Category: MCHANGANYIKO
Tabibu kituo cha Afya Magena kortini kwa rushwa ya 350,000/-
Juni 10, 2025 katika Mahakama ya Wilaya Tarime mbele ya Mheshimiwa Veronica Seleman (Hakimu Mfawidhi) wa mahakama hiyo, imefunguliwa kesi ya Rushwa Namba 13960/2025 – Jamhuri dhidi ya JACOB IBRAHIM WANKYO, Tabibu wa Kituo cha Afya Magena. Akisoma hati ya…
Serikali yaombwa kuwapa kipaumbele wazalishaji wa bidhaa wa ndani
Na Jovina Massano WAZALISHAJI wa bidhaa za vilipuzi inazotumika migodoni waiomba serikali kuwapa kipaumbele wa soko ili kuwawezesha kuongeza wigo mpana wa kuongeza nafasi za ajira hapa nchini. Hayo yamesemwa na Mhandisi Joseph Richard Juma kutoka SOLAR NITROCHEMICAL LTD watengenezaji…
Historia yaandikwa, Rais Samia apokea Sh1 trilioni kama gawio na michango mingine
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Tanzania Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan Leo, Juni 10, 2025 amepokea kiasi cha Sh1.028 trilioni kama gawio na michango kutoka mashirika ya umma yaliyo chini ya usimamimizi wa Ofisi ya Msajili…
Kwanini TPA imeongoza kutoa gawio kwa miaka mitatu mfululizo
Maboresho ya miundombinu yaliyochangia ongezeko la Shehena ambapo kwa kipindi cha miezi kumi na moja kwa mwaka 204/2025 mizigo imeongezeka kwa asilimia 11, ambapo imehudumia tani mil 23.9 kulinganisha na tani mil 21.5 za miezi 11 ya mwaka 23/24. Uwekezaji…





