JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

REA yawasha umeme vitongoji 307 Namtumbo

📌Bilioni 12.1 yatumika kusambaza umeme vitongojini 📌Dkt. Homera awasha Umeme kwenye vitongoji 📌Aipongeza REA kwa utekelezaji miradi ya nishati vitongojini 📍Namtumbo – Ruvuma Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imewekeza jumla ya shilingi bilioni 12.1 katika miradi ya kupeleka…

Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara soko la simu 2000 kuendelea na biashara

Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameelekeza hatua za haraka zichukuliwe kuwarejesha wafanyabiashara wa Soko la Mawasiliano (Simu 2000) ili kuendelea na shughuli za biashara katika soko…

Wasira : Nyerere alikuwa mtetezi wa wanawake, aliandika kitabu hakijachapishwa

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema mawazo ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere akiwa Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda aliandika kitabu cha kutetea wanawake ingawa kitabu hicho hakijachapishwa hadi amefariki. Wasira…

Serikali yakutana na Mjumbe Malaam wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola

NaMwandishi Wetu Ujumbe wa Serikali ya Tanzania ukingozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Mhe. Profesa Palamagamba Kabudi, imekutana na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola na Rais wa…