Category: MCHANGANYIKO
Tanzania ina umeme wa kutosha – Dk Biteko
📌 Asema ni jitihada za uwekezaji uliofanywa na Rais Dkt. Samia 📌 Aipongeza TANESCO kwa kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt….
WanaCCM 153 Tabora wajitokeza kuwania ubunge
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora JUMLA ya wanachama 153 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Tabora wamechukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama ili kuwania ubunge wa jimbo na viti maalumu katika Mkoa huo wenye jumla ya majimbo 12 ya…
Bondia Zugo kuwania ubingwa wa dunia Agosti 23
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora NYOTA ya Bondia wa Kimataifa, Mtanzania Abdul Zugo kutoka Tabora imeendelea kung’ara katika mapambano mbalimbali aliyocheza hivi karibuni ndani na nje ya nchi na sasa anajiandaa kuwania ubingwa wa dunia wa uzito wa kati. Akizungumza…
Lindi yajivunia mchango wa NGOs katika maendeleo
Na WMJJWM, Lindi Mkuu wa Mkoa wa Lindi Zainab Telack amesema Serikali inatambua mchango wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali katika kuleta maendeleo kwa wananchi. Hayo yamesemwa Julai 10, 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Lindi Victoria Mwanziva kwa niaba ya…
Dk Mpango ahutubia mkutano wa kimataifa wa mifumo ya Hifadhi ya Jamii
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema pamoja na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii Barani Afrika kutumika kuwekeza katika kuendeleza miundombinu ni vema kuhakikisha michango ya wanachama ambayo imetengwa kama kinga dhidi ya…
Ubalozi wa Tanzania, Serikali ya Comoro kufanyia kazi ofa ya walimu wa Kiswahili ya Rais Samia
Ubalozi wa Tanzania na Serikali ya Comoro zimekubaliana kuendeleza mazungumzo ya kuanzisha ufundishwaji wa Kiswahili mashuleni kufuatia ahadi ya Rais Samia ya kutoa walimu na vifaa kwa shule za nchi hiyo. Maelezo hayo yametolewa na Balozi wa Tanzania,Saidi Yakubu na…





