JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Nandy ahamasika kutangaza nembo ya Made in Tanzania Kimataifa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Faustina Mfinanga (Nandy), amesema elimu aliyoipata katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) imefungua macho yake kuhusu umuhimu wa kutumia nembo…

Rais Samia atoa bil. 3.2 ujenzi wa shule mbili wilayani Rombo kupitia mradi wa Sequip

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa jumla ya Shilingi Bilioni 3.2 kwa ajili ya ujenzi wa shule mbili za sekondari wilayani Rombo katika Mkoa wa Kilimanjaro. Fedha hizi…

Mwenge kukagua miradi 51 ya bilioni 71.3 Manyara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simanjiro Mwenge wa uhuru mwaka 2025 utakagua, kuzindua na kutembelea miradi 51 ya maendeleo yenye thamani ya Sh bilioni 71.3 katika Mkoa wa Manyara. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga ameyasema hayo mji mdogo wa…

Sababu Halmashauri ya mji Kibaha kupandishwa hadhi kuwa Manispaa

Serikali imetangaza rasmi kupandisha hadhi ya Halmashauri ya Mji wa Kibaha kuwa Manispaa ya Kibaha kuanzia Juni 20, 2025. Uamuzi huu ni sehemu ya mkakati wa serikali kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi na kuharakisha maendeleo ya miji inayokua kwa…

Pinda ataka haki mchakato wa wagombea

WAZIRI Mkuu mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Taifa, Mizengo Pinda amewataka waliopewa dhamana ya kusimamia mchakato wa uteuzi wa wagombea kwenye chama hicho kutenda haki. Pinda amesema kwa kufanya hivyo wataweza kuondoa…