Category: MCHANGANYIKO
Menejimenti ya TMDA yajipanga na Dira 2050
Menejimenti ya TMDA yakutana Morogoro tarehe 2 -3 Februari, 2026 kujadili rasimu ya Mpango Mkakati Mpya wa Mamlaka wa miaka mitano, 2026/27-2030/31 unaoakisi utekelezaji wa Dira ya Taifa ya 2050. Rasimu ya Mpango Mkakati huo ni ya Sita kufuatia kukamilika…
Serikali yasisitiza huduma za afya bure kwa wajawazito na watoto
Na WAF, Dodoma SERIKALI imesisitiza kuwa huduma za afya kwa akina mama wajawazito na watoto chini ya umri wa miaka mitano zinaendelea kutolewa bure kwa mujibu wa Sera ya Afya ya mwaka 2007, na kwamba vitendo vya kutoza gharama kwa…
DK Abbas : Serikali imetimiza ahadi ya ajira Jeshi la Uhifadhi
Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kutekeleza kikamilifu ahadi yake ya kutoa ajira zaidi ili kuimarisha Jeshi…
JK kwa mfalme Swati III kujadili upatikanaji wa fedha ya afya kwa nchi wanachama ECSA
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi Jakaya Mrisho Kikwete Foundation (JMKF) ameshiriki Mkutano wa 67 wa Mawaziri wa Afya kutoka nchi 9 wanachama za Jumuiya ya Afya ya…
Waziri Mkumbo aweka hadharani Dira 2050 na mwelekeo wa uchumi wa taifa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema Tanzania imejipanga kikamilifu kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kupitia mipango thabiti ya muda mrefu, wa kati na mfupi inayolenga kuijenga nchi yenye uchumi jumuishi, ustawi…
Mahakama Pwani yairejesha Serikalini milioni 707 kesi za uhujuu uchumi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameipongeza Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Pwani kwa kuiwezesha Serikali kufidiwa kiasi cha sh milioni 707 baada ya kumalizika kwa mashauri nane (8) ya uhujumu uchumi yaliyohusisha uharibifu wa…





