Category: MCHANGANYIKO
RC Shinyanga atoa wito kwa jamii kuwalinda wazee
Na WMJJWM- Shinyanga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha ametoa wito kwa jamii hasa Vijana kuwalinda, kuwahudumia na kuwaheshimu wazee katika maeneo yao badala ya kuwaachia majukumu ya kulea wajukuu pamoja na kuwafanyia vitendo vya kikatili. Macha amesema…