Category: MCHANGANYIKO
Dk Katunzi awaalika wadau kusherehekea Jubilei ya dhahabu ya TBS
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linatarajia kuandika historia mpya Juni 19, 2026 kwa kuhitimisha maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwake, huku likitarajia kuzindua kitabu maalumu kitakachobeba historia, mafanikio na mchango wake katika maendeleo ya viwanda, biashara na ustawi wa…
CRDB yatoa milioni 450/- kufanikisha Bunge Grand Bonanza, wabunge kuchuana na mabalozi Dodoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es salaam Benki ya CRDB, kupitia udhamini wake mkuu wa CRDB Bank Bunge Grand Bonanza 2026, imekabidhi vifaa vya michezo na zawadi mbalimbali zitakazotumika katika bonanza hilo linalotarajiwa kufanyika Juni 20, 2026 katika Uwanja wa Jamhuri…
Kampeni ya Mama Samia kutua Zanzibar, talaka, mirathi na ukatili kupatiwa majawab
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Awamu ya Pili wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia utakaofanyika Juni 20, 2026 katika…
Wadau wa madini wakumbushwa kuzingatia sheria kuongeza manufaa kwa Taifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wadau wa Sekta ya Madini wamehimizwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zinazosimamia shughuli za madini ili kuhakikisha rasilimali hizo zinaendelea kuchangia maendeleo ya taifa na kunufaisha wananchi. Mwanasheria wa Tume ya Madini, Janeth Kanyasu, amesema…
Waziri Kikwete avutiwa na mfumo wa kupanga na kusimamia miradi REA
📌Asema REA Digital Platform ni mfumo wa kisasa kueleza miradi 📍Chinangali Park – Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete, amevutiwa na mfumo wa Kupanga na Kusimamia miradi ya…
Umeme upo wa kutosha; unaangaza maisha ya wananchi- Kikwete
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwan Kikwete ameipongeza Wizara ya Nishati na Taasisi zake kwa kuendelea kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi kwa wananchi pamoja na kuimarika…





