JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Kombo aweka jiwe la msingi ujenzi jengo la mafunzo kwa watumishi wa umma

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) ameweka jiwe la msingi kwa ujenzi wa Jengo la mafunzo kwa watumishi wa Umma katika Chuo cha Utawala wa Umma (IPA)…

Rais Mwinyi : SMZ kuendelea kujenga masoko ya kisasa katika kuimarisha biashara Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea na ujenzi wa masoko ya kisasa katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar kwa lengo la kuwawezesha wafanyabiashara kufanya shughuli zao katika mazingira bora, salama na…

Kata za Kirua, Vunjo na Mindu kupiga kura kesho kuchagua madiwani

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Jumla ya Wapiga Kura 20,851 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katika uchaguzi wa kuchagua madiwani katika Kata ya Kirua Vunjo Magharibi iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Mkoa wa…

Mavunde : Serikali imesaidia kuachiwa kwa dereva aliyekuwa amefungwa nchini Sudan Kusini

Waziri Wa Madini na Mbunge wa Mtumba, Anthony Mavunde, amesema kuwa Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya nje imesaidia kwa kiasi kikubwa katika kuachiwa kwa dereva wa gari la mzigo, Juma Maganga, aliyekuwa amefungwa nchini Sudan Kusini baada…

Serikali kuendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji na ufanyaji biashara nchini

Na Benny Mwaipaja, Mpanda Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb), ameihakikishia jumuiya ya wafanya biashara na wajasiriamali nchini kwamba Serikali itaendelea kuwawekea mazingira mazuri ya uwekezaji na ufanyaji biashara ili kukuza biashara zao. Mhe. Luswetula ametoa kauli hiyo…