JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Balozi Omar; Mapinduzi ya viwanda ni muhimu katika kukuza uchumi wa nchi za Afrika

NA BENNY MWAIPAJA,BANJUL,GAMBIA Balozi Omar amesema hayo aliposhiriki mjadala kuhusu nafasi ya sekta ya viwanda inavyoweza kuchangia ukuaji wa uchumi katika nchi Afrika, mjadala uliofanyika pembezoni mwa Mkutano wa African Caucus wa Mwaka 2026, unaofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha…

Kapinga: Watanzania wajitokeze Sabasaba, bidhaa za ndani zazidi kuboresha

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amewataka Watanzania kuendelea kutembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), akisema maonesho ya mwaka huu 2026 yameonesha mafanikio makubwa ya maendeleo ya viwanda, ubunifu wa…

Msigwa atoa wito taasisi kutumia fursa ya kuongezeka kwa matumizi ya Kiswahili

Na Timothy Mwakyenda – MAELEZO Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali amesema kuwa mafanikio ya Tamasha la Lugha ya Kiswahili lililofanyika nchini Ufaransa yamefungua ukurasa mpya wa kuitangaza lugha ya Kiswahili…

Tanzania yajipanga kitovu cha uzalishaji dawa Afrika, yawaalika wawekezaji wa China

Na John Mapepele, Wu hani – China Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kujenga sekta imara ya viwanda vya dawa na kuifanya nchi kuwa kitovu cha uzalishaji wa dawa kwa ukanda wa Afrika Mashariki na kwingineko barani Afrika, huku…

Balozi Temu asisitiza marekebisho ya mifumo ya mali miliki

Na Prosper Makene Geneva – Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Geneva ametoa wito wa kuwa na mifumo ya mali miliki (Intellectual Property) inayojumuisha wote, yenye usawa na inayolenga mustakabali ili kuchochea…

Dkt. Kiruswa: Mageuzi sekta ya madini yaifanya Tanzania kuwa kitovu cha uwekezaji Afrika

-Tume ya Madini yaeleza usimamizi wa leseni za madini na Local Content unavyowanufaisha Watanzania -Fursa za uwekezaji zatangazwa kuanzia utafiti, uchimbaji hadi uongezaji thamani wa madini Dar es Salaam Serikali imesema mageuzi yanayoendelea kutekelezwa katika sekta ya madini chini ya…