Category: MCHANGANYIKO
RC Chalamila aipongeza TBS kuandaa Marathon kama maadhimisho ya miaka 50 kuanzishwa kwake
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Albert Chalamila amefurahishwa na kupongeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kuandaa Viwango Marathon kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya kuanzishwa kwa Shirika hilo pamoja na kuendelea kuhamasisha jamii kuhusu…
Tanzania, Marekani zaendelea kuimarisha ushirikiano wa kimkakati
Na Mwandishio Wetu Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, amefanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani nchini, Mhe. Andrew Lentz, kuhusu kuimarisha ushirikiano wa…
Kamatyi ya Kudumu ya Bunge TAMISEMI yatembelea miradi ya bil. 4.5/- Kinondoni
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Ikiongozwa na Mwenyekiti wake M Florentino Kyombo, imetembelea na kukagua miradi ya Elimu, Afya na Barabara yenye gharama ya Shilingi bilioni 4,528,354,913 Wilaya Kinondoni. Ziara hiyo iliyofanyika tarehe…
TARURA yawaimarisha maafisa ununuzi kudhibiti hoja za ukaguzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, MorogoroWakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imewahimiza Maafisa Ununuzi kuzingatia kikamilifu sheria, kanuni na taratibu za ununuzi ili kudhibiti upotevu wa fedha za serikali na kuondoa hoja za ukaguzi zinazojitokeza mara kwa mara katika…
Waziri Mkuu akagua ujenzi wa barabara ya mchepuo ya mji wa Iringa
▪️Asema mradi huo utafungua fursa mpya za uchumi na kupunguza msongamano wa magari mjini Iringa ▪️Aagiza wakandarasi kuwalipa kwa wakati wadaiwa wao WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuwekeza katika miradi ya kimkakati ya miundombinu ili kuboresha usafiri,…
Elimu ugonjwa wa Ebola yatolewa Funguni sekondari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pangani Walimu na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Funguni ya wilayani Pangani mkoani Tanga wamenufaika na elimu kuhusiana na ugonjwa wa Ebola. Elimu hiyo imetolewa Mei 22, 2026, na Jackline Mjema ambaye ni Afisa Afya kutoka…





