Category: MCHANGANYIKO
Samia: Vijana tulizeni munkari, msidanganywe
Na Kulwa Karedia-Dar es Salaam Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amewaasa vijana wa Tanzania kutokubali kudanganywa na kuwataka washushe munkari.Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati akihutubia mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu katika majimbo…
Tanzania yapata nafasi za ajira 50,000 nje ya nchi
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Thabit Kombo amesema serikali imepata mkataba wa ajira 50,000 kama mchango wa Tanzania kwa nchi za nchi za nje. Waziri Kombo ametoa kauli hiyo wakati wa mkutano wa kampeni za…
Maaskofu, Masheikh nyandaza juu wahimiza uchaguzi wa amani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, huku wakisisitiza umuhimu wa kudumisha amani kabla, wakati na baada ya Uchaguzi huo….
Maafisa Maendeleo ya Jamii Wanawake Songwe wakabidhiwa pikipiki kama vitendeakazi
Na Mwandishi Wetu WMJJWM- Songwe Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imekabidhi pikipiki nane kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Songwe ili kuboresha mazingira ya kazi na kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma za…
Shamrashamra za kampeni za mgombea urais CCM Buza
Matukio mbalimbali kwenye mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika katika uwanja wa TANESCO, Buza Jijini…
Muunganiko wa asasi za kiraia zawashauri wanawake kupiga lura Oktoba 29,2025
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Muunganiko wa asasi za kiraia zinazotetea makundi maalum ikiwamo wanawake, watoto na wenye ulemavu umeungana kuhimiza umma kuhusu ajenda muhimu ya ushiriki wa wanawake katika siasa na uongozi, sambamba na kuhimiza wanawake kujitokeza kupiga kura…





