Category: MCHANGANYIKO
Bakari Kimwanga aibuka kidedea udiwani kata ya Makurumla kwa kura 467
Bakari Kimwanga ambaye alikuwa anatetea nafasi yake ya udiwani kata ya Makurumla Mkoa wa Dar ea Salaam amefanikiwa kurejea tena kwa kupata kura 467 ambapo Rajab Suleiman Hassan alipata kura 344 na Idd Shaban Taletale ameambulia kura 18. Kati ya…
NHIF iliokoa maisha ya mwanangu – RAS Tabora
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora Bw. Rogath John Mboya ameahidi kushirikiana na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), katika kuhamasisha kujiunga na huduma zake ili wajihakikishie huduma za matibabu wakati wote bila…
Tanzania yaadhimisha Siku ya Mikoko Duniani kwa kupanda miti 5,000
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Tanzania leo imeadhimisha kwa mara ya kwanza kitaifa Siku ya Kimataifa ya Mikoko Duniani, kwa kupanda jumla ya miti 5,000 ya mikoko katika eneo la Kilongawima, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam – ikiwa…
TMA yatoa elimu ya hali ya hewa Nanenane
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetumia fursa ya Maonesho Nanenane 2025 kitaifa yanayofanyika katika Viwanja vya Nzuguni, Dodoma kutoa elimu kwa jamii kuhusu huduma zitolewazo na jukumu kubwa la TMA la kudhibiti shughuli…
TANESCO yazindua mfumo wa kupokea taarifa za siri
Na Mwandishi wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua mfumo wa kupokea taarifa za siri (Whistleblower portal) ambapo mfumo huo unaenda kurahisisha upokeaji wa taarifa kutoka kwa wananchi. Amebainisha hayo Agosti 4,2025 Jijini Dar es Salaam,Kaimu…





