Category: MCHANGANYIKO
Mabula atoa onyo kwa viongozi wanaochochea migogoro ya ardhi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Bagamoyo WAZIRI wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na maendeleo ya makazi Angelina Mabula ametoa onyo kwa baadhi ya Viongozi wa ngazi za vijiji na vitongoji wanaokuwa chachu ya migogoro kwa kuuza ardhi zaidi ya mara moja ili…
TAKUKURU yabaini mapungufu kwenye miradi Mwanza
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mwanza TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mwanza imefuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo 22 yenye thamani ya Bilioni 27 katika sekta ya elimu, barabara,maji,usafi wa mazingira na afya. Hayo yamebainishwa leo Agosti 10,2022…
Rais atangaza elimu bure kwa wanafunzi wa uhandisi na tiba
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuanzia mwaka huu serikali itatoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi watakaofanya vuzuri katika mitihani ya kidato cha sita na kuchagua kusomea fani ya Uhandisi na tiba. Rais Samia ameyasema…
TEF: Tunamshukuru Rais Samia kwa kuona umuhimu wa kupitia sheria za habari’
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu kwa kuona umuhimu wa kupitia sheria za habari na kuagiza zifanyiwe maboreshio ili kuendana na mazingira yaliyopo. Hayo…
Serikali kuwekeza katika makazi ya kuwatunza wazee
Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imekusudia kuwekeza katika Makazi ya Wazee nchini ili kuwa na miradi mbalimbali itakayozalisha mazao na kuchangia katika mapato ya Serikali. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na…





