Category: MCHANGANYIKO
Kaliua yanunua mtambo wa kutengeneza barabara
Na Mwandishi Wetu KATIKA kutekeleza mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan wa kuhakikisha barabara za mijini na vijijini vinapitika wakati wote, Wilaya ya Kaliua imetekeleza mkakati huo kwa vitendo. Katika kuthibitisha hilo,…
Tanzania yaunga mkono uhuru wa chakula katika mkutano wa UNFSS+4 jijini Addis Ababa
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa ngazi ya Mawaziri uliofanyika tarehe 29 Julai 2025, jijini Addis Ababa, Ethiopia, uliokuwa sehemu ya Mkutano wa Pili…
Wabunge 27 ambao hawakuteuliwa kugombea kura za maoni
Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, kimetangaza rasmi majina ya wagombea watakaoshiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa nafasi za Ubunge wa Majimbo, Viti Maalum na Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi. CPA…
Kanati Kuu ya CCM yaridhia Peter Mashili kuvaaba na Bashe Jimbo la Nzega Mjini
Na Mwandishi Wetu Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa imempitisha Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Mashili Company Limited ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mradi wa Uchenjuaji Dhahabu wa (Matinje Mining, Msilale Mining na Igurubi Mining), Peter Andrea Mashili…





