JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Chatanda ashuhudia utiaji saini wa bilioni 13.3 kuboresha miundombinu Rufiji, Mchengerwa azindua Ligi

Na John Mapepele Mwenyekiti wa UWT Taifa, Mhe. Mary Pius Chatanda ameshuhudia utiaji saini wa mikataba mitano ya bilioni 13.3 zilizotolewa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ili kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja wilayani Rufiji, huku Mchengerwa akizindua rasmi…

Baraza la Habari Kenya lavutiwa na MAIPAC kushirikiana mafunzo kwa wanahabari

Mwandishi wetu, [email protected] Baraza la Habari la Kenya(KMC),limetembelea Ofisi za Taasisi ya wanahabari ya usaidizi wa jamii za pembezoni(MAIPAC) jijini Arusha na kuvutiwa na kazi za Taasisi hiyo na kuahidi kushirikiana kuwajengea uwezo wanahabari juu ya masuala ya mabadiliko ya…

Dk Biteko awataka maafisa maendeleo jamii wasikubali kuachwa nyuma

📌 Awataka wafurukute kuonesha umuhimu wa kadsa yao kwa Taifa 📌 Asema Wizara ya Nishati itashirikiana maafisa hao kusambaza umeme na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia 📌 Rais Samia apongezwa kwa kuongeza ajira za maafisa maendeleo ya jamii…

Shule 216 za Serikali zatumia nishati safi ya kupikia – Kapinga

📌 REA yapata kibali kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika Shule 115 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema hadi kufikia mwezi Machi 2025 takribani Shule za Serikali 216 zimehamia katika matumizi ya…