JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Viongozi waliochochea migogoro ya ardhi Lupunga kikaangoni- Kunenge

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa (RAS) na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha kufuatilia na kuwachukulia hatua viongozi wote waliojihusisha kuchochea migogoro ya ardhi katika eneo la Lupunga, Kikongo,…

Waziri Akwilapo aagiza kuongezwa kwa kasi ya kupanga na kupima ardhi nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo ameiagiza Tume ya Taifa ya Matumizi ya Ardhi kuongeza kasi ya kupanga na kupima ardhi katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo miradi ya kilimo,…

Waziri Mkuu awaagiza TANROADS, TARURA kufanya tathmini ya miradi yote

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza Watendaji Wakuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kufanya tathmini ya miradi yote ambayo malipo ya awali yameshafanyika na hatua za ujenzi zilizofikiwa katika miradi…

Ras Samia azungumza na Balozi wa Kenya nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Kenya anayemaliza muda wake nchini Tanzania, Mhe. Isaac Njenga, Ikulu Dar es Salaam, tarehe 17 Desemba, 2025. Balozi Njenga alifika Ikulu kumuaga Rais Dkt….

Rais Samia apongeza timu ya uimarishaji mpaka Tanzania na Kenya

Na Lusajo Mwakabuku-WANMM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameipongeza Kamati ya Pamoja ya Wataalamu ya Uimarishaji Mpaka wa Kimataifa kati ya Tanzania na Kenya kwa kuhakikisha mpaka unaotenganisha nchi hizo mbili unaimarishwa ambapo…

Wanataaluma wajadili athari chanya za AI

Wanataaluma na wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), leo Desemba 16,2025 wamekutana jijini Dodoma katika Kongamano la 16 la kitaaluma kukijadili kwa kina athari chanya za matumizi ya teknolojia, hususani akili Unde (Artificial Intelligence – AI), katika kukuza elimu,…