Category: MCHANGANYIKO
Wanawake wadau wa madini watembelea wazee Magugu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati WANAWAKE wadau wa madini wa Mkoa wa Manyara, wamesherehekea Siku ya Wanawake duniani kwa kuwatembelea na kuwapa vyakula na nguo wazee wasiojiweza wanaolelewa katika kituo cha Magugu Wilaya ya Babati. Makamu Mwenyekiti wa chama cha…
Salome aibana Kampuni ya Dongfang kwa kasi isiyoridhisha mradi wa umeme Malagarasi
📌Atoa maelekezo mahsusi kwa Mkandarasi na Wasimamizi wa mradi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba leo amekagua utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa Malagarasi (MW 49.5) unaotekelezwa katika Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma ambapo…





