Category: MCHANGANYIKO
Ridhiwani:Chuo Cha Utumishi wa Umma kiendelee kujenga watumishi wenye weledi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amekumbusha umuhimu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania, kuendelea kufundisha na kukuza utumishi wa Umma Tanzania. Ridhiwani ameyasema hayo aliposhiriki kilele cha maadhimisho…
NSSF Yawahimiza waajiri kuchangamkia msamaha wa tozo, waliojiajiri wahimizwa kujiunga na hifadhi skimu
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kuimarisha juhudi za kupanua wigo wa hifadhi ya jamii nchini kwa kuwahamasisha wananchi waliojiajiri kujiunga na Hifadhi Skimu, huku ukiwahimiza waajiri wenye malimbikizo ya…
WASHINDI ‘VIJANA UCHUMI CHALLENGE’ WAKABIDHIWA MAMILIONI, SERIKALI KUJA NA MPANGO MAALUM WA MIKOPO KWA VIJANA
KATIKA kuhakikisha vijana wanawekwa viti vya mbele katika ajenda ya uchumi Serikali inaandaa maboresho ya kisera na kisheria yatakayowaondolea vijana wajasiriamali kikwazo cha muda mrefu cha ukosefu wa dhamana za mikopo kwa kuimarisha mfumo wa udhamini wa mikopo na kuruhusu…
Wananchi kutumia umeme katika vyombo vya usafiri ili kupunguza gharama gharama za usafiri
-TANESCO yaeleza matumizi ya umeme katika magari, bajaji na pikipiki -Pikipiki ya umeme hutumia uniti 3 pekee kusafiri hadi kilometa 130 Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wananchi wamehimizwa kutumia umeme katika vyombo vya usafiri ili kupunguza gharama za uendeshaji…
DG Magambi: Kaulimbiu ya PSSSF ‘Tunalipa Jana ’ yaleta furaha kwa wastaafu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Fortunatus Magambo, amesema kaulimbiu ya “Tunalipa Jana” iliyoanzishwa na Mfuko huo mwezi Aprili mwaka huu imeendelea kuleta faraja kwa wanachama…
Kabudi aipongeza DCEA kwa elimu ya madhara ya dawa za kulevya SABASABA
-Awahimiza wananchi kutembelea banda la Ofisi ya Waziri Mkuu Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu), Prof. Palamagamba Kabudi, ameipongeza Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA)…





