JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

REA kumaliza kilio cha umeme vitongoji sita Ukanda wa Ziwa Nyasa, bilioni 3.1/- zatumika

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Ludewa Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), inatarajia kumaliza kilio cha wakazi wa vitongoji sita vilivyopo ukanda wa Ziwa Nyasa wilayani Ludewa, Mkoa wa Njombe, kwa kufikiwa na mradi wa kusambaza umeme uliogharimu sh bilioni…

Mary Chatanda atimiza ahadi ya ng’ombe wawili kwa Magereza Korogwe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Korogwe Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (MCC) na Mbunge wa Viti Maalum wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Mary…

Balozi Kaganda akutana na Mkurugenzi Idara ya Afrika na Asia kuimarisha uhusiano

BALOZI CP KAGANDA AKUTANA NA MKURUGENZI WA IDARA YA AFRIKA NA ASIA KUIMARISHA USHIRIKIANO Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Kamishna wa Polisi (CP) Suzan Kaganda, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara ya Afrika na Asia katika Wizara ya…

Mfumo jumuishi wawezesha wafanyabiashara 50 wa mazao kufuata misingi ya ikolojia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MFUMO jumuishi uliotengenezwa na Shirika la Islands of Peace (IDP), umewezesha wafanyabishara 50 wa mazao na bidhaa za kilimo ikolojia mkoani Arusha kufuata hatua na taratibu za kibiashara na misingi ya kiikolojia. Hayo yamesemwa na…

Kamati ya Bunge yaridhishwa na kasi ya ujenzi wa jengo la ghorofa 10 CBE

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Mhe. Deodatus Mwanyika (Mb), ameeleza kuridhishwa kwake na hatua ya ujenzi wa jengo la kisasa la Vipimo na Viwango katika Chuo cha…

Ushirikiano wa TEITI na mgodi wa Geita waongeza uwazi na uwajibikaji katika rasilimali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Mwenyekiti wa Kamati ya TEITI, Balozi Wilson Masilingi, ametembelea Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mining Limited akiambatana na Menejimenti ya TEITI, kwa lengo la kujitambulisha na kufanya mazungumzo na menejimenti ya mgodi huo. Akizungumza…