Category: MCHANGANYIKO
Dk Nicas aahidi kicheko cha maendeleo Manispaa Mji Kibaha
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Diwani Mteule wa Kata ya Tumbi, Dkt. Mawazo Nicas, ameshinda nafasi ya Ustahiki Meya wa Manispaa ya Mji Kibaha kupitia kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kupata kura 15 kati ya…
Namtumbo kuanza kulima zao la kakao msimu wa kilimo
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Namtumbo mkoani Ruvuma Dkt Juma Homera amesema,katika msimu wa kilimo 2025/2025 wakulima wataanza kulima zao la Kakao kama mkakati wa Wilaya hiyo kuwa na mazao mengi…
Dk Mwigulu akagua uharibifu wa kituo cha Polisi Kikatiti
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 30, 2025, amekagua Kituo cha Polisi Kikatiti ambacho kiliharibiwa kutokana na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025, mkoani Arusha. Akizungumza na wakazi wa eneo hilo, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amewataka wananchi kuwa makini dhidi ya…
Watu 607 waliokamatwa kufanya vurugu wakati wa uchaguzi mkuu waachiliwa
Na Mwandishi Wetu, Namtumbo WAZIRI wa Katiba na Sheria Dkt Juma Homera amesema,zaidi ya watu 607 kati ya 2,500 waliokamatwa baada ya kufanya vurugu kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu wameachiliwa huku wengine 1,736 wataachiliwa hivi karibuni. Waziri…
Serikali yasisitiza kutozuia maiti hospitalini
Na WAF, Kigoma Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, ameendelea kuzisitiza hospitali zote nchini kutozuia maiti kwa sababu yoyote, akisema kuwa hatua hiyo ni utekelezaji wa ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,…
Ndejembi awahakikishia wakazi Kigamboni umeme wa uhakika
*Afanya Ziara katika Kituo cha Dege *Aelekeza hatua za haraka kuchukuliwa kunusuru hali ya umeme Kigamboni *Umeme wa Megawati 22 kupatikana kwa hatua za haraka *Upanuzi wa Kituo cha Dege wafikia asilimia 60 Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amefanya…





