Category: MCHANGANYIKO
Pwani kugawa miche milioni 1.5 Rufiji kumbukizi ya kuzaliwa Rais Samia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKOA wa Pwani unaunga mkono dhamira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ya kuendeleza agenda ya uhifadhi wa mazingira kwa kugawa miche ya mikorosho milioni 1.5 kwa wakulima wa…
Waziri Mkuu afungua mkutano wa viongozi wa TAKUKURU
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeimarisha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa kuongeza rasilimali watu, bajeti, miundombinu…
Serikali yawezesha kuanzishwa kwa kituo cha kisasa cha teknolojia ya madini muhimu nchini
● Ni matokeo ya MoU kati ya GST na Taasisi ya KIGAM kutoka Korea ya Kusini, ● Utekelezaji wa mradi huo kugharimu Bilioni 40 za Kitanzania ● Wataalam kutoka GST kujengewa uwezo ● Wachimbaji wadogo kupatiwa Mafunzo malum Wizara ya…
Tanzania yatoa uhakika London, kuwa ni salama, thabiti na tayari kwa uwekezaji
London, Uingereza — Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (Mb.), amewahakikishia wawekezaji wa Uingereza kwamba Tanzania ni nchi salama, yenye uthabiti wa kisiasa, na inayotekeleza maboresho endelevu ya mazingira bora na rafiki kwa…
Milioni 675/-kutekeleza mradi wa ujenzi na upanuzi wa Kituo cha Afya Mailimoja Tabora
Na OWM – TAMISEMI, Tabora Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali imetoa Shilingi milioni 675 kutekeleza mradi wa ujenzi na upanuzi wa Kituo cha Afya Mailimoja cha Manispaa ya Tabora, ili kuboresha huduma…
DC Nickson atoa rai kwa walimu, wasimamizi kuwatambua wanafunzi wenye uhitaji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Nickson Simon, ametoa rai kwa walimu na wasimamizi wa shule kuwatambua na kuwafuatilia wanafunzi wanaokabiliwa na changamoto za kijamii. Amesisitiza kuwa uwekezaji wa miundombinu ya elimu hautakuwa na matokeo chanya…





