Category: MCHANGANYIKO
Dk Mwigulu azindua uwanja wa ndege Mtemere
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 11, 2026 amezindua uwanja wa ndege Mtemere uliopo katika kijiji cha Mloka, mkoani Pwani kwenye hifadhi ya Taifa ya Nyerere. Uzinduzi wa uwanja huo umeenda sambamba na uzinduzi wa miradi mingine 20 (kufanya…
Kwagilwa akagua ICU ya kisasa Handeni Mji, kuimarisha huduma za afya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Handeni Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Reuben Kwagilwa, amekagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Wagonjwa Mahututi (ICU) katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji Handeni, mradi…
Naibu Waziri Londo atembelea Tume ya Ushindani, asisitiza uzalendo
Naibu Waziri wa viwanda na biashara, Mheshimiwa Dennis Londo ametembelea ofisi za tume ya ushindani nchini (Fair Competition Commission– FCC) ikiwa ni sehemu ya kuimarisha usimamizi na utekelezaji wa majukumu ya taasisi hiyo katika kulinda ushindani wa haki nchini. Katika…
‘Vijana wanaongoza kwenye changamoto ya kisaikolojia na akili’
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati magonjwa yasioambukiza yakiendelea kushika kasi, takwimu zinaonyesha kuwa kuna watu milioni 450 duniani wanaugua matatizo ya akili kila mwaka Takwimu hizo zinaeleza kuwa kati ya watu hao, takribani milioni moja hujiua kila…
Mtoto mchanga wa siku moja aibiwa Mwanza
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Mwanza Mtoto mchanga wa siku moja mwenye jinsia ya kike ameibiwa baada ya mwanamke mmoja kujitambulisha kuwa ni mke wa mmoja wa mama yake mzazi na kumbeba mtoto baada ya kuruhusiwa hospitalini katika Kata ya Buzuruga wilayani…





