki Ilani ya uchaguzi ya chama hicho. Dk Mpango ametoa kauli hiyo leo Septemba 13 wilayani…

Samia apigia chapuo zao la kahawa Buhigwe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Media, Buhigwe Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema ataboresha sekta ya kilimo kupitia zao tangawizi. Akihutubia mkutano wa kampeni wilayani Buhigwe mkoani Kigoma leo Septemba 13,2025, Samia amesema serikali imepanga kujenga…

Samia: Nitaufungua mkoa wa Kigoma kiuchumi

Na Kulwa Karedia Jamhuri Media,Kasulu Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuufungua uchumi wa Mkoa wa Kigoma. Amesema ataimarisha miundombinu ya barabara, kuongeza upatikanaji wa umeme, kuboresha huduma za maji.Samia amesema hayo leo Septemba 13,…

Mapokezi ya Dk Nchimbi Siha Kilimanjaro yanoga

MGOMBEA Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewahutubia Wananchi kwenye mkutano mdogo wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa CCM,Kata ya Sanya Juu ndani ya jimbo…

Mongela ataka Watanzania kumuombea Samia

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Uvinza Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongela, amewaomba Watanzania kuendelea kumuombea mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan ili awe na afya njema. Akizungumza na mamia ya wananchi wa…

Samia atangaza kufungua fursa Uvinza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Uvinza Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema kama atachaguliwa tena atahakikisha atafungua fursa za uchumi kwa wakazi wa Uvinza. Amesema fursa hizo ni pamoja na kujenga soko kwa ajili ya kina…