Category: MCHANGANYIKO
NEMC yasajili miradi ya maendeleo 105 Kanda ya Kati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma BARAZA la Taifa la Hifadhi ya Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Kanda ya Kati imefanikiwa kusajili miradi ya maendeleo 105 na kuipa cheti cha tathmini ya athari kwa mazingira (EIA) katika kipindi cha kuanzia Julai hadi…
Wafanyabiashara 774 kati ya 1,520 warejeshwa soko la Kariakoo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wafanyabiashara 774 kati ya 1,520 waliotambuliwa kuwa na sifa za kurejeshwa katika soko la Kariakoo wamejitokeza kuchukua fomu maalum za usajili kwa ajili ya maandalizi ya kuingia kwenye soko hilo kufuatia tangazo la…
Wassira atembelea kaburi la baba wa Taifa
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Stephen Wassira ametembelea kaburi la Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Butiama, leo Februari 3, 2025 akiwa ziarani mkoani Mara ambapo pia amezungumza na wazee wa Butiama.
Mahakama ya Afrika yasema ni wakati wa Bara la Afrika kudai fidia
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Rais wa Jamhuri ya Cape Verde, José Maria Neves, amesema nchi za Afrika zinaweza kuongoza mabadiliko ya maisha yao ya baadaye kwa kuondokana na utegemezi wa ukoloni mamboleo kwa kudai fidia iliyotokana na dhuluma za…
Rais Samia ataka Majaji kutokuwa Miungu watu na badala yake watoe haki bila upendeleo
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK.Samia suluhu Hassan, amesema Utekekezaji wa Dira ya Mwaka 2020/2025 ina mabadiliko makubwa ikiwemo katika Sekta ya utoaji haki ambapo jumla ya Mashauri 271 yalisajiliwa kupitia mtandao huku mashahidi waliopo…