Category: MCHANGANYIKO
Serikali juboresha maendeleo ya raslimali watu kazini
Na Mwandishi Wetu,Jamhuri MediaDar es Salaam Serikali kupitia Wizara , Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora nahakikisha inaboresha Maendeleo ya Raslimali watu Nchini Kwa kuwekeza nguvu kuimarisha Elimu,kutoa Mfumo kazini na Usimamizi kwa Watumishi…
Waziri wa Ardhi awaasa wahitimu Arimo kujiepusha na matendo maovu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo amewaasa wahitimu wa Chuo cha Ardhi Morogoro (ARIMO) kujiepusha na matendo maovu na elimu na maarifa waliyopata yawe tunu na faida kwa Taifa….
Serikali itahakikisha miradi yote ya umwagiliaji inakamilika na kuleta tija kwa wakulima – Chongolo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, ametembelea mradi wa Umwagiliaji uliopo wilayani Masasi mkoani Mtwara ikiwa moja ya muendelezo wa ziara kwa Taasisi za Wizara ya kilimo ambapo amewahakikishia wananchi kuwa Serikali itakikisha miradi yote ya…
Ujenzi wa jengo la kituo cha mafunzo ya kuongeza thamani madini ya vito waanza Arusha
■ Ni mkakati wa kuhakikisha madini vito yanaongezewa thamani nchini. ■Ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais.Dkt. Samia katika kuendeleza mnyororo wa madini thamani. ■Waziri Mavunde amtaka mkandarasi kuongeza nguvukazi kukamilisha mradi kwa wakati. ▪️Atoa siku 7 kwa Katibu Mkuu kukutana…
Uzalishaji maji washuka kutoka lita milioni 270 hadi lita 50 kwa saa
Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam. Afisa Mtendaji wa Dawasa Mkama Bwire ameeleza kuwa upatikanaji wa maji katika Jiji la Dar es Salaam na maeneo ya jirani unategemea sana vyanzo vya mvua. Mkama ameeleza hayo alipokuwa akizungumza na wahariri…





