JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

NEMC yasajili miradi 8,058 ya mazingira ikiwemo ya tathmini ya athari za mazingira

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),limesajili jumla ya miradi 8,058 ya mazingira ambapo kati ya hiyo, 5,784 ni ya Tathmini ya Athari kwa Mazingira (TAM) na 2,274 ni ya Ukaguzi wa…

Wasira, askofu Bagonza wateta Karagwe

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira na Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dk. Benson Bagonza, wamekutana na kuzungumza wilayani Karagwe Mkoa wa Kagera. Wasira na Dk. Bagonza wamekutana jana…

NIRC na Kamati ya Bunge watembelea mradi wa umwagiliaji shamba la mbegu Ngaramtoni

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imeshiriki ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kutembelea mradi wa miundombinu ya Umwagiliaji katika shamba la mbegu la Wakala wa Mbegu (ASA) lililopo Ngaramtoni, eneo lililowekewa miundombinu ya…

Wizara ya Nishati yataja vipaumbele vya bajeti ya mwaka 2025/ 2026

πŸ“Œ Rukwa, Kagera, Lindi. Mtwara kuunganishwa na gridi ya Taifa. πŸ“Œ Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kuendelea kuhamasishwa πŸ“Œ Serikali kuendelea kuimarisha utendaji wa Taasisi, Mashirika chini ya Wizara ya Nishati, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe….

Dk Samia ametenda maajabu sekta ya nishati miaka minne ya uongozi – Dk Biteko

πŸ“ŒMashine ya 9 yakabidhiwa, yakamilisha MW 2115 – JNHPP πŸ“Œ Aitaka Jumuiya ya Wazazi ieleze Watanzania mafanikio ya Serikali πŸ“Œ Asema kuongezeka kwa mahitaji ya umeme nchini kunachochea ukuaji wa viwanda πŸ“Œ Atoa wito kwa Watanzania kuzingatia matumizi bora ya…

Tafakuri ya Siku ya Ukombozi SADC

Na Lookman Miraji.l Siku ya ukombozi wa nchi kusini mwa Afrika ni miongoni mwa siku muhimu zinazokumbukwa na jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SADC. Siku hii inabaki kuwa kumbukumbu bora ya kudumu katika mapinduzi ya kisiasa…