Category: MCHANGANYIKO
Desemba 31, 2024 mwisho wa matumizi ya mkaa kwa taasisi za Serikali Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam TAASISI zote za Serikali zilizopo katika Mkoa wa Dar es Salaam ambazo zinahudumia watu zaidi ya 100 zimetakiwa kutekeleza bila shuruti agizo la Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuwa ifikapo Desemba 31,2024, ziache kutumia nishati…
Mvua yasababisha vifo vya watu sita, nyumba zaidi ya 25 zaanguka Same
Na Ashrack Miraji,JamhuriMedia, Kilimanjaro Mkuu wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amesema kuwa mvua zinazoendelea kunyesha wilayani humo zimesababisha madhara makubwa ikiwemo vifo vya watu Sita. Mvua hizo hadi kufikia asubuhi ya Desemba 23, mwaka huu pia zimeharibu…
Kasesela : Mbunge, diwani atakayeshindwa kutetea nafasi yake ajilaumu mwenyewe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Mjumbe wa Halmshauri kuu ya chama cha Mapinduzi (CCM) taifa (MNEC) Richard Kasesela amesema kuwa Mbunge au Diwani atakayeshindwa kutetea nafasi yake ajilaumu mwenyewe kwa kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametekeleza mikubwa kwenye kila…
Gridi za Tanzania, Kenya kuimarisha upatikanaji umeme nchini : Gissima Nyamo-Hanga
📌 Awahimiza wataalamu kusimamia zoezi la kuziunganisha Gridi za Tanzania na Kenya kwa umakini bila kuathiri upatikanaji wa umeme kwenye mfumo wa Gridi ya umeme Nchini 📌 Aeleza faida za Tanzania kufanya biashara katika soko la EAPP na SAPP Mkurugenzi…