Category: MCHANGANYIKO
‘Uharibifu wa barabara Dar uliotokana na mvua Serikali yajipanga’
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema mvua nyingi zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya mkoa ambayo imesababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu ya barabara, Serikali haijalala iko imara hivi karibuni…
Rais Samia ashiriki misa takatifu ya miaka 40 ya kumbukumbu kifo cha hayati Sokoine
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Ibada ya Misa Takatifu ya Kumbukizi ya miaka 40 tangu kutokea kifo cha Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Edward Moringe Sokoine. Ibada…
RC Chongolo akutana na uongozi wa Uhifadhi Ngorongoro
Uongozi ya Hifadhi ya Ngorongoro Umefanya ziara ya kikazi kuonana na Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Daniel G. Chongolo. Pamoja na mambo mengine walijadiliana kwa kina kuhusu Uendelezaji wa Eneo la Kimondo Kwa ajili ya Maendeleo ya Kitalii na…
PPRA yaweka kipaumbele kwenye utafiti kubaini changamoto za manunuzi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imeweka kipaumbele katika utafiti wenye lengo la kubaini changamoto zinazoikabili sekta ya ununuzi na kutafuta suluhisho la namna ya kukabiliana nazo. Hayo yameelezwa leo Aprili 9,2024 Jijini…




