JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Halmashauri ya Mji Handeni wapongezwa mapato, hati safi

MKUU wa Mkoa wa Tanga, Dk Batilda Burian ameipongeza Halmashauri ya Mji Handeni kwa kupata hati safi kwa miaka mitatu mfululizo pamoja na kuvuka lengo la ukusanyaji wa mapato kwa asilimia 108 hadi kufikia Juni 7, 2025. Akizungumza katika kikao…

Tanzania, Rwanda zasaini hati ya makubaliano ya uimarishaji mpaka wa kimataifa

Na Munir Shemweta, WANMM NGARA Tanzania na Rwanda zimetiliana saini Hati ya Makubaliano (MoU) ya Uimarishaji mpaka wa Kimataifa baina ya nchi hizo. Makubaliano hayo yamefikiwa Juni 12, 2025 mara baada ya kukamilika kwa Kikao cha Kamati ya Pamoja cha…

Waziri Aweso akagua ujenzi ofisi za RUWASA, agawa magari 19

Na Meleka Kulwa, Dodoma Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, amekagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) na kukabidhi magari 19 kwa ajili ya ofisi za makao makuu na wilaya mbalimbali nchini. Akizungumza mara…

STAMICO watoa mafunzo kwa wazalishaji chumvi Lindi na Mtwara 

Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwa kushirikiana na Chama cha Wazalishaji wa Chumvi Tanzania (TASPA) limeendesha Mafunzo ya Kimkakati kwa Wazalishaji wa Chumvi kwa Mikoa ya Lindi na Mtwara. Mafunzo haya yamefanyika Ruangwa Mkoani Lindi Leo tarehe 12 Juni…

Maafisa habari mikoa watakiwa kuitangaza programu ya kizazi chenye usawa

Na WMJJWM- Dodoma Maafisa Habari wa Mikoa wametakiwa kuitangaza kwa nguvu Programu ya Kizazi Chenye Usawa ili kusaidia utekelezaji wa haki na usawa wa kiuchumi nchini. Wito huo umetolewa leo, Juni 12, 2025, jijini Dodoma na Kaimu Katibu Mkuu wa…