Category: MCHANGANYIKO
Kihongosi akagua utekelezaji miradi ya bil. 2.5 Nzega
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora KATIBU wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) anayesimamia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi ameeleza kufurahishwa na kazi nzuri ya utekelezaji miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Nzega Mkoani hapa. Akiwa katika siku ya pili…
Tume ya uchunguzi yakutana na Katibu Mkuu Mnyepe, Gugu
TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imeendelea na vikao vyake leo Februari 16, 2026 kwa kukutana na Katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga…
RPC Songwe aongoza kuuaga mwili wa Ex Sajenti Perpetua
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), ameongoza maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali, majeshi mengine pamoja na wananchi kutoka Wilaya zote za Mkoa wa Songwe katika hafla ya kuuaga mwili wa Ex Sajenti…
Kinywaji kipya chazinduliwa Dar
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi nchini wameshauriwa ,kutumia kinywaji chenye radha asilia cha Vin Nko kinachopatikana kwa baadhi ya nchi. Hayo yamebaiisha na Mkurugenzi wa Kampuni ya Cavido Company Limited Dominick Salamba wakati wa uzinduzi wa kinywaji…
Tanzania, Malawi wasaini mkataba kuimarisha biashara za wafanyabiashara wadogo
Na Mwandishi Maalum, JamhuriMedia, Malawi Wafanyabiashara wadogo wanaofanya biashara katika mipaka ya Tanzania na Malawi wanatarajia kunufaika na Mfumo Rahisi wa kurahisisha na kuimarisha biashara za wafanyabiasha wadogo zinazofanyika katika mipaka ya Tanzania na Malawi (Simplified Trade Regime (STR) hususan…
Samba mbaroni kwa tuhuma za kukutwa mirungi Same
Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama hususan Jeshi la Polisi, kuanzia tarehe 10 hadi 16 Februari, 2026 imefanya operesheni maalum katika vijiji vya Marieni na…





