Category: MCHANGANYIKO
NMB yaweka afya ya watumishi mbele SHIMISEMITA 2026
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Benki ya NMB imeendelea kuunga mkono jitihada za Serikali za kuimarisha afya ya mwili na akili ya watumishi kupitia Mashindano ya Kitaifa ya SHIMISEMITA yanayoendelea mkoani Mbeya. Mashindano hayo yanawakutanisha zaidi ya watumishi 5,000 kutoka…
ADEM yaendesha mafunzo ya uongozi na usimamizi wa utekelezaji wa mtaala ulioboreshwa
23 Agosti 2026. | 📍Bagamoyo, Tanzania. Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) umeendelea kutoa mafunzo maalum ya siku mbili kuhusu Uongozi na Usimamizi wa Utekelezaji wa Mtaala Ulioboreshwa, yakilenga kuimarisha uwezo wa Wakuu wa Shule za Sekondari katika…
Watoto 587,509 kupatiwa chanjo ya Polio Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani WATOTO 587,509 walio chini ya umri wa miaka 10 mkoani Pwani wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya polio ya matone aina ya nOPV2, katika awamu ya pili itakayoanza Agosti 27 hadi 30, mwaka huu. Watoto hao ni sehemu…
Waziri Mkuu afanya ziara ya kushtukiza Hospitali ya Mwananyamala
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefanya ziara ya kushtukiza leo Jumapili, Agosti 23, 2026, katika Hospitali ya rufaa ya Mkoa Mwananyamala, jijini Dar es Salaam, kukagua hali ya utoaji wa huduma kwa wananchi. Alipowasili hospitalini hapo, Dkt. Mwigulu ametembelea wodi…
Dk Mwigulu : Tuendelee kuliombea taifa na kudumisha amani
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kuendelea kuliombea Taifa na kudumisha amani, akisema amani ni msingi unaowezesha wananchi, taasisi za dini na Taifa kwa ujumla kutekeleza mipango mbalimbali ya maendeleo. Amesema dunia inaendelea kushuhudia mabadiliko na mitikisiko katika maeneo…
Mwenda atoa rai kwa watumishi kufanya mazoezi
Na Peter Haule, WF, Manyara Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha, Bw. Lusius Mwenda, ametoa rai kwa watumishi wa umma na wananchi kwa ujumla kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi mara kwa mara ili kuimarisha…





