JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mwanafunzi ajifungulia chooni na kukitupa kichanga, Polisi wamdaka Chalinze

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Pwani Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Kibindu ,wilayani Chalinze ,mkoani Pwani amejifungua mtoto wa kike kisha kumtupa kwenye shimo la choo cha mabweni ya wanafunzi wa kike, katika tukio lililoibua taharuki shuleni hapo…

Waziri Kombo apokea nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Kuwait

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Kuwait nchini Tanzania, Salem Yousif Alhamdan, katika kikao kifupi kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini…

Ofisi ya Msajili wa Hazina yaendesha mafunzo ya usimamizi wa vihatarishi kwa Taasisi za Umma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), kupitia Kitengo cha usimamizi wa vihatarishi, imeanza kutoa mafunzo maalum kwa taasisi za umma kuhusu usimamizi wa vihatarishi na mpango wa kuendeleza shughuli za taasisi ‘Business continuity’ sambamba na…

Tanzania yaunga mkono azimio la Nairobi kuhusu makazi na maendeleo endelelvu

*Yajipanga kutekeleza maazimio ya Jukwaa la Miji Afrika na Kushiriki Mapitio ya Ajenda Mpya ya Miji Julai 2026 Na Mwandishi Wetu Tanzania imeunga mkono Azimio la Nairobi kuhusu Makazi na Maendeleo Endelevu (Nairobi Declaration for Sustainable Housing and Development) pamoja…

Wizara ya ujenzi yaomba trilioni 2.5 kutekeleza miradi sita ya kimkakati

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi imeomba kuidhinishiwa Sh trilioni 2.5 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kutekeleza vipaumbele sita vikuu vinavyolenga kuimarisha miundombinu ya usafiri na kuchochea ukuaji wa uchumi nchini. Akiwasilisha makadirio ya…