Category: MCHANGANYIKO
Kiwanda Kipya cha Nikeli, Shaba chazinduliwa Bahi, Mavunde atangaza mapinduzi sekta ya madini
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wananchi wa Kata ya Zanka, Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma wameanza kuona mwanga mpya wa maendeleo kufuatia uzinduzi rasmi wa kiwanda cha kusindika na kuyeyusha madini ya Nikeli na Shaba kinachomilikiwa na kampuni ya Zhong Zhou. Hafla…
Dk Biteko ahimiza utekelezaji maazimio vikao vya kimkakati vya wenyeviti wa bodi na wakuu wa taasiai
📌 Awakumbusha kuhusu dhamana waliyobeba ya kubadili maisha ya watanzania kupitia mtaji wa shilingi Trilioni 86 waliopewa 📌 Afunga Kikao kazi cha Tatu cha Wenyeviti wa Bodi, Wakuu wa Taasisi 📌 Asema Rais, Dkt. Samia anatambua mchango wa Taasisi za…
JKCI yasogeza huduma zake karibu na jamii Arusha
Na Mwandishi Maalumu – Arusha TAASISI ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeendelea kusogeza huduma zake karibu na jamii kwa kufanya zoezi maalumu la uchunguzi na matibabu ya moyo kwa Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma wanaohudhuria…
Ni wiki ya kishindo, kuna majimbo patachimbika
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki hii kinaanza kishindo cha mchakato wa Uchaguzi Mkuu. Agosti 28, 2025 zinaanza rasmi kampeni kwa ajili ya wagombea urais, ubunge na madiwani. Kuna vyama 19 vya siasa vilivyosajiliwa nchini. Vyama 18 vimesimamisha…
Bodi ya Bima ya Amana yapata Mkurugenzi Mkuu
Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Bima ya Amana (DIB) imemteua Bw. Isack Nikodem Kihwili kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Bima ya Amana katika kipindi cha miaka mitano ijayo kuanzia tarehe 1 Agosti mwaka huu. Gavana wa Benki Kuu…





