JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ado aongoza kikao cha Kamati Tendaji Taifa cha ACT-Wazalendo

Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-WazeldnoTaifa, Ado Shaib, ameongoza kikao cha Kamati Tendaji ya Taifa cha chama hicho kilicholenga kupitia masuala mbalimbali ya kiutendaji, yakiwemo maandalizi ya kikao kijacho cha Kamati Kuu. Kikao hicho kimefanyika katika Ofisi za Makao Makuu…

Makumbusho ya Taifa ya Tanzania yapokea watalii 100 kutoka meli ya kifahali ya utalii (Cruise Ship)

Makumbusho ya Taifa ya Tanzania (NMT) imepokea zaidi ya watalii 100 walioingia nchini kupitia meli ya kifahari ya utalii (Cruise Ship), Ziara hiyo ni uthibitisho wa kuimarika kwa sekta ya utalii wa kitamaduni na juhudi za Serikali katika kufungua na…

Sera ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria mbioni kutungwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Serikali ipo mbioni kuandaa Sera ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria itakayoweka misingi ya kuboresha na kuimarisha upatikanaji wa huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi kote nchini. Kauli hiyo imetolewa mwishoni mwa wiki na…

Mwanza yazidi kung’ara kupitia miradi ya umwagiliaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, inaendea kuinua hadhi ya Mkoa wa Mwanza, kupitia utekelezaji wa Miradi ya Umwagiliaji kutokana na wananchi kuanza kunufaika na ujenzi wa Skimu ya Umwagiliaji ya Mahiga. Mradi huo…

Tanzania yataja mafanikio ya nishati safi ya kupikia katika Jukwaa la Kimataifa la Irena -Abu Dhabi

*Upatikanaji wa Nishati Safi ya Kupikia waongezeka zaidi ya mara tatu ndani ya kipindi cha miaka minne pekee *Yasema ipo tayari kushirikiana na Taasisi za Kimataifa zinazotoa ufadhili kwa nia ya kupunguza matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia hasa…

Bandari ya Pemba kufungua zaidi milango ya utalii

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pemba Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema Pemba ina vivutio vingi vya utalii hivyo ujenzi wa Bandari ya Mkoani, Pemba itafungua zaidi milango katika sekta…