Category: MCHANGANYIKO
Masauni ahimiza vijana kuenzi, kulinda na kutetea muungano
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amewataka wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu nchini na vijana kuendelea kulinda na kutetea misingi ya…
Waziri Mkuu akagua madhara ya moto soko la Simu 2000
▪︎ Asema Serikali itatoa kauli baada ya uchunguzi ▪︎ Aagiza vibanda vipya vigawiwe kwa wafanyabiashara halisi Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameagiza hatua za haraka kurejesha shughuli za biashara kufuatia ajali ya moto ulioteketeza Soko la Mawasiliano (Simu 2000) lililopo…
Mwalimu auawa akituhumiwa kuiba nyeti Sumbawanga
Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa limewakamata watuhumiwa (25) kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji ya Henry Shubati Myuwanga (50), Mwalimu wa Shule ya Msingi Wema Mkoani Songwe. Tukio hilo la mauaji lilitokea Aprili 4, 2026 majira ya…
Waziri Chongolo awatangazia neema wa Idofi, kunufaika na mardi wa umwagiliaji ekari 1,300
📍NIRC Makambako. Waziri wa Kilimo Mhe. Daniel Chongolo ametangaza neema kwa wakulima wa Idofi, Wilaya ya Makambako, ambapo Serikai inaenda kutekeleza mradi Mkubwa wa Umwagiliaji utakaonufaisha ekari zaidi ya 1.300. Amesema, hatua hiyo itainua uchumi hivyo ni muhimu kuunga mkono…
Rushwa, ukiritimba vyatajwa kuwa chanzo cha kupunguza furaha ya wananchi
Na Dotto Kwilasa,JemhuriMedia,Dodoma Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Central Tanganyika, Dkt. Dickson Chilongani, ameiomba Serikali kuongeza jitihada katika kushughulikia kero zinazowakabili wananchi, hususan vitendo vya rushwa, ukiritimba na kunyimwa haki katika baadhi ya taasisi na ofisi za…





