Category: MCHANGANYIKO
Makaa ya mawe Ruvuma yafungua masoko ya Afrika na Asia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Mkoa wa Ruvuma umeendelea kujizolea umaarufu katika sekta ya madini baada ya makaa ya mawe yanayochimbwa katika wilaya za Mbinga, Songea na Nyasa kufungua masoko katika nchi mbalimbali za Afrika na Asia, huku zaidi ya…
Ridhiwan Kikwete aongoza ujumbe wa Tanzania mkutano wa EAC
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete, jijini Arusha ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Mawaziri kutoka Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Mkutano huo ni hatua…
Baraza la Mawaziri EAC laridhia mapendekezo ya Bajeti ya Jumuiya
Mkutano Maalumu wa 60 wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umeridhia mapendekezo ya bajeti ya Sekretarieti ya Jumuiya pamoja na taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027, katika kikao kilichofanyika Mei 22, 2026 katika Makao Makuu…
Wauguzi, wakunga wahimizwa utendaji wa mabadiliko, kulinda utu wa magonjwa
Na Hassan Kimweri, WAF – Dodoma Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya anayeshughulikia Dawa na Vifaa Tiba, Bw. Emmanuel Tayari, amewataka Viongozi wa huduma za afya nchini hususani Wauguzi na Wakunga kuleta mabadiliko ya kweli kwa kutoa huduma zinazozingatia…
Serikali yaeleza mikakati ya kulinda watoto wa mazingira hatarishi
Na Jackline Minja, Dodoma Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Serikali inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali ya kulinda watoto walio katika mazingira hatarishi ikiwemo watoto yatima, wenye ulemavu pamoja na watoto…





