Category: MCHANGANYIKO
Dk Biteko ateta na Spika wa Bunge la Morocco
📌 Tanzania, Morocco wakubaliana kuimarisha ushirikiano Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe Dkt. Doto Biteko Mei 15, 2025 ametembelea Bunge la Morocco ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi nchini humo. Akiwa Bungeni hapo, Dkt. Biteko amefanya…
Waziri Mavunde kuzindua kongamano la TAMISA Dar kesho
Na Mwandishi Wetu, JamburiMeia, Dar Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, anatarajiwa kuzindua kongamano maalum linaloandaliwa na Taasisi ya Umoja wa Watoa Huduma katika sekta ya madini nchini (TAMISA) pamoja na Kamati maalum ya Masoko na Mawasiliano ya taasisi hiyo. Uzinduzi…
Serikali kutumilia Bilioni 208.9 kuwezesha kaya duni 260 kwa miaka sita
OR – TAMISEMI, Morogoro Serikali inakusudia kutumia Dola milioni 77.4 sawa na shilingi Bilioni 208.9 kuzijengea uwezo kaya duni laki mbili na elfu 60 za wakulima na wavuvi kwa kuziwezesha kitaalam na kuziunganisha na taasisi za kifedha hususani TADB kwa…
Msajili Hazina aongoza mazungumzo ya uwekezaji na Kampuni ya Uwisi
Na Mwandishi Maalum Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, ameongoza mazungumzo ya kitaalamu kati ya Serikali ya Tanzania na Bw. Soren Toft, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mediterranean Shipping Company (MSC), kuhusu uwekezaji wa kimkakati katika Bandari ya Dar es Salaam…
INEC yahimiza wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji daftari awamu ya pili
Na Mwandishi Wetu, Jamhurimedia, Pwani TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wananchi kutoka mikoa 16 ya Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar wanaokwenda kuanza Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura awamu yapili kujitokeza kuboresha taarifa zao pamoja na kutazama…
Evance Kamenge ampongeza Rais Samia alivyoonyesha mabadiliko ndani ya CCM
Na Lydia Lugakila, JamhuriMedia, Kagera Mkulima na mchumi kutoka Wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera Evance Emanuel Kamenge amesema kuwa Rais Samia ni kiongozi wa mfano na wa kupongezwa kwani ameleta mabadiliko makubwa ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwani CCM…