JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wananchi wafurahishwa na elimu ya PBP Maonesho ya Utamaduni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, WANANCHI waliotembelea banda la Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) katika Maonesho ya Utamaduni, wameeleza kufurahishwa na elimu wanayoipata kuhusu majukumu ya Wakala katika kuratibu uagizaji wa mafuta kwa pamoja na kuhakikisha upatikanaji wa mafuta…

Puma Energy Tanzania yapongwezwa kwa huduma na gawio kwa Serikali

Na Peter Haule na Saidina Msangi, WF, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameipongeza Kampuni ya Puma Energy Tanzania kwa jitihada zake za kuongeza uwekezaji na kuboresha uendeshaji wa kampuni, hatua iliyowezesha Serikali kupata gawio la…

CMT yawataka wawekezaji kutumia baraza kutatua migogoro kwa haraka

Na. Joseph Mahumi, Dar es Salaam Msajili wa Baraza la Masoko ya Mitaji (CMT), Mhe. Dkt. Martin Kolikoli, amewataka wadau hususan wawekezaji kulitumia Baraza lake ili kutatua migogoro ya biashara kwa uharaka zaidi kwa lengo la kuchochea uwekezaji, biashara na…

NEEC yawataka wananchi Kahama kuchangamkia fursa za kituo cha Mwendakulima

KAHAMA Baraza la taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC) limetoa wito kwa wananchi wa manispaa ya Kahama hususan wakazi wa kata ya Mwendakulima kuchangamkia fursa za kiuchumi zilizopo katika kituo cha mafunzo ya kilimo kilichopo kata ya mwendakulima wilayani Kahama…

Mfumo wa PBPA waleta unafuu wa mafuta nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Morogoro Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umeeleza kuwa Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja umeendelea kuhakikisha Tanzania inapata bidhaa za mafuta kwa uhakika, kwa wakati na kwa gharama shindani. Akizungumza katika Maonesho ya Nne…

Msajili wa Hazina ataka mageuzi makubwa TBC

Na Mwandishi wa OTR, Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, ametaka kufanyika kwa mageuzi makubwa katika Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ili kujenga taasisi yenye ufanisi zaidi, kuongeza tija na mapato, na kuimarisha ushindani wake katika soko…