JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Majaliwa : Sanaa ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi

▪️Awataka wasanii wawekeze zaidi katika sanaa ili kuongeza wigo wa ajira WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema sekta ya utamaduni na Sanaa ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa wasanii na Taifa, kuongeza fursa za ajira, kurasimisha kazi za sekta sambamba…

Uzalendo wa Kweli: Rais Samia ashiriki kujiandikisha, atoa wito wa litaifa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika kuendeleza juhudi za kuhakikisha kila Mtanzania anatimiza haki yake ya kidemokrasia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, amejiandikisha katika Daftari la Wapiga Kura katika kituo cha Chamwino Ikulu, mkoani Dodoma. Rais…

Ajenda tatu kubeba mkutano maalum CCM

Na Lookman Miraji Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia katibu wake wa Halmashauri Kuu, itikadi, uenezi na mafunzo, Amos Makala kimetangaza ujio wa mkutano mkuu maalum wa CCM unaotarajiwa kufanyika tarehe 29 na 30 ya mwezi Mei 2025. Katika taarifa iliyotolewa…

Awamu ya pili ya uboreshaji daftari la wapiga kura yaendelea kwa mafanikio – Mwambegele

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, ametoa rai kwa wananchi wote wenye sifa ya kupiga kura ambao hawakuboresha taarifa zao katika awamu ya kwanza ya zoezi la uboreshaji wa…