JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Salome apongeza utoaji elimu kwa wananchi maonesho ya Kizimkazi

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba (Mb.), ametembelea mabanda ya Wizara ya Nishati na taasisi zake katika Maonesho ya Tamasha la Kizimkazi yanayoendelea Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar. Akiwa katika mabanda hayo, Mhe. Salome amezungumza na wataalam pamoja…

Madereva Polisi watakiwa kuwa mfano usalama barabarani – Mwakihaba

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Madereva wa Jeshi la Polisi mkoani Pwani wametakiwa kuzingatia sheria na kanuni za usalama barabarani na kuacha kutumia nafasi zao kama askari kukiuka sheria wanapokuwa barabarani. Rai hiyo imetolewa na Kamanda wa Kikosi cha Usalama…

Balozi Khamis aimwagia sifa TRA kwa utendaji ulioiwezesha kuvuka malengo

Na. Benny Mwaipaja, Zanzibar Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameimwagia sifa Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRA kwa utendaji uliotukuka uliowezesha Mamlaka hiyo kuendelea kuvuka malengo ya ukusanyaji wa mapato kila mwezi na kueleza imani yake kwamba kwa…

Rais Samia afurahishwa na huduma za NSSF

Kizimkazi, Zanzibar Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametembelea banda la Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Tamasha la Kizimkazi, ambapo alipokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Bw. Masha Mshomba. Pamoja…

Rais Samia aweka jiwe la msingi la skuli ya sekondari ya ufundi Kizimkazi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameweka jiwe la msingi na kupanda mti katika Skuli ya Sekondari ya Ufundi Kizimkazi Mkunguni, Wilaya ya Kusini, Mkoa wa Kusini Unguja. Hatua hiyo ni sehemu ya jitihada…

Serikali kuendesha oparesheni maalum ya ukaguzi wa utekelezaji wa mikataba ya msaada wa kiufundi

▪️ Lengo ni kuchukua hatua kwa wanaoitumia vibaya ▪️ Waziri Mavunde aelekeza RMOs kufanya ukaguzi wa mara kwa mara ▪️ Mchango wa wachimbaji wadogo kwenye uzalishaji madini wakua ▪️ Kamati ya Bunge yaitaka Serikali kutupia jicho kwenye maabara za upimaji…