Category: MCHANGANYIKO
Kafulila: Tanzania inaweza kufikia uchumi wa dola trilioni 1 endapo tutabadilika
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Dar es Salaam TANZANIA ni kati ya nchi ambayo imebarikiwa kwa kuwa na utajiri mkubwa si wa mali pekee pia umetokana na jinsi Watanzania walivyo ukilinganisha na nchi nyingine. Hayo yamebainishwa na David Kafulila mbaye ni Mkurugenzi…
Maafisa mipango wafundwa kutekeleza majukumu kwa weledi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipangomiji nchini Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia idara ya Maendeleo ya Makazi inaendesha kikao kazi kwa Maafisa Mipangomiji wa mikoa ili kujipanga…
Mlipuko wa vyuma chakavu waua wawili na kujeruhi Bagamoyo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Watu wawili wamefariki dunia na mwingine kujeruhiwa vibaya, huku nyumba kadhaa zikiharibiwa, kufuatia mlipuko mkubwa uliotokea katika banda la kuchomelea vyuma chakavu lililopo Mtaa wa Magomeni, Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi wa…