Category: MCHANGANYIKO
Ofisi ya Msajili wa Hazina yahitimisha semina ya siku tano kwa kamati za bunge
Na Mwandishi wa OMH Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imehitimisha semina ya siku tano kwa Kamati za Kudumu za Bunge za Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) na ile ya Hesabu za Serikali (PAC), iliyofanyika kuanzia Februari 9 hadi…
Waandishi wa habari Afrika wajengewa uwezo kuripoti mabadiliko ya tabianchi
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia – Arusha. Katika kipindi ambacho Tanzania na nchi nyingine za Afrika zinaendelea kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, Shirika lisilo la kiserikali la Media for Environment, Science, Health and Agriculture (MESHA) limetoa mafunzo kwa njia…
Chalamila arejesha fedha za aliyetalipwa kiwanja Wazo
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila,amelipa sh.mikioni tano kwa Glory Munisi ,aliyetapeliwa kiwanja kwa uzembe wa Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa Kinondo kata ya Wazo. Chalamila amemuamuru Mwenyekiti wa Mtaa…
Wanahabari watakiwa kuandika habari za amani na kujali usalama wao
Na Mwandishi wetu, JamhiriMedia,Arusha Taasisi ya waandishi wa habari ya kusaidia jamii za pembezoni (MAIPAC) imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari nchini jinsi ya kuandika habari zinazochochea amani na kulinda usalama wao wakati wa migogoro. Mafunzo hayo yameshirikisha waandishi wa…
Waziri Dk Gwajima azindua mkakati wa kitaifa wa kisekta wa kutokomeza ukeketaji
Na Saidi Saidi WMJJWM – Arusha Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amezindua Mkakati wa Kitaifa wa Kisekta wa Kutokomeza Ukeketaji nchini (2025/2026–2029/2030) katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupinga…
Serikali yatoa vitabu kwa shule za mkondo wa amali bure
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania Dkt. Aneth Komba amesema, Serikali imetoa vitabu vya masomo ya Elimu ya Amali bure kwa shule zote za umma na binafsi ili kuongeza hamasa katika ufundishaji na ujifunzaji wa masomo hayo yatayosaidia kukabiliana…





