Category: MCHANGANYIKO
Msajili wa Hazina aomba ushirikiano wa PIC kuimarisha mageuzi ya uwekezaji wa umma
Na Mwandishi wa OMH, JamhuriMedia, Dodoma Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) leo, Januari 15, 2026 imeendesha semina maalumu kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) katika Ukumbi wa Bunge, jijini Dodoma. Semina hiyo…
RAS Tanga : Maadhimisho Wiki ya Huduma za Fedha yatakuwa na mafanikio
Na Chedaiwe Msuya na Eva Ngowi, WF, Tanga Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga (RAS), Bw. Rashid Mchatta, amewahakikishia wadau wa sekta ya fedha kuwa maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha yatakayofanyika jijini Tanga yatakuwa na mafanikio makubwa kutokana…
Urambo wafungua milango ya uwekezaji
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Urambo HALMASHAURI ya Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora imefungua milango kwa wawekezaji wa ndani na nje kuja kuwekeza katika sekta mbalimbali, kwa kuanzia wametenga eneo la ardhi lenye ukubwa wa hekari 72 kwa ajili ya kazi…
Waziri Mkuu akutana na Balozi wa Japan nchini
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Yoichi Mikami na kujadiliana naye masuala ya uchumi, miradi ya maendeleo na uwekezaji. Akizungumza na Balozi huyo leo (Jumatano, Januari 14, 2026) ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma,…
Tanzania, Indonesia kuimarisha ushirikiano wa maendeleo katika kilimo na nishati
Na Joseph Mahumi na Saidina Msangi, WF, Dodoma Tanzania na Indonesia zimekubaliana kuendeleza zaidi ushirikiano wa kimaendeleo katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii ikiwemo kilimo na nishati kwa faida ya nchi hizo mbili. Hayo yamebainishwa jijini Dodoma, baada ya…
Dk Mwigulu : Kazi zinazoweza kufanywa na wazawa zisifanywe na wageni
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka wizara zinazohusika na masuala ya ajira zisimamie kikamilifu utekelezaji wa sheria zinazotaka kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania zisifanywe na wageni isipokuwa zile zinazohitaji utaalamu ambao nchi inaupungufu. Vilevile, Waziri Mkuu amekemea tabia ya baadhi…





