Category: MCHANGANYIKO
Watu 259 wapata huduma ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo Dodoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Watu 259 wamepata huduma ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo inayotolewa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi ya Umma yanayofanyika kwenye Viwanja vya Chinangali Park jijini…
JKCI yaelezea teknolojia inazozitumia mgonjwa kuwasiliana na daktari popote alipo
Na Jeremiah Ombelo Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeelezea inavyotumia teknolojia ya tiba mtandao (Telehealth) katika kuboresha huduma za afya inazozitoa kumsaidia mgonjwa kuwasiliana na daktari popote alipo. Hayo yameeleza na Mkurugenzi wa Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya…
Dk Jingu awataka vijana kuchangamkia fursa za kiuchumi na kulinda amani ya nchi
Na WMJJWM- Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu amewataka vijana kuchangamkia fursa za kiuchumi zinazotolewa na Serikali ili kujiajiri na kuajiri wengine na kudumisha umoja, utulivu na amani kwa…
Serikali ombi la DAR – PC, yaongeza muda wa kujisajili kwa waandishi wa habari nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imeongeza muda wa kujisali baada ya Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam (DAR – PC) kuiomba Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari nchini kuongeza muda wa usajili…