JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wanahabari watakiwa kuandika habari za amani na kujali usalama wao

Na Mwandishi wetu, JamhiriMedia,Arusha Taasisi ya waandishi wa habari ya kusaidia jamii za pembezoni (MAIPAC) imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari nchini jinsi ya kuandika habari zinazochochea amani na kulinda usalama wao wakati wa migogoro. Mafunzo hayo yameshirikisha waandishi wa…

Waziri Dk Gwajima azindua mkakati wa kitaifa wa kisekta wa kutokomeza ukeketaji

Na Saidi Saidi WMJJWM – Arusha‎ ‎Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amezindua Mkakati wa Kitaifa wa Kisekta wa Kutokomeza Ukeketaji nchini (2025/2026–2029/2030) katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupinga…

Serikali yatoa vitabu kwa shule za mkondo wa amali bure

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania Dkt. Aneth Komba amesema, Serikali imetoa vitabu vya masomo ya Elimu ya Amali bure kwa shule zote za umma na binafsi ili kuongeza hamasa katika ufundishaji na ujifunzaji wa masomo hayo yatayosaidia kukabiliana…

Dk Mwigulu aagiza mikakati madhubuti kulinda viwanda vya ndani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka Taasisi za udhibiti za Serikali kuweka kipaumbele katika kulinda viwanda vya ndani na biashara badala ya kuwa kikwazo katika kufikia mafanikio. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amesema kuwa haitakuwa rahisi kulinda…

PPRA : Zaidi ya trilioni 5 zimetengwa kwa makundi maalum kupitia zabuni za Serikali

Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imewahamasisha Watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki fursa za zabuni za serikali kupitia mfumo wa NeST, ikisisitiza kuwa zaidi ya shilingi trilioni tano zimetengwa mahsusi kwa ajili ya makundi maalum yakiwemo vijana, wanawake,…

Chalamila awataka madiwani kuzitazama jicho la pili hospitali binafsi kama sehemu yao

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa mkoa wa Dar e salaam Albet Chalamila amewataka madiwani na viongozi mbalimbali wanapo kwenda kwenye mabaraza yao wawe wanaingiza hospital binafsi kama Hospital ya Shifaa ili iwe sehemuyao. Kauli hiyo imetolewa…