Category: MCHANGANYIKO
Serikali itaendeleza mikakati ya kukuza sekta ya mifugo- Majaliwa
*Asisitiza kuwa mifugo ni uchumi, ajira na biashara *Atoa wito kwa wakulima na wafugaji wawe wamoja WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha sekta ya mifugo inakuwa endelevu na yenye tija. Amesema kuwa Mheshimiwa…
PIC yaridhishwa na kasi ya ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato na kusema kuwa, uwanja huo ukikamilika utakuwa lango la uchumi kwa wananchi wa Dodoma na…
Kapinga azindua namba ya bure yabhuduma kwa wateja TANESCO
📌Awapongeza TANESCO kutekeleza agizo la Mhe. Dkt. Biteko kuwataka kuanzisha namba ya huduma kwa wateja bure 📌Asema namba hii ya 180 ya bure kwa wateja kuimarisha huduma kwa wateja na kutatua changamoto zao 📌Awaagiza Mameneja wa Mikoa na wilaya wa…
Dk Biteko mgeni rasmi mkutano wa 62 wa Bodi ya EITI Arusha
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dokta Doto Mashaka Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mkutano wa 62 wa bodi ya EITI utakaofanyika katika hoteli ya Gran Melia iliyopo jijiji Arusha kesho….
Tanzania na Urusi kushirikiana kuimarisha uhifadhi wa misitu kwa teknolojia za kisasa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tanzania imeendelea kuimarisha ushirikiano wake na Urusi katika sekta ya misitu kwa lengo la kuboresha uhifadhi wa rasilimali zake kupitia teknolojia na mbinu za kisasa. Hayo yamejiri katika kikao kati ya Waziri wa Maliasili na…
Wizi wa mafuta, uwekaji vinasaba wabainika kuwa na walakini
*Ya kupelekwa nje ya nchi yaishia ‘sheli’ za ndani *TBS wasuasua kutekeleza masharti ya mkataba Na Manyerere Jackton, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wimbi jipya la uhujumu uchumi kupitia biashara ya mafuta yanayosafirishwa kwenda mataifa jirani limeibuka, huku mamlaka za serikali…