JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kikao cha wadau wa kodi na TRA Dodoma chafana, wakubaliana kushirikiana kuleta mageuzi ya uchumi wa mkoa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Dodoma imeendelea kujenga mazingira rafiki ya ushirikiano na wafanyabiashara baada ya kufanya mkutano muhimu na wadau wa kodi mnamo tarehe 26 Novemba 2025 katika Ofisi za TRA Mkoa…

Bashiru aagiza sekta ya mifugo kuongeza ubunifu, tafiti na thamani ya mazao

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, ameiagiza sekta ya mifugo kuongeza ubunifu, kufanya tafiti zenye matokeo na kuimarisha mnyororo wa thamani wa mazao ya mifugo ili kuongeza ushindani kimataifa na tija…

Waziri Mavunde abainisha mikakati ya kuimarisha biashara ya Tanzanite nchini

‎Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema Serikali imejipanga upya kuitangaza na kuiinua Tanzanite kimataifa kupitia mkakati wa kurejesha hadhi ya jiwe hilo adimu duniani. ‎Akizungumza katika mkutano na wachimbaji wadogo na wafanyabiashara wa madini ya vito katika eneo tengefu…

Daraja la Nzali Chamwino kukamilika Desemba 30, 2025

Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya amemtaka mkandarasi CHICO anayejenga daraja la Nzali lenye urefu wa mita 60 na barabara unganishi km 1.5 wilayani Chamwino kukamilisha ujenzi huo mwishoni mwa mwezi ujao. ‎Akizungumza wakati akikagua miradi ya barabara mkoani…

Waliofukuzwa kwa udanganyifu wa vyeti feki NIDA yawaita kusahihisha nyaraka zao

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imetoa mwaka mmoja kwa wananchi wote waliotumia nyaraka za kughushi au waliotoa taarifa zisizo sahihi wakati wa usajili. Lengo ni kuwawezesha wale wote wenye chngamoto .kufanya marekebisho…

Ufanisi wa TANESCO katika utekelezaji na usimamizi miradi umeleta mfumo madhubuti wa nishati – Ndejembi

📌 Akagua mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa Chalinze -Dodoma atoa agizo ukamilike kwa wakati 📌 Asema ni mradi mkubwa wa Sh bilioni 556 unatekelezwa kwa fedha za ndani📌 MD TANESCO: Msukumo mkubwa unawekwa kusambaza umeme kutoka vyanzo hadi…