JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

RC Kunenge atembelea kongani mpya ya viwanda Misugusugu

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge, amefanya ziara ya ukaguzi wa eneo la Kongani Mpya ya Viwanda la Misugusugu, Manispaa ya Kibaha, ambapo amesema mradi huo ni hatua muhimu katika kuimarisha uchumi wa Mkoa wa Pwani na kuongeza fursa…

Serikali yaweka mkazo uendelevu wa huduma za VVU, kifua kikuu, malaria

Serikali imeweka mkazo katika kuhakikisha huduma za VVU/UKIMWI, Kifua Kikuu (TB) na Malaria zinaendelea kutolewa kwa ufanisi, bila kuathiriwa na mabadiliko ya ufadhili wa nje, huku ikiendelea kuimarisha mifumo ya ndani ya kugharamia na kusimamia huduma hizo ili wananchi kuendelea…

Mpanda wapongeza Jeshi la Polisi kwa zoezi la usafi wa soko kuu

Wananchi na wafanyabiashara wa Soko Kuu la Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelipongeza Jeshi la Polisi kwa kuendesha zoezi la usafi lililofanyika sokoni hapo, wakisema limechangia kuboresha mazingira ya biashara, afya ya jamii na kuongeza uelewa kuhusu umuhimu wa kutunza…

Jela miaka 30 kwa kusafirisha kilo 75.15 za mirungi

Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu Isa Musini Rashidi maarufu kama Hamidu kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusafirisha kilo 75.15 za dawa za kulevya aina ya mirungi (Khat). Hukumu hiyo imetolewa…