JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Bodi EWURA yaridhishwa kasi ya ujenzi mradi wa bomba la mafuta ghafi la EACOP

BODI ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA) imesema imeridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), ikieleza kuwa kasi ya ujenzi ni dalili…

Wananchi Namtumbo, Songea na Mbinga waishukuru Caritas kwa kuwainua kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Wananchi wa Wilaya za Namtumbo, Songea na Mbinga mkoani Ruvuma wameishukuru idara ya Caritas ya Jimbo Kuu Katoliki la Songea kwa mchango mkubwa wa kuwainua kiuchumi kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao….

Tanzania yasisitiza utekelezaji wa agenda mpya ya miji

Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kutekeleza Ajenda Mpya ya Miji (New Urban Agenda – NUA) pamoja na Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) kwa kuimarisha mipango ya Uendelezaji wa miji, huduma za msingi, uboreshaji wa miundombinu na makazi…

Wasira: waliosababisha vurugu wapatikane, ndipo, tuingie maridhiano

Asema ni kabla ya kuanza kwa mchakato maridhiano kisiasa,waliohusika wabainishwe *Ampongeza Rais Samia kuunda Tume kuchunguza kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu *Aweka wazi kuwa na vyama vingi isiwe sababu kuanzisha vurugu,kuvunja amani iliyopo nchini Na MWANDISHI WETU MAKAMU Mwenyekiti…

ATCL kuanza safari za Urusi Juni 2026

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, amesema kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), linatarajia kuanza safari za ndege kuelekea nchini Urusi mnamo Juni, 2026. Aliyasema hayo…

Serikali kuimarisha nishati ya umeme wilayani Kondoa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma KATIKA jitihada za kuendeleza ustawi wa wananchi na kuchochea uchumi wa maeneo ya vijijni na vitongojini, Serikali inaendelea kuimarisha upatikanaji wa umeme wilayani Kondoa kupitia mpango wa kusambaza umeme katika vitongoji vyote vya wilaya hiyo….