Category: MCHANGANYIKO
Prof. Mkenda : Wanawake na wasichana katika sayansi ni nyenzo ya maendeleo ya taifa kiuchumi
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesisitiza kuwa ushiriki wa Wanawake na Wasichana katika sayansi ni nyenzo muhimu ya maendeleo ya Taifa kiuchumi, na kwamba Serikali inaendelea kuwekeza ili kuongeza wataalam katika nyanja hiyo….
Wazazi waonywa; vituo vya kulea watoto siyo shule, wazingatie kanuni za 2012
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Karatu Wazazi na walezi wametakiwa kufahamu na kuzingatia Kanuni za Vituo vya Kulea Watoto Mchana na Watoto Wachanga za mwaka 2012 ili kuhakikisha watoto wanapata malezi sahihi kulingana na umri wao. Akizungumza wakati wa mafunzo kwa…
Siku 100 za Rais Samia,Waziri wa Vijana ataja mafanikio yaliyofanywa na Rais Samia
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka, ametaja mafanikio makubwa ambayo Rais Samia Suluhu Hassan ameyafanya ndani ya siku 100 madarakani ikiwemo kuwawezesha vijana. Akizungumzia siku 100 za Rais Samia IKULU, Waziri Nanauka,…
Dkt. Homera azitaka bodi za udhamini kujiepusha na ubadhirifu wa mali za umma
Na Mwandishi Wetu JamhuriaMedia,Katavi Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Zuberi Homera, amezitaka Bodi za Wadhamini zinazosimamia taasisi zisizo za kiserikali, taasisi za kidini, michezo na taasisi nyingine zinazotoa huduma kwa jamii kujiepusha na vitendo vya ubadhirifu wa mali…
RAS Arusha asisitiza utendajikazi unaozingatia maadili ya utumisi wa umma
Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Dk. Toba Alnason Nguvila, amewasistiza watumishi wa Umma kufanya kazi kwa kufuata Sheria, taratibu na kanuni kwa kuzingatia kiwango cha juu cha Maadili ya Utumishi wa Umma, ili kufikia lengo la Serikali la kuwahudumia…
Dk Gwajima asisitiza ushirikiano wa jamii kutokemeza ukeketaji na kuimarisha malezi ya mtoto
Na WMJJWM – Arusha Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mheshimiwa Dkt. Dorothy Gwajima, ametoa wito kwa jamii kushirikiana kikamilifu na Serikali katika kutokomeza vitendo vya ukeketaji wa wanawake na wasichana, akibainisha kuwa licha ya mafanikio…





