Category: MCHANGANYIKO
Afrika yatoa msimamo wa COP 30
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewasilisha taarifa kwa niaba ya nchi 54 za Kundi la Afrika katika siku ya mwisho ya Mkutano wa 30 wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP30) jijini Belem, Brazil. Taarifa hiyo Afrika imesisitiza…
Hakutokuwa na maadhimisho ya sherehe za Uhuru Desemba 9
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza kwamba hakutokuwa na maadhimisho ya sherehe za Uhuru Desemba 09, 2025 na badala yake fedha ambazo zilipaswa kutumika katika sherehe hizo zitapelekwa kutumika kurekebisha miundombinu iliyoharibika…
Waziri wa Viwanda ateta na wenye viwanda
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga ameahidi kuendeleza ushirikiano baina ya serikali na wenye viwanda kuhakikisha anatimiza ndoto za Rais Samia Suluhu Hassan za kuongeza idadi ya viwanda nchini. Aliyasema hayo jana wakati akizungumza na wanachama…
Waziri Kapinga : FCC fanyeni kazi kwa weledi, ufanisi kudhibiti bidhaa feki
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Waziri wa Viwanda na Biashara Judithi Kapinga ameitaka Tume ya Ushindani FCC kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi ufanisi ili kusaidia kudhibiti bidhaa feki zisifike kwa Wananchi. Agizo hilo amelitoa meo Novemba 24,2025 Jijini Dar…





