JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Jingu awataka wajasirimali kuongeza ubunifu kufikiasoko la kimataifa

Na WMJJWM- Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu, amewataka wajasiriamali nchini kuongeza ubunifu katika uzalishaji wa bidhaa zao ili kupanua soko na kufikia ushindani katika soko la…

Maandalizi Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi wanachama Jumuiya EAC waanza

……………………………………………. Mkutano Maalumu wa 59 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umeanza katika Makao Makuu ya Jumuiya jijini Arusha, ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya hiyo unaotarajiwa kufanyika…

Prof. Shemdoe : Tengeni siku maalum kusikiliza kero za wananchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaelekeza Wakuu wa Mikoa wote nchini kuzisimamia Halmashauri zao kuhakikisha zinaweka siku maalum ya kusikiliza…

Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani, Mtandao wa Polisi wanawake Songwe watoa faraja kwa wagonjwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Katika kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, inayoadhimishwa kote ulimwenguni kila ifikapo Machi 08, 2026, Mtandao wa Polisi Wanawake Mkoa wa Songwe (TPF NET) kwa kushirikiana na wanawake wa majeshi mengine mkoani humo, wametembelea…