Category: MCHANGANYIKO
Mambo yaiva, maandalizi uzinduzi wa Mwenge wa Uhuru kitaifa kwa asilimia 96
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mkoani Pwani yamefikia asilimia ili kufanikisha kufanya tukio hili kuwa kubwa la kihistoria. Uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika katika viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha, tarehe…
Maambukizi a kifua kikuu yashuka kwa asilimia 40
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Tanzania imepunguza maambukizi mapya ya ugonjwa wa Kifua Kikuu kwa asilimia 40 hatua inayoiweka nchi katika mwelekeo sahihi wa kufanikisha lengo la kutokomeza ugonjwa huo ifikapo mwaka 2030. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Kifua…
Jimbo la Ukonga lapendekezwa kugawanywa na kuunda jimbo jipya la Kivule
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Dar es Salaam (RCC) ikiongozwa Mkuu wa Mkoa huo Mhe Albert Chalamila leo Machi 24, 2024 imepokea na kuridhia mapendekezo ya Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya…
Wadau wa korosho kutoka nchi 9 wapatiwa mafunzo ya kuongeza thamani zao hilo
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia,Dar es Salaam ZAO la korosho laendelea kutafutiwa ufumbuzi wa changamoto linaloikabili katika mnyororo mzima wa thamani wa kilimo, mauzo na masoko ili kusaidia kilimo cha zao hilo kinakuwa na tija kwa wakulima kuanzia wadogo,wakati na wakubwa….
EWURA, ERB kushirikiana kuboresha huduma za nishati
ZAMBIA. Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) na Bodi ya Udhibiti wa Nishati Zambia (ERB) wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kimiundombinu ili kuboresha huduma za nishati katika nchi zao. Wakati…
Wanachi Chamwino Dodoma kunufaika na mradi wa maji miji 28
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Ujenzi wa Mradi wa Miji 28 Chamwino, Mkoa wa Dodoma unaendelea ambapo visima 8 vitakavyopeleka maji kwenye tanki la kuvunia maji vimekamilika. Kazi inayoendelea kwa sasa ni ujenzi wa matanki mawili ya lita laki mbili…