Category: MCHANGANYIKO
WRRB yapanua mfumo wa stakabadhi za ghala kwa bidhaa tano mpya
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Bw. Asangye Bangu, amesema Bodi inatarajia kuongeza bidhaa nyingine tano katika Mfumo wa Stakabadhi za Ghala ili kuendelea kuwanufaisha watanzania katika sekta mbalimbali. Akifungua kikao cha wadau cha kujadili…
Serikali yataka wadau kushirikiana na FCC kudhibiti bidhaa bandia
Serikali imetoa wito kwa wazalishaji, waingizaji bidhaa, wasambazaji, wafanyabiashara, vyombo vya habari, vyombo vya dola, mamlaka za forodha, Taasisi za umma, asasi mbalimbali pamoja na wananchi kwa ujumla kuendelea kushirikiana kwa karibu na Tume ya Ushindani (FCC) katika kubaini na…
Hospitali ya Shifaa yaja na tumaini jipya wanaosumbuliwa na kisukari
Na Mwandishi Wetu HOSPITALI ya Shifaa imeanzisha madarasa kwaajili ya kutoa elimu kuhusu umuhimu wa lishe bora na mtindo wa maisha ikiwa ni jitihada za kukabiliana na changamoto ya kisukari ambacho kimekuwa chanzo cha magonjwa mengi sugu. Hayo yalisemwa jana…
Prof. Mwegoha: Sekta binafsi nguzo muhimu katika kukabiliana na changamoto ya ajira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma CHUO Kikuu cha Mzumbe kimesema mafanikio ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 yatategemea kwa kiwango kikubwa ushiriki wa sekta binafsi, hususan katika kuzalisha ajira, kuvutia mitaji na kuharakisha ukuaji wa uchumi wa…
Madiwani Katavi wahidi kulinda miundombini ya umeme
Madiwani wa Halmashauri Madiwani Manispaa ya Mpanda na Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi wamesema kwa kushirikiana na Wananchi, watahakikisha wanailinda miundombinu ya Shirika la Umeme Tanzania TANESCO iliyopo Mkoani Katavi kwa nguvu zote ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma…
Ndejembi: Bei ya mafuta kuanza kushuka Julai
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema Watanzania wataanza kushuhudia kushuka kwa bei za mafuta kuanzia mwezi Julai mwaka huu kufuatia kuanza kushuka kwa bei ya mafuta ghafi katika soko la dunia baada ya kusitishwa kwa mapigano ya Mashariki ya…





