JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Watu 34 wafariki baada ya magari mawili kugongana na kuwaka moto Same mkoani Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Same Watu zaidi ya 34 wamepoteza maisha na wengine 16 kujeruhiwa baada ya kutokea ajali ya barabarani leo asubuhi, Jumamosi Juni 28, 2025, katika eneo la Sabasaba, Kata ya Same, wilayani Same, mkoani Kilimanjaro. Ajali hiyo…

Israel Salufu awania Jimbo la Kilolo

Na Mwandishi Wetu KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Israel Johaness Salufu amechukua fomu kuwania nafasi ya Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Jimbo la Kilolo mkoani Iringa. Salufu amechukua fomu hiyo leo tarehe 28 Juni 2025 katika Ofisi za…

Wachimbaji wa shaba waaswa kujiunga vikundi kunufaika na fursa za maendeleo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mpwapwa, Wachimbaji wadogo wa madini ya shaba wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma wametakiwa kujiunga katika vikundi ili waweze kunufaika na fursa mbalimbali zinazotolewa na Mradi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP), unaolenga kuwaendeleza wachimbaji…