JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TARURA yatekeleza ujenzi wa Km 56 za barabara za lami Ilala kupitia DMDP II

‎Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam‎‎Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza kutekeleza ujenzi wa barabara zaidi ya Kilomita 56 kwa kiwango cha lami na zege kupitia mradi wa Uendelezaji Jiji la Dar es Salaam…

Fortune Paper yataka sera kulinda wazalishaji wa ndani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Kampuni ya Fortune Paper Group inayomilikiwa na wawekezaji wa China, imeiomba Serikali kuweka sera madhubuti zitakazolinda wazalishaji wa ndani dhidi ya ushindani unaotokana na bidhaa za bei nafuu zinazoagizwa kutoka nje ya nchi. Kampuni…

Picha za matukio mbalimbali msibani kwa Lukuvi

Wananchi mbalimbali wamejitokeza katika msiba wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge Uratibu na Wenye Ulemavu na Mbunge wa Jimbo la Isimani wakati mwili wa marehemu Lukuvi ulipowasili Kijijini Kwake Kata ya Idodi, Wilaya ya Iringa mkoani…

Tanzania yashiriki mkutano wa 13 wa amani, uinzi, usalama wa EAC

Mkutano wa 13 wa Pamoja wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Ushirikiano katika Ulinzi, Amani na Usalama na Baraza la Kisekta la Uratibu wa Sera za Mambo ya Nje umezikutanisha Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kujadili…

Kikwete akutana na timu ya mpira wa kikapu ya Dar City Afrika Kusini

Rais Mstaafu Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Panel of Elders – POE), na Mwakilishi wa Ngazi ya Juu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika…