Category: MCHANGANYIKO
Ridhiwan akutana na balozi wa China nchini
✅ Wateta kuistawisha Sekta ya Kazi, Vijana, Ajira na Huduma kwa Watu wenye Ulemavu Na Mwandiahi Wetu, Jamhurimedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwan Kikwete amekutana na…
Mpango wa ‘Gurudumu la Mama’ wazinduliwa; hatua ya kuwainua vijana na kuzuia ajali
Na Dotto Kwilasa, Jamhuri Media, Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amezindua rasmi kampeni ya kitaifa ya “Gurudumu la Mama”,ambayo ni mpango maalum wa kuwawezesha waendesha Pikipiki maarufu kana Bodaboda na bajaji kupata matairi mapya kwa mpango nafuu…
Zaidi ya migodi 13,000 yakaguliwa
• Wakaguzi wa Migodi Wajengewa Uwezo• Makusanyo Sekta ya Madini Yavuka Lengo Na Mwandiahi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza JUMLA ya migodi 13,279 pamoja na bohari za baruti 164 zimekaguliwa nchini kuanzia Julai 2024 hadi Machi 2025. Hayo yameelezwa leo Mei 28,…
Serikali kukamilisha ujenzi wa VETA wilaya zote
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe profesa Adolf Mkenda amesema serikali inaendelea na ujenzi wa vyuo vya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) katika Wilaya 64 nchini. Waziri Mkenda amesema hayo…
Shirika la ndege Ryanair lapanga kuondoa viti ili kupunguza nauli
Shirika la ndege la gharama nafuu kutoka Ireland, Ryanair, limeibuka na mpango mpya unaolenga kubadili kabisa taswira ya usafiri wa anga – kwa kuondoa viti kwenye baadhi ya safari zake na kuanzisha mfumo wa abiria kusimama. Kwa mujibu wa taarifa…