Category: MCHANGANYIKO
Wabunge wapongeza NIRC kwa mageuzi ya kilimo cha umwagiliaji
📍 Bungeni Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, wameipongeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Mkurugenzi Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kwa juhudi kubwa zinazofanywa kuinua kilimo cha Umwagiliaji nchini kukuza uchumi…
PDPC yazipa miezi mitatu zaidi taasisi zote kujisajili
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imezitangazia taasisi zote za umma na serikali zinazokusanya au kuchakata taarifa binafsi kujisajili ndani ya miezi mitatu ili kutekeleza wa maagizo ya Serikali yaliyotolewa na Waziri…
Tume yakutana na viongozi wa vyama vya siasa
Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 22, 2026, imekutana na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa nchini. Mkutano huo wa Tume na viongozi wa vyama…
Tanzania na Gatsby zajadili kuimarisha mabadiliko ya kiuchumi
Na Farida Ramadhani na Joseph Mahumi, WF, Dodoma Serikali na GATSBY Africa wamejadiliana vipaumbele vya Tanzania katika mabadiliko ya kiuchumi hasa katika kuimarisha ushindani wa uzalishaji wa viwanda ili kufikia malengo ya Dira ya Taifa 2050. Hayo yameelezwa jijini Dodoma…
Kapinga atoa onyo kwa wanunuzi wanaochelewesha malipo ya kahawa Mbinga
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amemtaka Afisa Ushirika wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, kuhakikisha anasimamia kwa karibu malipo ya wakulima wa kahawa ili kuwalinda dhidi ya ucheleweshaji wa fedha zao unaofanywa na baadhi ya kampuni…





