JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri wa Fedha asisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kutunza vyanzo vya maji

Na Benny Mwaipaja, Washington D.C Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kuweka mipango ya kuhakikisha kuwa maji salama yanapatikana kwa ajili ya matumizi ya binadamu na shughuli za kiuchumi lakini pia…

Mwenge watambua mchango wa Ridhiwani kwenye falsafa ya Mwenge wa Uhuru tangu kuanzishwa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze MWENGE wa Uhuru umetambua mchango wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete, kufuatia kuandika kitabu (andiko) kinachoelezea…

Serikali yashusha pumzi kwa wamiliki wa mabasi, nauli mpya hizi hapa

Na Mwandii Wetu ​Baada ya kipindi kirefu cha mvutano, vilio, na malalamiko kutoka kwa wafanyabiashara na wamiliki wa vyombo vya usafiri nchini, Serikali hatimaye imetoa majibu ya kisheria kufuatia kupanda kwa gharama za uendeshaji. Kupitia Gazeti la Serikali toleo la…

Mashili : Tumuombee Rais, tuliombee taifa

Watanzania wamehamasishwa kuendelea kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan ili aweze kupata utulivu wa kuliongoza Taifa la Tanzania kwa amani, upendo na mshikamano. Rai hiyo imetolewa leo Aprili 19, 2026 na Mkurugenzi Mtendaji…

Kiongozi wa mqenge asifu kiwanda cha nguzo za zege kwa kuukoa mazingira

Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Wazo Mwang’onda, amekagua kiwanda cha kutengeneza nguzo za zege cha Coast Concrete Poles kilichopo Bagamoyo mkoani Pwani na kueleza kuwa ni mwarobaini wa kulinda mazingira kwa kupunguza ukataji…

Sitovumilia mwalimu kuonewa au kutotendewa haki – Pro. Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Bahi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema iwapo atapewa taarifa ya uhakika ya afisa yeyote anayepaswa kuwahudumia walimu na kutatua kero zao,…