JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

EACOP , PCK kufadhili masomo kwa vijana 80 hapa nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kushirikiana na mkandarasi wa kusambaza mabomba PANYU CHU KONG STEEL PIPE (PCK) wametoa ufadhili wa mafunzo ya nadharia na vitendo kwa vijana 80 wa…

NFRA yajivunia mafanikio ya utendaji miaka 4 ya Rais Samia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula nchini (NFRA) umesema kuwa unajivunia mafanikio uliyoyapata katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuongeza uwezo wa uhifadhi wa…

Diwani Mussa aongoza harambee ujenzi Ofisi wafanyabiashara Pugu Mnadani

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es Salaam LICHA ya kufanya harambee kwa ajili ya kujenga ofisi ya wafanyabiashara wa Pugu Mnadani imeelezwa kuwa kuna changamoto ya wafanyabiashara kupeleka ngo’mbe zao moja moja kwa moja kwenye machinjio bila kupitisha kwenye Mnada hali…

Tume ya Madini yatoa bei mpya madini ya vito

TUME ya Madini kupitia Kurugenzi ya Ukaguzi na Biashara ya Madini, imekutana na wadau wa madini ikiwemo Wathaminishaji wa Madini, Wachimbaji Wadogo na Wanunuzi ili kupanga bei elekezi ya madini ya vito. Akizungumza jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Ukaguzi na Biashara…