Category: MCHANGANYIKO
Kamishna NCAA awataka watumishi kufanyakazi kwa uaminifu kuenzi uhuru
Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Bw. Abdul-Razaq Badru amewataka watumishi wa mamlaka hiyo kufanya kazi kwa bidii, weledi, uamunifu, ubunifu na ushirikiano katika ulinzi wa rasilimaliza za Wanyamapori na misitu ili kuenzi uhuru wa Tanzania Bara…
Polisi : Picha zinazosambaa mtandaoni kuhusu maandamano si za kweli
Jeshi la Polisi lingependa kueleza kuwa, kuna hii picha mjongeo ya zamani na nyinginezo zinasambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikihadaa wananchi kuwa maandamano yameshaanza. Hakuna jambo kama hilo kwani vyombo vya ulinzi na usalama vipo mitaani kudhibiti hali kama hiyo…
TPDC na PURA hakikisheni Watanzania wananufaika na rasilimali za mafuta na gesi- Mhe Salome
📌Awekea mkazo upatikanaji wa ajira, huduma za kijamii na nishati nafuu 📌Apongeza PURA na TPDC kwa jitihada wanazofanya katika utafiti na uendelezaji wa Mafuta na Gesi Asilia 📌Asisitiza mazingira rafiki ya uwekezaji Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba amefanya…





